Pharm David68
Karibu kwenye ukurasa wa Pharm_David68 kwa huduma ya Dawa � Vipodozi �Ushauri pamoja na Elimu jamii
05/11/2022
💥COLLAGEN SCAR and ACNE MARK REMOVAL💥
Hii ni serum special kwa ajili ya kuondoa makovu mbalimbali katika mwili
✅Makovu yaliyo sababishwa na majeraha mbalimbali k**a ajali, mishono ya oparesheni, majeraha ya visu
✅Inasaidia kufifisha michirizi kwa 💯%
✅Inasaidia kuondoa makovu ya cream kali
Price: 25,000/=
04/11/2022
💥PAPAYA BODY LOTION💥
Ni nzuri sana kwa Afya ya ngozi yako
✅Inasaidia ngozi kuwa na rangi moja na yenye kung'aa
✅Inakausha Chunusi
✅Inaondoa madoa usoni
Karibu sana uipe ngozi yako kile inachostahili
Price: 23,000/=
30/10/2022
💥ANTI-WART HEALTH TREATMENT💥
Hii ni treatment special kwa wale wenye matatizo ya vinyama nyama mwilini.
✅Inaondoa kabisa visunzua
✅Inaondoa dark skin
✅Inaondoa visundo sundo mwilini
Price: 25,000/=
Wekeza kwenye ngozi yako na
20/09/2022
💥VITAMINI NA MADINI MUHIMU WAKATI WA UJAUZITO
📌Lishe bora katika ujauzito ni muhimu kwa ukuaji wa afya na ukuaji wa mtoto wako. Unahitaji kutumia virutubisho vya kutosha ili kukidhi mahitaji ya mtoto wako, pamoja na yako mwenyewe.
Unapokuwa mjamzito, unahitaji zaidi baadhi ya virutubisho, ikiwa ni pamoja na
✅protini,
✅Folate,
✅Iodini,
✅Madini Chuma na baadhi ya vitamini.
Karibu SAG SHY PHARMACY tukupatie Virutubisho kwa ajili ya Afya ya Mtoto wako pamoja na Mama Mjamzito.
Call 📞 or Whtsp 0765 495 271
19/09/2022
We make your life better
Call or Whtsp +255 765 495 271
12/09/2022
Karibu Tukuhudumie, Tunakufikia popote pale 💊🚛
12/09/2022
💥SUDOCREM
Antiseptic Healing Cream
💥Ni mafuta mazuri kwa watoto
📌walioungua na dipers
📌Vipele vya joto
📌Wenye pumu ya ngozi
📌Wenye vidonda na michubuko
60g .......Tsh 18,000
125g ......Tsh 25,000
Karibu Tukuhudumie
26/08/2022
Je, Unahitaji ujazo mpya kwenye Dawa uliyoagizwa na Daktari?
Tupigie simu Au tuma picha ya cheti chako cha Dawa kwa whatsapp +255 765 495 271
Karibu tukuhudumie mpaka Mlangoni kwako 🚛
07/08/2022
💥GINSENG Tablets 90💥
Huu ni mzizi wa Ginseng ambao unasaidia kutibu magonjwa mbalimbali katika mwili.
Inasaidia kwa:-
1️⃣Wenye matatizo ya uzazi
inaongeza nguvu na afya kwenye misuli ya uume, pia Inaondoa tatizo la ugumba.
2️⃣Wenye matatizo ya Sukari
3️⃣Inasaidia kwa wenye presha ya kushuka
4️⃣Inasaidia kwenye kuimalisha akili nakuongeza nguvu mwilini (inaondoa uchovu uliopitiliza).
💥Dose: kidonge kimoja kila siku. Kwa wenye matatizo zaidi kidonge kimoja mara mbili (kila baada ya masaa 12)
Contact: 0765 495 271
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Shinyanga
Opening Hours
| Monday | 08:30 - 21:00 |
| Tuesday | 08:30 - 21:00 |
| Wednesday | 08:30 - 21:00 |
| Thursday | 08:30 - 21:00 |
| Friday | 08:30 - 21:00 |
| Saturday | 08:30 - 21:00 |
| Sunday | 13:00 - 18:00 |