Health is Wealth
Ushari wa Afya na Tiba
20/02/2023
Shuhuda ya miez mitatu ambayo ni sawa na siku 90, kupitia virutubisho lishe pekee sukari imeshuka kutoka 28 hadi 5.7, na sasa amepona kabsa hatumii dawa ya aina yoyote na anakula vyakula vyote.
20/10/2022
Madhara ya Kisukari
Kisukari huweza kusababisha madhara yafuatayo kwa muhusika iwapo hakitatibiwa inavyopaswa.
Kuziba kwa mishipa mikubwa ya damu kutokana na kuzungukwa na mafuta (Atherosclerosis)
Mgonjwa kushindwa kuona vizuri au kushindwa kuona kabisa na kuwa kipofu (diabetic retinopathy)
Kushindwa kufanya kazi vizuri kwa figo
Mgonjwa kuhisi ganzi na kupoteza kuhisi mikononi na miguu kwa sababu ya kuharibika kwa neva (diabetic neuropathy)
Kupungua kwa nguvu za kiume.
Vidonda (diabetic ulcers) hususani vidoleni. Hali hii wakati mwingine hupelekea mgonjwa kukatwa viungo vyake.
Mgonjwa kuwa hatarini kupata maambukizi ya vimelea mbalimbali hasa bakteria kutokana na kuharibiwa na kushindwa kufanyakazi vizuri kwa chembe nyeupe za damu (White Blood Cells)
USIENDELEE KUTESEKA NA KISUKARI, ANZA TIBA YAKO LEO. PIGA 0757079698
19/09/2022
JINSI YA KUTIBU CHANGAMOTO YA KISUKARI BILA KUTUMIA DAWA YA HOSPITAL
K**a wewe ni muhanga wa kisukari na umehangaika kwa kipindi kirefu sana bila ya kuona mafanikio basi nina habari nzuri mno.
Nimekuandalia darasa BURE KABISA lenye kukuonesha jinsi ya kutibu changamoto ya kisukari bila kutumia dawa za hospitali, darasa hili maalumu kwajili ya kujifunza kubalance vyakula na kujifunza mtindo mzuri wa maisha utakaokusaidia kushinda kisukari
Kujiunga hilo darasa andika au comment namba yako ya simu hapo chini na nitakuingiza katika group letu la mafunzo Mara moja.
Au
Bonyeza link hapo chini uingie kwenye group
https://chat.whatsapp.com/CDAMPlHFDRC1oZBVFyQFg5
JINSI YA KUTIBU UGONJWA WA KISUKARI BILA KUTUMIA DAWA ZA HOSPITALI
Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa unaosumbua watu wengi katika jamii.
Ugonjwa huu hutokea wakati sukari katika damu inapokuwa nyingi kupita kiwango cha kawaida kwa muda mrefu.
Sukari hutumiwa na mwili ili kupata nishati lishe.Kwa kawaida ili mwili uweze kutumia sukari inayotokana na vyakula unahitaji kichocheo cha insulini.
Insulini husaidia sukari kuingia kwenye chembechembe hai ili kutengeneza nishati lishe.
Ugonjwa wa kisukari unasababishwa na kichocheo hiki kupungua au kutofanya kazi K**a inavyotakiwa.Hivyo kiwango cha sukari kinabaki kikubwa kwenye damu kwa sababu sukari haikuwezeshwa kuingia kwenye chembechembe hai za mwili.
MADHARA YA KISUKARI.
-Watu wenye kisukari wapo katika hatari zaidi ya kupata magonjwa yafuatayo:-
*Magonjwa ya moyo.
*Kiharusi
*Kuharibika kwa kibofu cha mkojo.
*Upofu.
*Kufa kwa mishipa ya fahamu.
*Shinikizo la juu la damu.
-Mtu mwenye kisukari mzunguko wake wa damu miguuni hupungua na hii ndiyo sababu kubwa ya kufa kwa neva za fahamu na hivyo mtu kupoteza hisia katika mwili.
DALILI ZA KISUKARI.
-Baadhi ya dalili za kisukari ni :-
*Kiu ya maji isiyoisha.
