Riboha Docteur
UTUMIAJI WA MITI SHAMBA HUIMARISHA MWILI USIWEZE KUSHAMBULIWA NA MARADHI KIRAHISI.
06/11/2024
CHANGO LA UZAZI NA TIBA YAKE
FAHAMU KUHUSIANA NA CHANGO LA UZAZI NA TIBA ZAKE ZA ASILI
CHANGO
Humaanisha matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume.
Huu ni ugonjwa ambao humpata mtu katika umri mdogo utotoni. Kwa mfano :- mume, hupata maumivu ya tumbo mara kuanzia anapokuwa mdogo.
Kwa upande wa mwanamke hupata maumivu ya tumbo anapoanza kuvunja ungo.
Maumivu hayo hupelekea mtu (mume/mwanamke) kupata madhara katika viungo vyake vya uzazi.
DALILI ZAKE
(KWA MWANAMME HUITWA NGIRI)Baadhi ya dalili Kwa
mwanaume akiwa anashiriki tendo la ndoa anawahi sana kufika kileleni na kurudia mara nyingine ni vigumu sana.
Pia mwanaume hatakuwa na uwezo wa kusimamisha na mengineyo
( BAADHI YA DALILI KWA MWANAMKE)
Mwanamke mwenye chango la uzazi ana dalili zifuatazo:-
Kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi
Kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa
Siku zake za hedhi hazitakuwa na ratiba, zitakuwa zinabadilika badilika
Hujisikia homa kali anapokaribia siku zake za hedhi
Kupatwa hasirakali/ jazba anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi.
Kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi.
Kupata mchubuko kwenye mapaja na sehemu za uke.
Kuchukia kushiriki tendo la ndoa
Kupata uvimbe kwenye kizazi na mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi
Madhara yake kwa mwanamke
Kwa mwanamke ni vigumu kupata mimba na anaweza kuwa tasa kabisa k**a tatizo halikushughulikiwa mapema
Kuingia na kutoka kwa mimba
Kuwa na hamu ya tendo la ndoa lakini hafikii kileleni
Kuwa na uke mdogo sana(k**a ni mme pia uume unarudi ndani yani unasinyaa na kuwa mdogo)
Madhara kwa Mwanaume
Kuwa na mbegu ambazo haziwezi kutunga mimba
Kiwango kinachozalishwa cha mbegu ni kidogo mno
Kuwa na kiwewe cha kushiriki tendo la ndoa
Kusimama na kusinyaa kwa uume
Tiba ya Chango la Uzazi
Ni vizuri sana kumweleza Dr. Dalili zote mtu anapojisikia.
Mara nyingi ugonjwa huu hautibiwi kwa dawa za hospitalini, bali ugonjwa wa chango la uzazi hutibiwa na miti shamba.
Dawa inayotibu ugonjwa huu ni dawa inayotibu kizazi.Matumizi yake kawaida mtu ataitumia kulingana na ukubwa wa tatizo lake.
Asali ya unga (Powdered honey)
Ni dawa na ni kirutubisho.
Ina sifa kemkemu kutokana na uharaka wake wa kushambulia maradhi mwilini.
Hitibu
1.Gesi tumboni
2.Constipation(kukosa choo)
3.Maradhi ya kifua
4.Maradhi ya moyo
5.Vidonda vya tumbo
6.Huyeyusha mafuta kwenye mishipa mwilini
7.Chango la uzazi
8.Mshipa wa ngiri
9.Hutibu minyoo tumboni.
10.Tatizo la nguvu za kijinsia
11.Tatizo la kuwahi kumaliza na kushindwa kurudia kwenye tendo la ndoa
12.Hukomaza mbegu za uzazi
13.Husafisha Damu
14.Hutoa uchafu wa kimazingara tumboni.
15.Hutibu bawasiri.
16.Hutibu Maradhi ya kichwa, kiuno na mgongo
17.Tatizo la kusinyaa maumbile ya kiume.
18.Hutoa sumu mwilini.
19.Husafisha kibofu.
20.Hupunguza kitambi
21.Hutibu tatizo la kukosa hisia za tendo la ndoa.
22.Tatizo la kutoshika ujauzito.
23.Tatizo la kiungulia na kichefuchefu.
24.Hedhi iliyokwama.
25.Hurudisha hali ya kawaida kwa walioathirika na kujichua hadi maumbile kusinyaa.
Ni dawa yenye wepesi wa kulika kwani ni tamu k**a asali, ipo kwenye mfumo wa unga, hutumiwa kwa kulamba au kubwia.
Kwa mawasiliano bonyeza neno WhatsApp
07/10/2023
Asali ya unga (Powdered honey)
Ni dawa na ni kirutubisho.
Ina sifa kemkemu kutokana na uharaka wake wa kushambulia maradhi mwilini.
Hitibu
1.Gesi tumboni
2.Constipation(kukosa choo)
3.Maradhi ya kifua
4.Maradhi ya moyo
5.Vidonda vya tumbo
6.Huyeyusha mafuta kwenye mishipa mwilini
7.Chango la uzazi
8.Mshipa wa ngiri
9.Hutibu minyoo tumboni.
