Doctor Kisatu

Doctor Kisatu

Share

Chief Executive Pathologist Officer Servant And Management

29/12/2024

Habari Leo tutajifunza Mambo mbalimbali kuhusiana na PID(Pelivin Inflammatory Desease)
SABABU ZA PID
๐Ÿ“ Ngono zembe
๐Ÿ“ Kuugua majonjwa ya zinaa mda mrefu bila matibabu K**a vile kaswende na kisosonono
๐Ÿ“Utoaji wa mimba au ujauzito (abotion)
๐Ÿ“ Utumiaji wa madawa ya kuzuia mimba
๐Ÿ“ Maambukizi ya bakteria wabaya n.k
DALILI ZA PID
๐Ÿ“Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
๐Ÿ“ Maumivu makali ya nyonga au Tumbo chini ya kitovu
๐Ÿ“Kutokwa na uchafu sehemu za Siri wa rangi ya (cream) maziwa mtindi,kijani au mweupe unao ambatana na Harufu kali
๐Ÿ“ Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
๐Ÿ“Kutokwa na maji yasiyo ya kawaida baada ya tendo la ndoa au baada ya kuingia hedhi na yenye Harufu mbaya
๐Ÿ“Homa Kali
๐Ÿ“ Maumivu makali wakati wa kukojoa, kukojoa Mara kwa mara na kukojoa kwa Shida
๐Ÿ“Kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida na yenye Harufu mbaya
๐Ÿ“ Kichefuchefu,kutapika na Kuhisi unaujauzito ukipima hamna
MADHARA YA PID
๐Ÿ“ kupata ugumba na utasa
๐Ÿ“ Mimba kuharibika Mara kwa mara au kutoka
๐Ÿ“ Kuharibu mfumo wa uzazi
๐Ÿ“Kuto Furahia tendo la ndoa
๐Ÿ“ Kuvurugika kwa homoni hapo mtu huanza kupata hedhi isiyo na mpangilio
๐Ÿ“Kati ya mwanamke 10 warioadhirika na PID mmoja au wawili hupata utasa au ugumba kwa sababu PID hepelekea makovu kwenye mirija ya uzazi

Hivyo basi k**a unasumbuliwa na changamoto ya PID AU umeanza kupata dalili za PID ni vyema ukanitafuta Ili upate suruhisho la tatizo lako na kuepuka madhara makubwa hapo badae

๐Ÿ™๐Ÿ™ Shukrani sana
Kwa ushauri na matibabu
Piga simu no
0622142800.
N.B: DR. KISATU.

28/09/2024

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Mungu Ibariki Kisatu Healthy Care Foundation And Management ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Mungu Ibariki Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania JMT ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kazi Iendeleeh
MEDICAL PERSONELLY SERVANT
Afya Yako Ni Mtaji Wako. Itunze Afya Yako.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Tanga?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Magomeni Tanga & Ilala Dar Es Salaam
Tanga
2500