*Njaa kali.
*Kupoteza uzito bila sababu.
*Kwenda haja ndogo mara kwa mara.
*Vidonda au michubuko. kuchukua muda kupona.
*Ngozi kuwa kavu na kuwasha.
*Kuchoka kusiko kwa kawaida.
*Hisia kupungua katika vidole na viganja vya mikono na miguu.
*Kukosa hamu ya tendo la ndoa na uume kutosimama.
NIKUHAKIKISHIE TIBA YA UHAKIKA IPO USITESEKE.
nini chakufanya?!
-Ili kujikinga na kujitibu na ugonjwa wa kisukari inashauriwa kurekebisha ulaji wa vyakula yani kupata CHUKULA BORA au VIRUTUBISHO LISHE vyenye ubora wa hali ya juu.
-Virutubisho lishe hivyo ni ;-
*C24/7 na RESTOLYFE zenye virutubisho lishe zaidi ya 22,000 vyenye uwezo wa kukukinga na kukutibu na ugonjwa wa kisukari.
K**a unahtaji bidhaa hii
Piga 0757079698 au Bonyeza link hapo chini
https://wa.me/255757079698?text=Habari%2C%20nahitaji%20kupata%20huduma%20hiyo%20.
10/05/2021
MAGONJWA YA MOYO.*
Nini maana ya magonjwa ya moyo?
Ni kundi la magonjwa linalohusisha magonjwa yanayoathiri moyo na mishipa yake ya damu. Hujumuisha magonjwa yafuatayo
1. Magonjwa yanayoathiri mishipa ya damu ya moyo
2.magonjwa yanayoathiri misuli ya moyo
3. Magonjwa ya valve za moyo
4. Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa
UKUBWA WA TATIZO LA MAGONJWA YA MOYO
1 . Ni muuaji namba moja
Magonjwa ya moyo na mfumo WA damu ndo chanzo namba moja cha vifo duniani
2. Zaidi ya theluthi ya vifo vyote vinavyotokana na ugonjwa wa moyo hutokea ndani ya nchi zenye uchumi wa chini na uchumi wa kati
MAMBO AU VIHATARISHI VINAVYOONGEZA UWEZEKANO WA MTU KUPATA UGONJWA WA MOYO
1. Ugonjwa wa shinikizo kubwa la damu (presha)
2. Ugonjwa wa kisukari
3. Matumizi ya sigara (uvutaji wa sigara, tumbaku na ugoro)
4. Lishe mbaya , ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, sukari nyingi, chumvi nyingi , lehemu nyingi na kutotumia mboga mboga na matunda
5. Unywaji pombe
6. Uzito au unene uliopitiliza
7. Kutokufanya mazoezi
9. Umri : zaidi ya miaka 50
DALILI ZA UGONJWA WA MOYO
1. Maumivu ya kifua hasa yanayotembea mpaka kwenye mabega, shingo au taya
2. Moyo kwenda mbio isivyo kawaida
3. Uchovu uliopitiliza, mwili kuwa dhaifu na kuchoka haraka hata kwenye shughuri ndogo
4. Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
5. Tumbo kujaa, kichefuchefu na kutapika
6. Kushindwa kulala vizuri hasa kushtuka usingizini kuhisi k**a unakabwa na kukosa pumzi
NAMNA YA KUEPUKA UGONJWA HUU AU KUPUNGUZA UWEZEKANO WA KUPATA MARADHI HAYA
1. LISHE
* punguza vyakula vyenye wanga na sukari nyingi
* punguza vyakula vyenye mafuta mengi hasa yale yanayotokana na wanyama
* punguza ulaji wa nyama nyekundu k**a ng'ombe, mbuzi
* ongeza matumizi ya nafaka zisizokobolewa k**a ugali wa dona, ulezi na mtama
* ongeza ulaji wa vyakula vya jamii ya kunde , mboga mboga na matunda
NB : TUMIA VIRUTUBISHO LISHE VYENYE UBORA WA HALI YA JUU
2. MAZOEZI
Kiwango cha mazoezi kinachoshauriwa kufanya ni walau dakika 30 kila siku. Kukaa bila kufanya mazoezi wala shughuri yoyote huuweka mwili katika hatari ya kupata magonjwa ya moyo
3. DHIBITI MATUMIZI YA VILEVI
