ASALI Asili na Mbichi

ASALI Asili na Mbichi

Share

Asali Mbichi na Asili Ni Asali kutoka maeneo Mbalimbali ya Mkoa wa Tabora, Katavi na Kigoma. Asali Ina chujwa kwa vikapu vya Asili na kupakiwa kwenye madumu.

Asali ya Masega inapakuliwa kutoka kwenye mzinga na kupanga kwenye Ndoo Tunakutumia Hadi ulipo kwa ghalama zako, kitu Cha kujua Ni kwamba bei ya asali inabadilikabadilika kulingana na msimu

04/08/2022

Maoni na ushauri
Unakaribishwa

09/07/2022

Msimu mpya wa kuvuna asali Umeanza kwa Sasa dumu la asali mbichi asili ambayo haipitishwa kwenye mashine ya kuchuka , Dumu la Lita 20 ni 110,000/= karibuni

Asali iliyochujwa kwa mashine Dumu la Lita 20 ni 130,000/= ni asali Safi kwa muonekano lakini kitendo Cha kupitisha kwenye mashine wengine wanasema tayali umeondoa uasili wake japo bado itaitwa asali mbichi

Asali ya Masega ambayo haijachujwa kabisa Toka kwenye mzinga ni TSh 5,000/= kwa kilo moja

Piga simu hizo hapo juu asali mbichi asili na mbichi itakufikia

09/09/2019

HIZI HAPA FAIDA ZA ASALI ZA NYUKI WADOGO KWA UNDANI ZAIDI SOMA HAPA ILI UJUE.

Na Jesca Pelembela,Morogoro

Idara ya Biologia ya Misitu SUA, imewashauri wananchi kutumia asali bora iliyotengenezwa na nyuki wadogo kwa sababu ni asali iliyo na virutubisho vingi na muhimu kwa matumizi, pia hutumika k**a dawa ya magonjwa mbali mbali.

Akizungumza na mwangukuonline mtaalamu wa mambo ya nyuki na uvunaji wa asali, Bwana Michael Singila, amesema kuwa asali ya nyuki wadogo ni nzuri zaidi kwa sababu nyuki wadogo hutengeneza asali yenye virutubisho vingi ukilinganisha na asali ya nyuki wakubwa.

“kuna utofauti kati ya asali ya nyuki wadogo na nyuki wakubwa, asali ya nyuki wadogo ni nyepesi, ina rangi ya kahawia na ina radha ya chachu na uchungu kidogo, tamu na ina limao pamoja na ukakasi, asali ya nyuki wakubwa inakuwa rangi nyeusi, nyeupe, njano pamoja na rangi ya dhahabu” Amesema Bwana Singila.

Bwana Singila amesisitiza kuwa asali ya nyuki wadogo ni nzuri kwa matumizi, lakini asali bora ni ile iyokomaa na kurinwa shambani kwa kukamuliwa na si ile ambayo hurinwa na kupikwa, kwa sababu asali ikipikwa hupoteza virutubisho.

Amesema ili kutambua kuwa asali ni bora na haijachemshwa ni lazima uonje na kunusa, endapo asali imechemshwa utahisi harufu ya moshi na k**a haijachemshwa utahisi radha ya maua, na asali hiyo itakuwa bora kwa kuwa virutubisho vilivyomo ndani ya asali vitakuwa havijaharibiwa.
Lita Moja inauzwa 25,000/=
Piga 0757206276

21/08/2019

Use of honey has a very long history. Honey has been used since ancient time due to its nutritional and therapeutic values. There had been varied ways of consumption honey including its use as a sweetener and flavoring agent. Honey is produced all over the world. The most important nutriment of honey is carbohydrates present in the form of monosaccharides, fructose and glucose. Honey plays an important role as an antioxidant, anti-inflammatory, anti-bacterial agent and augments the adherence of skin grafts and wound healing process. The role of honey has been acknowledged in the scientific literature and there is convincing evidence in support of its antioxidant and antibacterial nature, cough prevention, fertility and wound healing properties. However, its use has been controversially discussed and has not been well accepted in the modern medicine. The aim of this review was explore and highlight the role of honey in modern medicine.

20/08/2019

Tunauza Asali asili na mbichi.
Tunampakilia mteja Hadi alipo nauli anagharamia mteja.
Inauzwa kwanzia dumu la Lita tano na Lita 20.
Kwa anaehitaji piga cm zifuatazo
Whasap 0757206276
Call & sms 0624 884910

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Tabora?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Tabora