TIBA ASILI & DUA
Tiba asili na Dua
11/02/2026
0743 414 449 π
04/01/2026
Unataka kuoa?? Basi ngoja nikupe sifa za wanawake kulingana na nyota zao.
1) mwanamke mwenye nyota ya punda ana hasira za karibu, hivyo usimbuguzi achelewi kukuwashia moto, kukasirika katika maisha yake ni Jambo la kawaida.
2) mwanamke mwenye nyota ya ng'ombe anapenda pesa, Mali na marafiki. Mwanamke huyu umwambii kitu Kwa marafiki zake, yupo tayari kuyabeba matatizo ya rafiki zake, ili marafiki zake wawe salama. K**a unataka kuoa mwanamke mwenye nyota ya ng'ombe alafu huna Pesa wala Mali, au upo upo tu bila mipango endelevu utaachwa kwenye mataa.
3) mwanamke mwenye nyota ya mapacha ni muongeaji Sana, anapenda kuchati na marafiki, anapenda mambo ya mitandaoni hivyo usikasirike akiwa anaongea sana au akiwa anatumia simu mara kwa mara, hiyo ndio tabia yake.
4) mwanamke mwenye nyota ya kaa ana upendo wa dhati. Mwanamke huyu anapelekeshwa na hisia zake kuliko akili yake, hivyo ana wivu Sana. Ukimfurahisha anafurahi Sana, na ukimfanyia ubaya unakuwa adui yake namba moja. Mwanamke huyu anatumia hisia kufanya maamuzi kuliko akili yake.
5) mwanamke mwenye nyota ya Simba ni kiongozi katika nyumba, hivyo mwanaume akiwa juu yake wanagombana kila siku.
6) mwanamke mwenye nyota ya mashuke anapenda kufanya kazi, hivyo ukimwambia asifanya kazi akae tu nyumbani, Yani usije ukayumba kiuchumi ndugu yangu atakuacha kwenye mataa. Mwanamke wa mashuke sio mwanamke wa kukaa nyumbani anapenda kufanya kazi.
7) mwanamke mwenye nyota ya mizani ana upendo Sana kwenye mahusiano ila anachotaka yeye uwe na upendo wa Kweli kwake, Sio Leo uwe na Aisha, kesho upo na Jane atakuacha kwenye mataa.
π mwanamke mwenye nyota ya ng'e anapenda mambo ya Siri. Huyu mwanamke Ni msiri Sana, Kuna Mambo ya Siri ambayo atayafanya bila ya kumshirikisha mume wake.
9) mwanamke mwenye nyota ya mshale ana uwezo wa kukiangalia kitu Kwa mapana zaidi. Wewe ukiwa na mawazo yako mafupi huwezi kudumu naye katika mahusiano. Yeye atakuwa anamfikiria mambo makubwa hata k**a hana uwezo nayo, lakini wewe utataka kuishi kwenye uhalisia wako jambo ambalo litapelekea mtofautiane kimawazo.
10) mwanamke mwenye nyota ya mbuzi anapenda kufanya kazi, Ila changamoto yake Sheria atakazoziweka katika nyumba lazima uzifuate, usipozifata mtakuwa watu wa kugombana kila kukicha.
11) mwanamke mwenye nyota ya ndoo ni mchangamfu Sana mbele ya macho ya watu, anapenda marafiki na kujichanganya katika jamii. Ila changamoto yake anapenda kuleta upinzani mkubwa k**a mkitofautiana kwenye nyumba. Huyu ndiye mwanamke mwenye upinzani usioelezeka.
12) mwanamke mwenye nyota ya samaki anapenda Sana mambo ya Imani kuliko uhalisia. Huyu mwanamke haamini kwenye nguvu zake, anaamini Kuna nguvu zitakuja zitamsaidia katika maisha yake.
Hizi ndio tabia za wanawake kulingana na nyota zao. Chaguo ni lako sasa.