Epuka matumizi ya vilevi k**a sigara na pombe . K**a mtumiaji wa pombe unatakiwa upunguze kabisa mpaka kiwango kinachoruhusiwa kitabibu
4. DHIBITI TATIZO LA PRESHA NA SUKARI
Ni vyema kuzingatia ushauri uliopewa na daktari kuhusu presha au kisukari pia na kuzingatia matumizi ya dawa k**a ilivyo shauriwa na daktari
5. MIKAZO (STRESS) ZA MAISHA
Mkazo (stress) uliopitiliza huuweka moyo katika hatari ya kupata maradhi. Ni vyema kutafuta namna ya kukabiliana na msongo wa mawazo na mkazo
6. Epuka mazoea kinga ni bora kuliko tiba
K**a unatatizo la moyo nikuhakikishie tiba ipo
Pata virutubisho vyenye ubora wa hali ya juu c24/7 ni kirutubisho chenye zaidi ya virutubisho lishe 22,000 pamoja na choleduz ni mafuta ya samaki maalum kutibu matatizo ya moyo piga 0757079698
06/05/2021
JINSI YA KUTIBU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME BILA KUTUMIA DAWA ZA HOSPITALI.
K**a wewe ni mwanaume uliyeoa na umekuwa ukihangaika kutatua tatizo la nguvu za kiume kwa kipindi kirefu sana bila ya kuona mafanikio basi nina habari nzuri mno.
Nimekuandalia darasa BURE KABISA lenye kukuonesha jinsi ya kutibu changamoto ya nguvu za kiume bila kutumia dawa za hospitali.
Kujiunga hilo darasa andika au comment namba yako ya simu hapo chini na nitakuingiza katika group letu la mafunzo Mara moja.
Kuhudhulia hilo darasa wahi
Bonyeza link hapo chini uingie kwenye group
https://chat.whatsapp.com/KALeucyXBlBFNjtVitkORo
Wahi kabla ya group kujaa.
USILOLIJUA KUHUSU NGUVU ZA KIUME, SIRI IPO HAPA‼️
Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi; kusimama kwa uume barabara; kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa; uwezo wa kurudia tendo la ndoa; pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo la lenyewe.
Ni viungo gani vinavyohusika na nguvu za kiume?
Nguvu za kiume ni tukio pana sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi ndani ya mwili. Kuna zaidi ya viungo na vitu 50ndani ya mwili wa mwanaume vinavyohusika na nguvu za kiume ambapo viungo hivi pia hufanya kazi zingine za mwili. Baadhi ya viungo hivyo ni ubongo, moyo, mishipa ya neva mishipa ya ateri, mirija iliyo ndani ya uume iitwayo corpora cavernosa.
Viungo vingine ni neva maalumu za parasympathetic, tezidume (prostate gland), ini, figo, homoni ya testestorone, kemikali za acetylcholine, serotonin, na dopamine, uti wa mgongo, eneo la chini ya mgongo (kiuno), eneo la nyonga.
Viungo vingine ni misuli maalumu iitwayo pelvic floor, tezi pituitari (pituitary gland), utando maalumu wa uumeni uitwao tunica albuginea, misuli iitwayopubococcygeus [PC muscles], kemikali ya nitric oxide, kemikali ya prolactin n.k.
Nini maana ya kupungua nguvu za kiume?
Unapopungua nguvu za kiume ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya vitu katika vitu nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo na inavyotakiwa. Yawezekana ni figo ndilo halifanyi kazi vizuri, au ini, au tezi dume, au neva ya parasympathetic, au moyo una tatizo au mishipa ya ateri, au misuli ya pelvic au homoni fulani iko juu sana au iko chini sana (hormonal imbalance), orodha ni ndefu sana.
