Shamba linatibu.
Tiba lishe
19/08/2022
*DAWA ZA ASILI ZA WANAWAKE NA WANAUME.*
________________
*➖ Doctor Kaimu.*
_____________________________________
*+255 710 672 417.*
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖
_____________________________________
*DAWA ZA UNENE.*
————————————
[1] Dawa ya kuongeza unene wa mwili.
[2] Dawa ya kujaza miguu.
[3] Dawa ya kukuza hips na makalio.
[4] Dawa ya kuongeza unene na urefu wa uume.
[5] Dawa ya kujaza matiti.
[6]Dawa ya kuongeza misuli na six pack.
*DAWA ZA KUTIBU.*
————————————
[1] Kuongeza nguvu za kiume.
[2] Kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
[3] Kuongeza uwezo wa kurudia Tendo la ndoa.
[4] Kurudisha maumbile yaliyosinyaa.
[5] Kutibu walioathirika na punyeto.
[6] Kuongeza uwezo wa kudumu zaid ktk tendo la ndoa.
[7] Kuongeza uwezo wa kuzalisha mbegu za kiume.
*DAWA ZA UREMBO.*
—————————————
[1] Dawa za kurefusha nywele hadi mgongoni.
[2] Dawa za kuotesha nywele kwenye vipara.
[3] Dawa za kuondoa mvi zisiote tena.
[4] Dawa za kuondoa ndevu zisiote tena.
[5] Dawa za kufanya nywele kuwa nyeusi daima.
[6] Kuongeza rangi ya ngozi.
[7] Kuondoa makovu yote sugu mwilini.
[8] Kuondoa mikunjo na makunyanzi ya ngozi.
[9] Kuondoa vitambi na nyama uzembe.
[10] Kupunguza unene.
[11] Kuondoa michirizi na mabaka
_____________________________________
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili ) na mimea na virutubisho
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
*➖Doctor Kaimu.*
_____________________________________
➖(+255 710 672 417)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖
_____________________________________
_____________________________________
https://wa.me/255710672417
_____________________________________
19/08/2022
04/07/2022
*🌐DAWA ASILI TUNAZO UZA :🌐*
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
➖Tanzania - Dar -es-salaam.
Dawa tulizonazo ni zile zinazo tibu na kuponyesha kabisa magonjwa na matatizo mbalimbali ya kiafya k**a vile.
*➖Ngiri*
*➖Vidonda vya tumbo*
*➖Bawasiri*
*➖Mayoma(fibriods)*
*➖Pressure*
*➖Mawe kwenye figo*
*➖Nguvu za kiume na za k**e.*
*➖Dawa ya kuacha pombe*
*➖Tezi dume*
*➖Cancer*
*➖Kurefusha na kunenepesha uume kwa wale walio pata maradhi uume ukasinyaa*
*💡DAWA ZA UREMBO.*
*✔️Dawa za kurefusha nywele hadi mgongoni.*
*✔️Dawa za kuotesha nywele kwenye vipara.*
*✔️Dawa za kuondoa mvi zisiote tena.*
*✔️Dawa za kuondoa ndevu zisiote tena.*
*✔️Dawa za kufanya nywele kuwa nyeusi daima.*
*✔️Kuongeza rangi ya ngozi.*
*✔️Kuondoa makovu yote sugu mwilini.*
*✔️Kuondoa mikunjo na makunyanzi ya ngozi.*
*✔️Kuondoa vitambi na nyama uzembe.*
*✔️Kupunguza unene.*
*✔️Kuondoa michirizi na mabaka.*
*Jiunge ktk Group letu Kwa link hii.*
⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️
*https://chat.whatsapp.com/D6c4UpRpZu0ARWUMsq3pjC*
UGONJWA NA DAWA WhatsApp Group Invite
*DAWA ZA ASILI ZA WANAWAKE NA WANAUME*
*Call&Txt&Whatsapp*
💺 *DOCTOR KAIMU.*
🤳 *+255 710 672 417*
*DAWA ZA UNENE.*
✔️Dawa ya kuongeza unene wa mwili.
✔️Dawa ya kujaza miguu.
✔️Dawa ya kukuza hips na makalio.
✔️Dawa ya kuongeza unene na urefu wa uume.
✔️Dawa ya kujaza matiti.
✔️Dawa ya kuongeza misuli na six pack.
*DAWA ZA KUTIBU.*
✔️Kuongeza nguvu za kiume.
✔️Kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
✔️Kuongeza uwezo wa kurudia
✔️tendo la ndoa.
✔️Kurudisha maumbile yaliyosinyaa.
✔️Kutibu walioathirika na punyeto.
✔️Kuongeza uwezo wa kudumu zaid ktk tendo la ndoa.
✔️Kuongeza uwezo wa kuzalisha mbegu za kiume.
*DAWA ZA UREMBO.*
✔️Dawa za kurefusha nywele hadi mgongoni.
✔️Dawa za kuotesha nywele kwenye vipara.