MAALIM FUNDI
0620147536
Nyota ambazo zinauwezo wa kuwa tajiri
NG'OMBE
MASHUKE
MIZANI
MBUZI
Hii ni kutokana na unajimu wa sayari zao zenye uwezo mkubwa wa mali, na kuhusu nyota nyingine zinaweza kuwa tajiri ila zenye nguvu zaidi ni hizo
Nyota ambazo ni asili kipesa zinavutia pesa sana
NG'OMBE
MASHUKE
NG'E
MBUZI
SIMBA
Nyota zenye bahati sana
MSHALE
MAPACHA
PUNDA
NG'OMBE
Nyota ambazo zinawaza kila kitu kwa kupitiliza
MASHUKE
NG'E
MAPACHA
MIZANI
KAA
Nyota zenye asili ya kuwa kiongozi
SIMBA
MBUZI
PUNDA
NDOO
MSHALE
Nyota ambazo zinauaminifu mkali na ukweli
MSHALE
PUNDA
SIMBA
MASHUKE
KAA
Nyota ambazo siku zote zitasema K**a unawadanganya
MASHUKE
NG'E
NG'OMBE
MAPACHA
MBUZI
Nyota zinazojifanya hazijali kumbe zinajali
MASHUKE
KAA
SIMBA
NG'OMBE
PUNDA
NG'E
Nyota ambazo zikisema hazijali Basi hazijali kweli
MSHALE
MAPACHA
NDOO
MBUZI
MIZANI
SAMAKI
Maalim FundiβοΈ 0620147536
π₯
- "umimi" yaani ubinafsi ni mbinafsi sana PUNDA cha kwake chake chakwako chenu wote huo ndio Punda bhana. Pia "sasa hivi" yaani akitaka kitu chake ni hapo hapo hakuna kupoteza muda π₯
'OMBE - "ninacho" yaani anajihisi kuwa kile anachokitaka basi tayari anakipata π₯
- "ninafikiria" basi wao chochote wanachokifikiria huwa kinakamilika π₯
- "hisia" yaani kuhisi, ikimaanisha kuwa wao wakihisi uwepo wa kitu fulani hukipata π₯
- "Nita" yaani kudhamiria kitu akisema kitu fulani atakipata au atakifanya basi atafanya kweli au atakipata kweli π₯
- "nachambua" yaani akisema anachambua kitu au kufuatilia kitu basi yuko siriasi kwenye hilo π₯
- "ninalinganisha" yaani akijilinganisha na kitu au mtu huyo akilini mwake basi hupata kitu hicho au mtu huyo π
'E - "natamani' yaani wao wakitamani kitu rohoni mwao basi hukipata for the very same time yaani muda huo huo π
- "nalenga" yeye akikilenga kitu basi huwa hakikosi hata akikipania vipi huwa anakipata ndiomana nyota yao ni ya mshale yaani akilenga huwa hakosi shabaha yake π₯
- "natumia" basi yeye pale ambapo anatumia ndivyo huzidishiwa zaidi kupata π₯
- "najua" huwa ni mjuaji wa mambo na anajua kweli sio utani akisema kitu anakijua anakijua kweli sio masihala π₯
- "naamini" yaani pale wanapoamini kitu fulani au jambo fulani basi hufanikiwa kweli kulingana na imani yao π₯ 0616521952
Asalam aleikum warahmah tullah wabarakatuh;
: MAALIMU FUNDI ( +254786228159) WHATSUP:
::
: JINI MAHABA WA KIUME NI HATARI NA NUKSI SANA KULIKO MAHABA WA K**E;
: Hii ilmu au darsa hili ninalolitoa ni zito na litaleta utata na masuala mengi sana ya itilafu, kwa kila mtu mwenye upeo wake ndivyo atakaelewa;;@@
: HAwa MAJINI wote wana matatizo sana, hasa wanapokaa kwa mwanadamu, ila hapa kuna faida zake na hasara zake;
Kwani kuna Mahaba nuksi wa kutumwa na mtu kichawi
Kuna mahaba nuksi wa kukuingia kutoka kwa mganga uliyemuendea akutibu
Kuna Mahaba wa kukuingia kwa kukupenda tu, iwe ulipita Baharini au ziwani
Kuna mahaba wa KURITHI kwa mzazi wako
Kuna mahaba wa kwako wa Asili yako, ambaye, unazaliwa tu, yeye yupo tayari;
:: KUNA MAHABA WA KIROHANI k**a vile Rohani wa kiume anavyosimama kwako;
;; JINI MAHABA WA KIUME:
Huyu mara nyingu yupo kwa wanawake na huyu anaweza kuwa kwako, kutokana na njia nilizozitaja,
Huyu mara nyingi k**a ni wa asili yako, basi inategemea utamuweka vipi sawa, ili uweze kuolewa na maisha yako yawe mazuri na amani na hasiwe mwenye kukumiliki k**a mke wake;
: Sasa wengi wanawake wanao hawa na ndio wana haribu maisha yao ya ndoa na uhusiano, na pia uharibu maisha ya Mwanaume ambaye ameoa mwanamke huyu ;
: kwani hawa wana wivu mbaya sana na ukiwa na mwanamke, cha kwanza mgundue ana Mahaba aina gani;
Na ameweka agano gani kwa mwanamke huyu:
: Wengi hawafahamu tatizo ni nini?