Kitendo cha baadhi ya viungo hivyo kutofanya kazi vizuri basi hapo hutokea upungufu katika nguvu za kiume. Upungufu huo unaweza kuwa ni:
1. Kukosa hamu ya mapenzi; au
2. Uume kusimama kwa uregevu; au
3. Kuwahi kufika kileleni; au
4. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa); au
5. Kushindwa kurudia tendo la ndoa; au
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo; au
7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji; au
8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu;
Ndugu msomaji, ili uelewe vizuri zaidi labda niseme kwamba, nguvu za kiume ni kiwanda; na ni zaidi ya kiwanda. Ndani ya kiwanda kuna umeme, maji, madawa, watu (wafanyakazi wa kila taaluma na fani), mashine, mitambo n.k.
Ikitokea kitu kimojawapo kukosekana, mathalani umeme, au wafanyakazi wakagoma, au kukakosekana madawa muhimu au maji na kadhaa wakadha, basi bidhaa inayotarajiwa kupatikana sokoni, kwa hakika haitapatikana.
Vivyo hivyo nguvu za kiume, mathalani, ikitokea tezidume kutofanya kazi vyema, basi hapo mwanaume hatoona nguvu za kiume, zitapungua au zitaisha kabisa!
Kwa hiyo upungufu wa nguvu za kiume ni upungufu au kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili wa mwanaume. Mwanaume yoyote anapaswa kutambua jambo hili.
Lakini nini kinachopelekea viungo hivyo vishindwe kufanya kazi vizuri?
Kuna maradhi kadhaa, vyakula tunavyokula, tabia na mtindo wa maisha vinavyoweza kupelekea viungo hivyo kutofanya kazi vizuri. Baaadhi ya maradhi hayo na tabia hizo ni kujichua/punyeto (ma********on); kisukari; presha ya kupanda; presha ya kushuka; uvutaji wa sigara; unywaji wa pombe; madawa ya kuleva; kufanya kazi kupita kiwango na kukosa muda wa kupumuzika; matatizo ya kukosa usingizi na kuchelewa kulala usiku.
Sababu zingine za kupungua nguvu za kiume ni kutokunywa maji ya kutosha, tatizo la kufunga choo hasa pale unapotumia nguvu nyingi kusukuma choo; kutofanya mazoezi; ukosefu wa kumbukumbu; uzito mkubwa/unene mkubwa; kitambi; kuvimba kwa tezidume (Benign Prostate Hyperplasia).
Sababu zingine ni saratani ya tezi dume (Prostate cancer), matibabu ya mionzi ya tezidume na upasuaji, ugonjwa unaoathiri vitendo na shughuli za mwili k**a vile mwondoko na balansi (multiple sclerosis), ugonjwa ambao hudhuru mawasiliano ya ubongo na miondoko ikiwa ni pamoja na kutembea, kuongea na kuandika (parkinson’s disease), vyakula vya mafuta, vyakula vilivyowekewa homoni bandia za k**e n.k.
Sababu zingine ni maumivu ya mgongo/kiuno; baadhi ya madawa ya kemikali (madawa ya hospitali); kiharusi (stroke); upungufu katika utendaji wa kazi za gonadi (hypogonadism); uzalishaji mwingi wa homoni ya thyroid.
Sababu zingine ni kutozalishwa kwa homoni ya thyroid ya kutosha; ugonjwa unaoathiri uzalishaji wa homoni ya cortisol (cushing’s syndrome); ugonjwa wa kupinda uume (peyronie’s disease); kukak**aa kwa mishipa ya damu (atherosclerosis); orodha ni ndefu sana, ni zaidi ya 200.
Hivyo mwanaume anapopungua nguvu za kiume, ina maana kuna ugonjwa ndani ya mwili wake, au unaweza kuwa huo ugonjwa umeshadhihirika (umeshatokeza) kwa nje, au huo uko ndani ya mwili unamla na kummaliza kimyakimya k**a yalivyo baadhi ya magonjwa ambapo baadaye hulipuka. Hii ndiyo maana kitaalamu tunasema kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa ni dalili ya ugonjwa. Unapopungua nguvu za kiume hiyo ni KENGELE YA TAHADHARI kwamba ndani ya mwili wako kuna kitu hakifanyi kazi vyema. Hivyo, unaambiwa kuchukua TAHADHARI kabla ya HATARI!