✔️Dawa za kuondoa mvi zisiote tena.
✔️Dawa za kuondoa ndevu zisiote tena.
✔️Dawa za kufanya nywele kuwa nyeusi daima.
✔️Kuongeza rangi ya ngozi.
✔️Kuondoa makovu yote sugu mwilini.
✔️Kuondoa mikunjo na makunyanzi ya ngozi.
✔️Kuondoa vitambi na nyama uzembe.
✔️Kupunguza unene.
✔️Kuondoa michirizi na mabaka.
*Call&Txt&Whatsapp*
{.+255 710 672 417}
—————————————————
Click link chini kuja inbox
—————————————————
wa.me/255710672417
—————————————————
24/09/2021
_____________________________________
CHANZO CHA MWANAMKE KUOTA NDEVU NA TIBA YAKE
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417 )
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
✔️Mwanamke Kabiliana na Tatizo la Kuota Ndevu kwa Kufanya Haya
_____________________________________
✔️Wasichana wanapoota ndevu nyingi hukabiliwa na changamoto za kisaikolojia na ulimbwende. Mitazamo na mila nyingi za kijamii katika bara la Afrika, bado zinakumbatia unyanyapaa wa wazi au wa kificho kwa wasichana wanaoota ndevu nyingi. Msichana mwenye ndevu nyingi anavuta hisia na macho ya wanaume na wanawake wenzake pia kiasi kwamba anatazamwa kwa namna ambayo wakati mwingine inamnyima raha. Wakati mwingine wanaume hawapendi kuoa wasichana wenye ndevu nyingi kutokana na mwonekano unawafanya wasichana hao kuwa k**a wanaume.
_____________________________________
✔️Katika hali ya kawaida msichana anatazamiwa asiwe na nywele nyingi kwenye kidevu, juu ya mdomo wake, kifuani, tumboni na mgongoni. Na hata akiwa nazo basi ziwe malaika zisizokuwa na rangi nyeusi iliyokolea na kuwa ngumu k**a za wanaume.
_____________________________________
✔️Mwanamke anapokuwa na nywele nyingi sehemu hizo humaanisha kuwepo kwa hitilafu za kijenetiki au dosari za ulinganifu wa vichocheo vya jinsia mwilini mwake. Wasichana wengine maumbile yao yanayotokana na vinasaba yanawafanya wawe na nywele nyingi mwilini, hali hii kitabibu hujulikana k**a ‘hypertrichosis’.Dosari za ulinganifu wa vichocheo vya kijinsia kwa wasichana zinaweza kusababishwa na:-
_____________________________________
✔️(1) Kuzalishwa kwa wingi kwa vichocheo vya ujinsia toka katika mifuko ya mayai.
_____________________________________
✔️(2) Uvimbe katika mifuko ya mayai (ovarian tumors)
_____________________________________
✔️(3) Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango zenye vichocheo pia zinaweza kuwa chanzo cha tatizo hili kwa baadhi ya wasichana. Dawa hizi husababisha ongezeko la vichocheo bandia vya ujinsia kuwa vingi katika mwili wa msichana.
_____________________________________
✔️(4) Matumizi ya dawa na vipodozi vyenye viambato vya dawa k**a testosterone na steroid zingine pia husababisha tatizo hili endapo dawa hizi zitatumiwa kwa muda mrefu.
_____________________________________
✔️(5) Uvimbe wa tezi ya Adrenali iliyo juu ya figo pia unaweza kusababisha tatizo hili
_____________________________________
✔️(6) Unene wa kupindukia (obesity) kwa wasichana pia unaweza kusababisha ongezeko la kichocheo cha kiume (Androgen) mwilini mwa msichana kutokana na nyama zenye mafuta mengi kugeuza kichocheo cha k**e cha estrogen kuwa kichocheo cha kiume cha androgen. Androgen inapokuwa nyingi mwilini husababisha msichana kuwa na tabia za kiume ikiwa ni pamoja na kuota ndevu na kuwa na sauti nzito.
_____________________________________
✔️(7) Matumizi makubwa na holela ya baadhi ya dawa zenye kemikali k**a vile Danazol, Cyclosporin na zingine pia husababisha tatizo hili.Ni vizuri kwa wasichana kuepuka matumizi ya dawa bila kupata ushauri wa kitabibu.
_____________________________________
✔️(8) Ikumbukwe kuwa wakati mwingine kunakuwepo na hali ya ulinganifu wa vichocheo vya ujinsia mwilini k**a kawaida, lakini tatizo likawa ni mwitikio wa hali ya juu wa nywele (oversensitivity) kwa kiasi cha kawaida cha kichocheo cha kiume kilichoko mwilini mwa msichana (androgen).Katika hali hii, msichana pia anaweza kuwa na nywele nyingi mwilini kuliko kawaida.