10.Tatizo la nguvu za kijinsia
11.Tatizo la kuwahi kumaliza na kushindwa kurudia kwenye tendo la ndoa
12.Hukomaza mbegu za uzazi
13.Husafisha Damu
14.Hutoa uchafu wa kimazingara tumboni.
15.Hutibu bawasiri.
16.Hutibu Maradhi ya kichwa, kiuno na mgongo
17.Tatizo la kusinyaa maumbile ya kiume.
18.Hutoa sumu mwilini.
19.Husafisha kibofu.
20.Hupunguza kitambi
21.Hutibu tatizo la kukosa hisia za tendo la ndoa.
22.Tatizo la kutoshika ujauzito.
23.Tatizo la kiungulia na kichefuchefu.
24.Hedhi iliyokwama.
25.Hurudisha hali ya kawaida kwa walioathirika na kujichua hadi maumbile kusinyaa.
Ni dawa yenye wepesi wa kulika kwani ni tamu k**a asali, ipo kwenye mfumo wa unga, hutumiwa kwa kulamba au kubwia.
Kwa mawasiliano bonyeza neno WhatsApp hapo chini.
10/10/2022
KUSAFISHA TUMBO (COLON FLUSH).
Ni njia itumikayo kuondoa masalia ya uchafu uliorundikana katika utumbo mkubwa.
Kuna mabaki ambayo hubakia kwenye kuta za utumbo na kuzidi kutengeneza dampo la uchafu kadiri muda unavyo zidi bila kusafisha tumbo lako.
Inajulikana ya kuwa masalia ya chakula katika kuta za utumbo ndio chanzo kikuu cha maradhi mbalimbali mwilini.
Kwani ndio inakuwa sehemu ya mazalia ya bakteria wanaoanzisha maradhi mwilini.
Kusafisha tumbo au kuflash kunarudisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwenye utendaji wake mzuri.
Kuflash kunaondoa mabaki ya uchafu uliowekwa kwa njia za mazingara(uchawi)na kuponesha magonjwa yasiyo pona kwa dawa za hospitali.
Kuflash kuna zibua mirija na kusafisha damu na kuondoa mafuta ya kitambi.
Kupata ushauri na tiba wasiliana nasi kwa WhatsApp kwa kubonyeza neno WhatsApp chini kulia kwako.
10/10/2022
Kisukari: Unahitaji kujua nini kuhusu ugonjwa wa kisukari?
Aina ya 1 ya kisukari hugundulika mapema wakati wa utoto au ujana. Inaweza kuhusishwa na maumbile au kusababishwa na maambukizi ya virusi
Ugonjwa wa kisukari ni miongoni mwa magonjwa ambayo yanaua watu zaidi ya milioni moja kila mwaka - na mtu yeyote anaweza kuupata.
Husababishwa wakati mwili hauwezi kuchakata sukari (glucose) yote katika mfumo wa damu;
Matatizo yake yanaweza kusababisha mshtuko wa moyo, kiharusi, upofu, figo kushindwa kufanya n.k
Nini kinachosababisha ugonjwa wa kisukari hasa?
Tunapokula, mwili wetu hugawanya wanga ndani ya sukari (glucose). Homoni iitwayo insulini, inayozalishwa kwenye kongosho, kisha huelekeza seli za mwili wetu kunyonya sukari hizo kwa ajili ya nishati.
Kisukari kinatokea wakati insulin haizalishwi kwenye kongosho au haifanyi kazi ipasavyo, hivyo kusababisha sukari kujilimbikiza katika damu.
Matumizi makubwa ya sukari huongeza kiwango cha sukari kwenye damu
Je, kuna aina gani za kisukari?
Kuna aina kadhaa za ugonjwa wa kisukari.
Aina ya 1 ya kisukari, kawaida kongosho huacha kuzalisha insulini, hivyo sukari hujilimbikiza kwenye damu.
Wanasayansi hawajui hasa kwa nini hii hutokea lakini wanaamini kuwa inaweza kutokana na maambukizi ya virusi ambayo huharibu seli zinazozalisha insulini kwenye kongosho.
Takriban asilimia 10 ya watu walio na ugonjwa wa kisukari wana aina hii ya 1.
Kisukari aina ya 2 , kawaida kongosho inakuwa haitoi insulini ya kutosha au homoni haifanyi kazi vizuri.
Insulini ni homoni inayozalishwa kwenye kongosho ambayo huwezesha mwili wetu kunyonya sukari.
Hii kwa kawaida hutokea kwa watu wenye umri mkubwa, wa makamo na wazee, lakini pia vijana ambao ni wazito na wanao kaa tu bila kuushughulisha mwili.
Nini dalili za ugonjwa wa kisukari?
Dalili za kawaida ni pamoja na:
=Kuhisi kiu sana
=Kukojoa zaidi ya kawaida,hasa usiku
=Kujisikia kuchoka sana
=Kupunguza uzito kwa kasi
=Uoni hafifu
=Vidonda ambavyo havitibiki
Ugonjwa wa kisukari hutegemea maumbile na mazingira lakini unaweza kusaidia kuweka viwango vya sukari kwenye damu yako kwa lishe bora na mtindo mzuri wa maisha.