SIFA ZA MWANAUME AMBAE HAWEZI KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI
1. Kushindwa kabisa kusimamisha uume wake
2. Uume kusimama ukiwa legelege
3. Kuwahi kumaliza tendo la ndoa
4. Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya stailih ( Mara nyingi mwanaume huyu huwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa staili moja tu ). Hapa mwanaume anakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa staili ya “ missionary” pekee. Ikibadilishwa staili, mwanaume anakuwa hana tena uwezo wa kusimamisha uume wake japo katika hali ya u lege lege
5. Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa ama kutomaswa kwa muda mrefu.
6. Uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke.
7. Uume kusinyaa, pindi inapotokea activity llluna sinyaa )
9. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
10. Kupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa.
VIASHIRIA VYA MWANAUME RIJARI
Mwanaume asiye na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume, huonyesha ishara zifuatazo ;
i. Uume husimama ukiwa imara k**a msumari.
ii. Hukaa kifuani kwa muda mrefu ( Wastani ni kati ya dakika 20 hadi 45 )
iii. Huweza kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila misuli ya uume kuchoka.
iv. Huweza kufanya tendo la ndoa kwa staili yoyote ile
v. Uume husimama wenyewe bila kushikwa shikwa wala kuwa stimulated kwa namna yoyote ile
vi. Kwa ufupi anakuwa na uwezo wa kufanya na kukamilisha tendo la ndoa kwa uukamilifu mkubwa.
KOSA KUBWA WANALOFANYA WANAUME WENGI!
Wanaume wengi wanapopungukiwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume, na siyo kutibu. Hili ni KOSA KUBWA sana!
Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu tatizo gani. Kwa njia hiyo, utamaliza miaka hata zaidi ya 100 na hata miaka elfu moja na hautapona!
Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza! Mathalani, k**a tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; k**a ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo. Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo. Angalia mwenyewe, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana na kisukari kwa mwanume huyu, au shinikizo la damu la kupanda (HIGH BLOOD PRESSURE) kwa mwanaume yule; au shida ya tezidume kwa mwanaume mwingine au shida ya kihomoni (HORMONAL IMBALANCE) kwa wanawake wengine, basi vipi iingie akilini kwamba wote hao watatibiwa na dawa aina moja? Watu wengi wengi wameelewa kimakosa sana ndiyo maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana.
Nikuhakikishie tiba ya uhakika ya kumaliza kabisa mzizi wa tatizo lako ipo na tayari tuna shuhuda nyingi za watu waliopona kabsa na kulisahau kabsa Hilo tatzo
Kupata tiba hii
Piga 0757079698 au Bonyeza link hapo chini
https://wa.me/255757079698?text=Habari%2C%20nahitaji%20kupata%20tiba%20hiyo%20.
22/01/2021
JE HILI NI TATIZO LAKO LA SIRI???
•Upungufu wa nguvu za kiume(huwezi kurudi tendo unashiriki Mara moja tuu)
•huna hamu ya tendo(kwa wanawake)
LIVENLINE COFFEE
Hichi ni Kirutubisho ambacho tunaweza tumia K**a kahawa au chai. Ni kahawa isiyo ya kawaida.
Kwanza Kabisa haina / imeondolewa "Caffaine" na badala yake imeongezewa "Alkaline"
ambayo huboresha mfumo wa chakula, Kulinda na kutibu Madonda ya tumbo.
Katika Kirutubisho hichi "Caffeine" imeondolewa Kwa sababu sio nzuri hasa Kwa Mtu mwenye shida ya presha, ndio maana kahawa Za kawaida mtu mwenye presha hashauriwi kutumia kahawa za kawaida zenye caffeine.
Kahawa hii ambayo ni Kirutubisho sio ya kawaida, mtu yeyote anaweza kutumia ili kujikinga.