Maana maisha ya watu wengj wanaume, yanaharibika kutokana na kuoa tu;
Au kuanza kuishi kimahusiano na mwanamke ;
: Jini la kiume mahaba ndilo linalofanya wanaume wengi uma huu, hawana nguvu za kuwakojelesha wanawake au kudumu nao kitendo kisawasawa, wengine ikisimama tu, inalala, kuinuka ni majaliwa hapo;
:: Majini ya kiume mahaba kwa wanawake ndio mlango wa ndoa nyingi kuwa na magomvi, vurugu za maneno, kuchukiana, mwanamke kuwa jeuri mpaka unakuwa unajuta, kwanini upe naye huyu mwanamke;
: MAJINI YA K**E MAHABA:
KWANINI WACHAWI HUWACHANJA WATU CHALE USIKU.???
Wachawi huwachanja watu chale kwasababu mbalimbali .Baadhi ya sababu nik**a ifuatavyo
1.KUSOMA NYOTA YA WAHUSIKA
Story ya maisha ya kila mtu imeandikwa katika damu yake.siri ya maisha na mipango ya maisha aliepangiwa na muumba wake kila mtu imeandikwa katika damu yake.wachawi wakatika kujua kuhusu siri hii hutafuta damu ya mtu ambae wanataka kujua kuhusu maisha yake.
2.KUIBA NYOTA.Hii ni sababu nyingine kwanini wachawi huchanja watu ..hii huja baada ya wachawi kusoma nyota kupitia damu ya muhusika na kuona inafaa kuchukuliwa kwa matumizi yao
3.KUPIMA KINGA YA MTU.wachawi wanapo taka kupima kinga ya mtu ni kubwa kiasi gani hufanya hivyo kwakusoma kupitia damu yake.k**a inavyo julikana kinga yoyote ya mwili hukaa kwenye Damu ..kinga anayo chanjiwa mtu hukaa kwenye damu au dawa zakinga anazo kunywa mtu hukaa kwenye damu ..hivyo ili wajue lazima wasome kwakutumia damu yako
4.KUPANDA MAPANDO YA KICHAWI
Wachawi huweza kutumia mwili wa mwanadamu kupanda mapando ya kichawi.mapando yao yanaweza kua kwafaida yao k**a wachawi huku mtu huyo wakimtumia k**a shamba
Ndani ya mwili wa Binadamu inaweza kupandwa roho ya mauti ,roho ya kukataliwa , Roho ya umasikini nk
5.KUFUGIA MAJINI WACHAFU
Wachawi wanaweza kuutumia mwili wamtu k**a banda lakufugia majini wachafu .majini wachafu wanaweza kukaribishwa ndani ya mwili wa mwanadamu kupitia chale za kichawi
Chale hizo hutumika k**a antena za kuvuta majini wachafu ndani ya mwili wa mtu
6.KUMPAKA MTU NUKSI NA MIKOSI
Njia kubwa inayotumika kuingiza nuksi na mikosi katika mwili wa mwanadamu ni hio ya kuingiza kupitia damu. MAALIM FUNDI +255612777113 Dar es salaam.