Uchaguzi wa vyakula ni muhimu katika kudhibiti ugonjwa wa kisukari
Muhimu kuepuka vyakula na vinywaji vya sukari vilivyochakatwa, na kuachana na vyakula k**a mkate mweupe, sukari iliyosafishwa na nafaka zilizosafishwa zinakuwa na virutubishi vichache kwa sababu sehemu zenye nyuzi zenye vitamini nyingi zinakuwa zimeondolewa.
Mifano ni pamoja na unga mweupe, mkate mweupe, wali mweupe, tambi nyeupe, maandazi, vinywaji vya sukari/sukari, peremende, na vitafunwa k**a maandazi, chapati nk, zilizoongezwa sukari.
Ni muhimu kufanya mazoezi angalau kwa masaa 2 na nusu kila wiki
Uzito wenye afya utarahisisha mwili wako kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu. Ikiwa unahitaji kupunguza uzito, jaribu kufanya hivyo polepole, upunguze kati ya kilo 0.5 na kilo 1 kwa wiki.
Ni muhimu pia kutovuta sigara na kutazama viwango vyako vya cholesterol ili kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo.
Je, matatizo ya kisukari ni yapi?
Kiwango cha juu cha sukari katika damu kinaweza kuharibu mishipa ya damu.
Ikiwa damu haiwezi kutiririka vizuri katika mwili wako, haiwezi kufikia sehemu za mwili zinazohitaji damu, kunapoteza hisia na maumivu), kupoteza kuona na maambukizi ya miguu.
Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi kwa WhatsApp kwa kubonyeza neno WhatsApp chini kulia kwako.
06/10/2022
JE? WAZIFAHAMU DALILI ZA MTU ALIEROGWA AU MWENYE JINI MWILINI
HEBU LEO ZIJUE BAADHI TU
= PRESHA MARA KWA MARA HATA DAWA HAIKUBALI.
=KUTOONA BILA YA SABABU
=NDOTO ZAKUTISHA NA ZISIZOELEWEKA.
= HEDHI ISIYO NA MPANGILIO.
=UJAUZITO NA UKIPIMA HAUONEKANI.
= KIZUNGUZUNGU MARA KWA MARA
= TUMBO KUUMA SANA HASA CHINI YA KITOVU.
= KICHWA KUUMA KWA VIPANDE.
= KUSHTUKA NA MOYO KWENDA MBIO.
= MWILI KUSHIKA MOTO.
=TUMBO KUUMA SANA KIPINDI CHA HEDHI
= MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA.
= KULIA BILA SABABU NA KUTINGISHIKA.
= MWILI KUWA MZITO NA KUWA NA HASIRA.
=KUTEMBEWA NA VITU MWILINI
=KUTAMANI KUACHWA NA KUACHA.
=MAUMIVU CHINI YA UTI WA MGONGO.
= KUOTA UNAFANYA JIMAI (MUME=MKE)
= KUOTA UNAZAA, UNANYONYESHA.
= UKIOTA JIMAITU MIMBA INATOKA.
=KUBANWA NA JINAMIZI USINGIZINI, NA USINGIZI MWINGI
=KUOTA UNAPAA.
=KUSIMAMIWA NA MTU NA UKIGEUKA HAYUPO.
=MAGOMVI KILA MARA KWENYE NDOA.
=KUPOTEZA VITU K**A PESA, MIKUFU, HATA UKIFICHA
= KUPOTEZA KUMBUKUMBU NDANI YA SWALA..
=KUMCHUKIA MUME AU MKE.
=KUOTA UNAINGILIWA KINYUME CHA MAUMBILE.
=KUHISI UNAINGILIWA SIO NDOTONI.
HIZO NI BAADHI YA DALILI ZA MTU MWENYE SHETANI AU KULOGWA.
06/10/2022
FAHAMU FAIDA 11 ZA RIBOHA RIJALI K**A TIBA YA MWILI.
1) Riboha Rijali inasafisha kibofu cha mkojo na kutibu maumivu ya viungo.
2) Riboha Rijali inatibu tatizo la kukosa choo.
3) Riboha Rijali hutibu magonjwa ya tumbo na kujaa gesi.
4) Riboha Rijali huondoa sumu mwilini na kutibu tatizo la mmeng'enyo wa chakula.
5) Riboha Rijali inaua bacteria,huzuia wadudu wasikae katika ngozi.
6) Riboha Rijali hutibu homa za mara kwa mara.
7) Riboha Rijali hutibu tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa.
8) Riboha Rijali hujenga na kuimarisha mishipa ya njia za uzazi kwa mume na mke.
9) Riboha Rijali hurefusha muda wa kushiriki katika tendo la ndoa.
10)Riboha Rijali huondoa uchovu wa mwili na kuleta uchangamfu.
11) Riboha Rijali inatibu ngiri na kupunguza unene.
Riboha Rijali ina faida nyingi sana ndani ya mwili wa mwanadamu kwani inatengenezwa kutokana na mimea muhimu yenye matunda, magome, mizizi, majani na maua.
Tabibu Riboha.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Tanga