Kirutubisho hichi kina matunda ndani yake, mbogamboga, Uyoga, sukari asilia toka kwenye matunda na mimea maalum ya kijani.
Kirutubisho hichi husaidia;
~Kuupa nguvu mwili
~Kuchangamsha
~Kuondosha msongo wa mawazo
~Kuleta mzunguko mzuri wa damu
~Kuboresha mfumo wa uzazi na kuongeza ufanisi/stamina ktk kufanya tendo la ndoa
~Kuboresha mbegu za kiume na za k**e pia.
~Kukata hamu ya kunywa pombe na kuacha ulevi
~Huondoa Uchovu
~Inapunguza uwezekano wa kupatwa na ugonjwa wa Kisukari.
Kirutubisho lishe hichi kimetengenezwa Kwa radha na Aina tofauti tofauti ;
Liven Alkaline Coffee Latte
-Hii imewekwa madini ya Zinc Kwa wingi ambayo huboresha mfumo wa uzazi wa mwanaume Kwa kupelekea mzunguko mzuri wa damu maeneo hayo, hukinga tezi dume pia.
Liven Alkaline Coffee Cappuccino
-Hii ina madini ya Calcium Kwa wingi
-Husaidia kuimarisha afya mifupa, kutanuka na kusinyaa Kwa nyonga ya mwanamke hasa kipindi cha ujauzito na kipindi cha hedhi pia.
-Hurejesha calcium mwilini inayopotea kipindi cha hedhi
-Huleta uteute ukeni kipindi cha tendo la ndoa hivo kusafirisha mbegu za kiume Vizuri katika mji wa uzazi na kupunguza michubuko wakati wa tendo la ndoa.
Liven Alkaline Coffee Original
-Hii inamchanyiko Kwa Uchache, mchanganyiko wa Zinc na Calcium.
Liven Alkaline Coffee Sugar Free
-Hii Imetengenezwa maalum Kwa ajili ya watu wenye Kisukari na Mtu yeyote anaweza tumia.
Imeongezewa mmea wa mchaichai mzima (Majani, Shina na mizizi yake).
Jinsi ya Kutumia!
-Boksi la kahawa hizi lina pakiti ndogondogo 20.
Chukua moja ambayo huwa na gramu 21 changanya kwenye maji ya moto robo lita (250mls) Korogea Vizuri kisha tumia.
NB: Kahawa ina sukari asilia hivo huongezi chochote, Sukari yake imejitosheleza.
Piga 0757079698 au Bonyeza link hapo chini
https://wa.me/255757079698?text=Habari%2C%20nahitaji%20kupata%20kahawa%20hiyo%20.
12/12/2020
. HORMONES IMBALANCE
(UWIANO MBAYA WA HOMONI ZA UZAZI)
HORMONES IMBALANCE;Ni upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi yaani ESTROGEN HORMONES
_Homoni hii huratibu mfumo wa uzazi k**a kubeba mimba,kupevusha mayai,kupata hedhi kwa kufanana,maandalizi ya mji wa uzazi n.k
VISABABISHI/VYANZO VYA HORMONES IMBALANCE
_Matumizi ya njia za uzazi wa mpango k**a vidonge,sindano,njiti,kitanzi n.k
_U.T.I sugu
_Magonjwa ya zinaa k**a kaswende,gonorea n.k
_Mlo mbaya/usio kamili
_kuugua fangasi ukeni kwa muda mrefu
_Matumizi ya pedi zisizo na anions
DALILI ZA HORMONES IMBALANCE
_Siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum
_kuto shika mimba
_maumivu ya kiuno,mgongo na tumbo chini ya kitovu
_maumivu ya viungo na uchovu wa mara kwa mara
_kupoteza hamu ya tendo
_maumivu wakat wa tendo
_uke kuwa mkavu
_maumivu ya kichwa mara kwa mara
MADHARA YA HORMONES IMBALANCE
_kuto shika mimba
_mimba kuchoropoka mara kwa mara
_siku za hedhi kuvurugika
_kukaribisha magonjwa katika mfumo wa uzazi
Kwa Ushauri na tiba piga 0757079698
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Singidani Complex
Singida