Doctor Kisatu
Chief Executive Pathologist Officer Servant And Management
29/12/2024
Habari Leo tutajifunza Mambo mbalimbali kuhusiana na PID(Pelivin Inflammatory Desease)
SABABU ZA PID
๐ Ngono zembe
๐ Kuugua majonjwa ya zinaa mda mrefu bila matibabu K**a vile kaswende na kisosonono
๐Utoaji wa mimba au ujauzito (abotion)
๐ Utumiaji wa madawa ya kuzuia mimba
๐ Maambukizi ya bakteria wabaya n.k
DALILI ZA PID
๐Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
๐ Maumivu makali ya nyonga au Tumbo chini ya kitovu
๐Kutokwa na uchafu sehemu za Siri wa rangi ya (cream) maziwa mtindi,kijani au mweupe unao ambatana na Harufu kali
๐ Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
๐Kutokwa na maji yasiyo ya kawaida baada ya tendo la ndoa au baada ya kuingia hedhi na yenye Harufu mbaya
๐Homa Kali
๐ Maumivu makali wakati wa kukojoa, kukojoa Mara kwa mara na kukojoa kwa Shida
๐Kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida na yenye Harufu mbaya
๐ Kichefuchefu,kutapika na Kuhisi unaujauzito ukipima hamna
MADHARA YA PID
๐ kupata ugumba na utasa
๐ Mimba kuharibika Mara kwa mara au kutoka
๐ Kuharibu mfumo wa uzazi
๐Kuto Furahia tendo la ndoa
๐ Kuvurugika kwa homoni hapo mtu huanza kupata hedhi isiyo na mpangilio
๐Kati ya mwanamke 10 warioadhirika na PID mmoja au wawili hupata utasa au ugumba kwa sababu PID hepelekea makovu kwenye mirija ya uzazi
Hivyo basi k**a unasumbuliwa na changamoto ya PID AU umeanza kupata dalili za PID ni vyema ukanitafuta Ili upate suruhisho la tatizo lako na kuepuka madhara makubwa hapo badae
๐๐ Shukrani sana
Kwa ushauri na matibabu
Piga simu no
0622142800.
N.B: DR. KISATU.
๐น๐ฟ Mungu Ibariki Kisatu Healthy Care Foundation And Management ๐น๐ฟ
Mungu Ibariki Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania JMT ๐น๐ฟ Kazi Iendeleeh
MEDICAL PERSONELLY SERVANT
Afya Yako Ni Mtaji Wako. Itunze Afya Yako.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Magomeni Tanga & Ilala Dar Es Salaam
Tanga
2500