:ASALAAM ALEIKUM WARAHMAH TULLAH WABARAKATUH:
: Darsa ufahamu:
: TOFAUTI YA MAJINI WANAOPANDA KICHWANI NA MAJINI WANAOISHI NDANI YA MWILI WAKO KUPITIA VIVULI VYAO;
: Watu wengi wameaminishwa ujinga wa ufahamu kuhusu majini wazuri au wabaya, na wanaopanda au kuishi ndani ya mwili wako;
: KUNA AINA ZA MAJINI KWAKO
1) Wanaopanda kupitia mwili wako kwa kuwaita walipo ( Na awa kuna wazuri na wabaya, ila asilimia kubwa ni wazuri)
2) Alafu kuna majini wanaoishi ndani ya mwili wako, ( Awa pia kuna wabaya na wazuri)
; Sasa wengi wanadhania kuwa, k**a hapandishi majini , basi yeye hana majini na wala hana Roho za mizimu;
; ( Huku ni kujiaminisha ujinga unaokutesa)
: " MAJINI WA KUISHI MWILINI, :
Awa wana mifumo miwili pia kwa asili zao
1) Anaweza kutumia mwili wako kwa kupandisha na wewe husielewe kitu
2) Anaweza kupanda pia, na ukawa unajua kuwa kuna Roho nyingine inafanya jambo au kuongea jambo ( :
3) Na anaweza kutumia mwili wako, ili hali wewe nafsi yako mda huo au kivuli chako, kinawekwa pembeni humo humo,
Na mtu akikuona, anaona kawaida tu k**a wewe, kumbe ni KIVULI CHA JINI MDA HUO NA NAFSI YAKE:
" Angalia kuna mda mtu anafanya matukio mazuri au mabaya na mara mda, ana shangaa, ilikuwaje:
:: NI SABABU MWILI UNA VIUMBE WENGI WANAUTUMIA;
" Je, ushawahi kumuona maalimu au mtaalamu na akakwambia una roho ngapi ndani yako za majini na Roho za watu wa ukoo waliokufa?
:Kwa msaada Whatsapp +255612777113
NUKSI.
Je nuksi Ni nini?
Je Ni kweli ipo na inaathiri vipi kipato au maisha ya mtu.
Nuksi Ni ile hali ya upepo mbaya humkumba au humuandama mtu.
Na mtu akisha kumbwa na nuksi huwa mambo yako hata k**a alikuwa na biashara kubwa inaporomoka yote.
Pia mtu hukumbwa na matatizo Mara ajari,kuibiwa,kutukanwa na kupigia,kutengwa na kudharauliwa. Pia kutokuwa na mafanikio katika maisha.
Sababu.
Kuna sababu nyingi husababisha nuksi.
Kijicho.
Hii Ni ile mtu akijutazama tu kwa mshangao japo kwa nia njema au kukusifu lkn utakuta baada ya hapo jambo alilokusifu kinahalibika .
Huyu mtu si Mchawi Bali hii huitwa kijicho kuna baadhi ya watu wako hivyo.
Mfano. Umepata kazi nzuri. Kuna mtu akikuona akisema hee umependeza ,nasikia umepata kazi hongera sana......basi akisema tu hivyo humalizi siku tatu unafukuzwa kazi.
Uchawi.
Mtu akifanyiwa uchawi huu wa kuchafuliwa nyota zake ndio tunauita nuksi. Uchawi huu hufanywa kwa kutilia nia mtu Fulani na kweli inakuwa k**a ilivyokusudiwa.
Uchawi huu waweza fanywa aidha njia panda,kaburini,mayai viza,kamba,kitambaa,msumari,kufuri ama njia nyinginezo ziko nyingi.
Mtu akifanyiwa hii lazima mganga amfungue kisha ndio apandishwe nyota zake na mvuto ndio mtu huyu atafurahia maisha upya.
Nuksi ya jini.
Kuna Majini wakiwaingia binadamu huwafunga mambo yao yote.
Majini hawa hupatikana aidha kwa kufanya mapenzi na kutembea bila kuoga, ama kufanya mapenzi na wanaume au wanawake wengi. Wengine huwa na nuksi hivyo wanakupatia. Na sababu zingine tu nyingi k**a kuingiwa na jini subiani,jini maiti,mizimu mibaya n.k
Tiba.
Tiba ya hii mtu hawezi kujitibia mwenyewe Bali anatakiwa afunguliwe na mganga kwa njia maalum.
Lkn pia ziko dawa za kupoza .
Mfano.
Ukoge ama ujifushe majani ya njia panda saba. Kisha uchemshe ukoge au ujifushe.
Pia unaweza kujifusha majani ya kivumbasi,mbaazi,mchekacheka na mwinga jini.kwa siku saba.
K**a una nuksi hata k**a uko mbali tuwasiliane WhatsApp
+255612777113
Kafara kubwa..
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Tabata