AFYA YAKO kwanza

AFYA YAKO kwanza

Share

mimi ni daktari bingwa wa magonjwa ya PSYCHOSOMATIC NINA TIBU KWA LISHE ZA
MATUNDA MIMEA MBEGU VIAZI MBOGA NA MAUA.

18/12/2022

pumu ni tatizo kubwa.ukijigundua au ukigundua mtu mwenye pumu
tuarifu haraka tuziondoe.

04/12/2022

Wagonjwa wangu wapendwa punguzeni simu nimo humu kwa mgonjwa mwezenu tunaangalia kombe la dunia nimealikwa hapa.

01/12/2022

Mheshimiwa WAZIRI WA ELIMU

01/12/2022

Mheshimiwa WAZIRI WA ELIMU.
Ulitufurahisha sana ulipochukua hatua za haraka kwa watoto waliobadilishiwa namba zao.ULIWAACHISHA KAZI WALIMU WALE.
Hiki kitendo cha kuwalazimisha wanafunzi kusema uongo secular yake umeitoa lini iliyo wapa walimu nguvu ya kufundisha uongo?
Kitendo cha kupiga watoto kwa kutumia nyaya za umeme secular hiyo umeitoa lini na ni namba ngapi?
Kunyamaza kwako ni dalili tosha kuwa umekubaliana na vitendo hivo vya walimu wako.nijuavyo mimi viboko shuleni vimedhibitiwa na sheria ya elimu ya 1978 ambayo imefanyiwa marekebisho.
Matendo yaliyo tendeka ni;-
-watoto kupigwa kikatili
- watoto kudhalilishwa yaani waseme wameingiliwa kimwili.
-watoto kuvurugwa kisaikolojia.
Kwakuwa umeshindwa kuchukua hatua stahi kwa hao walimu UNAPASWA KUKICHUKULIA HATUA WEWE MWENYEWE KABLA HATUJA MUOMBA MHESHIMIWA RAIS DR.SAMIA KUKUCHUKULIA HATUA KALI.

Kwa

-

19/11/2022

Wengi wetu hayujui kwamba hanzi ya miguu husababishwa na hizo pinvili tunazoita kitaalam LAMBAR
INGIA WHATSAPP 0689998777
utuulize tukueleze na namna ya kukutibu

12/11/2022

KANSA KANSA KANSA
CANCER CANCER CANCER
SARATANI SARATANI
Nikatika magonjwa hatari sana lakini dawa kutoka mmea huu ikichanganywa na mingine
Imesafisha seli za kansa kabisa yaani tunaondoa FREE RADICAL CELLS COMPLETELY.
TUPIGIE AU TUMA SMS 0675954771/0689998777.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Tanga?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


TANGA
Tanga