AFYA YAKO kwanza
mimi ni daktari bingwa wa magonjwa ya PSYCHOSOMATIC NINA TIBU KWA LISHE ZA
MATUNDA MIMEA MBEGU VIAZI MBOGA NA MAUA.
pumu ni tatizo kubwa.ukijigundua au ukigundua mtu mwenye pumu
tuarifu haraka tuziondoe.
04/12/2022
Wagonjwa wangu wapendwa punguzeni simu nimo humu kwa mgonjwa mwezenu tunaangalia kombe la dunia nimealikwa hapa.
Mheshimiwa WAZIRI WA ELIMU
Mheshimiwa WAZIRI WA ELIMU.
Ulitufurahisha sana ulipochukua hatua za haraka kwa watoto waliobadilishiwa namba zao.ULIWAACHISHA KAZI WALIMU WALE.
Hiki kitendo cha kuwalazimisha wanafunzi kusema uongo secular yake umeitoa lini iliyo wapa walimu nguvu ya kufundisha uongo?
Kitendo cha kupiga watoto kwa kutumia nyaya za umeme secular hiyo umeitoa lini na ni namba ngapi?
Kunyamaza kwako ni dalili tosha kuwa umekubaliana na vitendo hivo vya walimu wako.nijuavyo mimi viboko shuleni vimedhibitiwa na sheria ya elimu ya 1978 ambayo imefanyiwa marekebisho.
Matendo yaliyo tendeka ni;-
-watoto kupigwa kikatili
- watoto kudhalilishwa yaani waseme wameingiliwa kimwili.
-watoto kuvurugwa kisaikolojia.
Kwakuwa umeshindwa kuchukua hatua stahi kwa hao walimu UNAPASWA KUKICHUKULIA HATUA WEWE MWENYEWE KABLA HATUJA MUOMBA MHESHIMIWA RAIS DR.SAMIA KUKUCHUKULIA HATUA KALI.
Kwa
-
19/11/2022
Wengi wetu hayujui kwamba hanzi ya miguu husababishwa na hizo pinvili tunazoita kitaalam LAMBAR
INGIA WHATSAPP 0689998777
utuulize tukueleze na namna ya kukutibu
12/11/2022
KANSA KANSA KANSA
CANCER CANCER CANCER
SARATANI SARATANI
Nikatika magonjwa hatari sana lakini dawa kutoka mmea huu ikichanganywa na mingine
Imesafisha seli za kansa kabisa yaani tunaondoa FREE RADICAL CELLS COMPLETELY.
TUPIGIE AU TUMA SMS 0675954771/0689998777.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
TANGA
Tanga