Tiba
Mabingwa wa tiba za magonjwa mbali mbali kwa kutumia mitishamba.
08/05/2022
Tunaendelea kuwasitiza kutumia tiba hizi zenye ubora na zinakupa suluhisho la kudumu.
1: Nkolobije , Bei 35,000/= ,hii inakuza dhakari,
2: Sh*talala , bei 35,000/=, hii ya nguvu, na utaweza kudumu kwa muda mrefu ktk tendo na faida zingine nyingi.
Fika katika ofisi zetu zilizopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga upate tiba hizi.Pia kwa Wateja wa mbali tunao utaratibu salama na rafiki kuweza kukufikishia tiba ulipo.
Wasiliana nasi kupitia namba 0746849605 whatsapp au piga.
28/04/2022
# AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA # #
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu ya kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba.
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambavyo ni÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 8-12 Kwa siku
👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
28/04/2022
UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO NI MSHAHARA
➡️Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
➡️Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
➡️Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
➡️Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
➡️Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
➡️Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
➡️Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
➡️Kushindwa kumuandaa mpenzi wako kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
➡️Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito...Zingatia kuacha Kufanya Kitendo Cha kujichua Kwani itakusaidia sana...
Unataka kumaliza tatizo hili ?? Fata maelekezo apo chini👇👇👇
28/04/2022
TIBA-MAUMIVU YA MIFUPA NA JOINTS
Kutokana na sababu Mbalimbali,Watu wa jinsia zote Hupata Matatizo ya Mifupa Maungio na kadiri umri unavyozidi kwenda ndio watu hupata udhaifu wa mifupa na viungo kupelekea shida k**a gauti,arthritis,Osteoporosis n.k
DALILI ZA TATIZO
●Kupata Maumivu Ya mgongo,Kiuno,Mabega,Magoti Au Shingoni
●Magoti Kupiga Kelele Ukinyoosha mguu Au Kutembea
●Kushindwa Kutembea Kawaida Mpaka Upate Sapoti
●Joints Kuvimba Na Kuuma,Miguu Kufa ganzi
●Kushindwa Kutembea Au Kufanya shughuli Zako Za Kila Siku
SABABU ZA TATIZO
■Kukosa ute ute(synovial fluid)kwenye joints kutokana kuwa na Uric Acid nyingi
■Kuwa Na Uzani mkubwa kupelekea tishu K**a Sponji zinazoitwa gegedu(cartilage kuzidiwa hivyo kupelekea mifupa kusagika
■Upungufu wa madini muhimu Calcium Ambayo hupelekea mifupa Kuwa na Uzani Mdogo
■Kukoma Kwa Hedhi Kwa Akina Mama
■Kufanya Mazoezi Ya Viungo Bila Kuzingatia Lishe Nzuri
■Umri Mkubwa,Kupata Majeraha,Kurithi
28/04/2022
07/04/2022
JE, WAJUA VYANZO, DALILI NA MADHARA YA UGONJWA WA U.T.I?
U. T. I ni neno la kiingereza linalotamkwa kwa kifupi lakini kirefu chake ni, “Urinary Tract Infection” likimaanisha, “Maambukizi katika njia ya Mkojo. ”
Ugonjwa huu humpata mtu yeyote bila kujali jinsia au umri.
VISABABISHI VYAKE
Ugonjwa wa UTI unaweza kusababishwa na vijidudu vya namna nyingi. Bakteria aina ya Escherichia Coli kwa kiasi kikubwa ndo wanaosababisha ugonjwa huu wa UTI japo bakteria wengine wapo.
Upande wa wanawake, tatizo la fangasi katika sehemu za siri imekuwa ni tatizo kubwa sana. Uwepo wa fangasi hasa kwenye uke na maeneo jirani pia huweka mazingira ya mvuto kwa bakteria kuvamia maeneo hayo na kuleta maradhi ya UTI.
NOTE: Kwa wanaume mara nyingi kutokana na maumbile yao na mfumo mzima wa mkojo na viungo vyake, hawa siyo waathirika wakubwa wa UTI.
DALILI ZA UTI
Dalili za UTI huwa k**a ifuatavyo:
1. Kusikia maumivu wakati wa kukojoa.
2. Kuhisi homa
3. Kuhisi uhitaji wa kukojoa mara Kwa mara na pia mkojo kuwa na hali ya kuunguza wakati wa kukojoa
4. Kuhisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu au mgongo.
5. Mkojo kuonekana kuwa wenye rangi ya damu au usaha.
6. Kutokwa na uchafu wenye harufu sehemu za siri, hasa tatizo hili linapokuwa la muda mrefu.
MADHARA YA U.T.I
Vimelea wa UTI wanapoingia sehemu ya uke, wanaweza kushambulia na kuharibu sehemu zifuatazo:
1. Tabaka la juu la mlango wa kizazi na kusababisha uvimbe wa shingo ya kizazi.
2. Kuziba kibofu cha mkojo au mirija ya mkojo.
3. Kuharibu figo za muhusika.
NJOO UPATE TIBA YA UTI YA MITISHAMBA, WASILIANA NASI KUPITIA WHATSAP/ SMS/ AMA PIGA SIMU 0746849605
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Kahama
Shinyanga