_____________________________________
Dalili zinazo ambatana na kuota ndevu kwa msichana
_____________________________________
• Kuota chunusi nyingi. _____________________________________
• Kutokupata damu ya hedhi k**a kawaida. Wakati mwingine msichana hupata damu pungufu sana, kutoiona kabisa au kupata hedhi yake bila mpangilio maalumu. _____________________________________
• Matatizo mengine yanayosababisha ndevu kuota kwa wingi pia yanaweza kusababisha ugumba (kushindwa kupata ujauzito na kuzaa watoto). _____________________________________
• Kusinyaa kwa matiti na mfuko wa mji wa mimba. _____________________________________
• Kututumuka na kunenepa kwa kinembe kuliko kawaida (enlargement of the cl****is). _____________________________________
• Kuwa na sauti nzito na wakati mwingine kisanduku cha sauti (Adam’s apple) hunenepa k**a cha wanaume. _____________________________________
• Mtawanyiko wa nywele mwilini huwa k**a wa kiume, pamoja na ndevu msichana huota nywele kifuani, tumboni, mapajani, mgongoni, miguuni na mikononi kwa wingi. Wengine pia huota nywele nyingi kwenye makalio na kuzunguka sehemu ya njia ya haja kubwa na hali hii ya msichana kuwa na nywele nyingi mwilini, hujulikana k**a “hirsutism”.
_____________________________________
Jinsi msichana anavyoweza kukabiliana na tatizo la ndevu
_____________________________________
• Kwanza kabisa msichana anatakiwa kuelewa kuwa kuota ndevu sio dhambi na wala si kosa, hivyo basi ndevu zisiwe chanzo cha msongo wa mawazo. _____________________________________
• Msichana asiache ndevu zikawa ndefu k**a za wanaume kwani zinavuta hisia za watu kumwangalia angalia kiasi kwamba zinaweza kusababisha matatizo ya kisaikolojia. Ndevu zikatwe na kuwa fupi kadri inavyowezekana kwa wakati wote. Mkasi au cream ya kuondoa nywele inaweza kutumika kwa lengo hili. Ile dhana ya wanawake wengi kwamba ndevu zikinyolewa zinaongezeka maradufu haina ukweli wowote wa kisayansi.
_____________________________________
• Ni bora wasichana wakajiepusha na matumizi ya vipodozi vyenye viambato vyenye dawa za magonjwa ya ngozi.
_____________________________________
• Ndevu zising’olewe kwa vidole, hii inaweza kusababisha uambukizo wa bakteria katika ngozi kwa urahisi na kuleta matatizo ya kiafya.
_____________________________________
• Wasichana waepuke matumizi ya dawa zenye steroid bila kupata ushauri wa kitaalamu toka kwa wahudumu wa afya na maswala ya tiba.
_____________________________________
• Kufanya mazoezi ya mwili na kudhibiti unene wa mwili pia husaidia katika udhibiti wa tatizo hili.
_____________________________________
• Endapo nywele zimetapakaa kwa wingi miguuni na mikononi na kuleta muonekano wa kiume ni bora kuvaa nguo ndefu zinazofunika mwili vizuri ili kuepuka msongo wa kisaikolojia ambao unaweza kutokea kutokana na mtazamo hasi wa kijamii.
_____________________________________
• Wakati wote jivunie kuwa msichana, usikubali kitu
chochote kikuondolee hisia zako za kuwa msichana kamili. Afya ya mwili na roho huanza na afya ya akili. Jitambue, jipende, jiheshimu na jiamini kwani wewe ni msichana k**a walivyo wasichana wengine.
_____________________________________
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
_____________________________________
```Bonyeza hii link itakuleta *INBOX* Whatsapp moja kwa moja```
⤵️⤵️
_____________________________________
https://wa.me/255710672417
_____________________________________
22/08/2021
*Elimu hiyoooo!! Yakukuza mpini.*
*HIZI NDIZO NJIA ZILIZONISAIDIA KUONGEZA MPINI WANGU* 👇👇👇
_____________________________________
➖Doctor Msangi.
_____________________________________
➖(+255 778 351 439)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
Mada yetu ya leo itahusu kuongeza urefu wa *MPINI* kwani ni moja ya Jambo linalovuruga familia zetu kila kukicha. Ipo njia yake salama Tena ya kudumu milele
Watu wengi wamekua wakihangaika kutafuta njia tofauti bila mafanikio, pia kuna wale ambao wamepata madhara baada ya Kutumia njia zisizo salama katika kutatua tatizo hili.
Pia kuna wengine wamekata tamaa na kudhani kua hakuna njia maalum ya kuongeza mipini zao ila ni udanganyifu tu. Ukweli ni kwamba njia zipo tatizo ni kuzijua tu. Ili uweze kupata njia salama za kuongeza mpini wako wa kufanyia kilimo, fuata hatua zifuatazo
STAGE 1
[1] Unga wa Pilipili mtama Nyeupe (Filfil Abiadh) ya INDIA
[2] Pilpili Baridi
STAGE 2
[1] Mafuta ya N**i (Extra Virgin Coconut )
[2] Mafuta ya Kitunguu Saumu
[3] Mafuta ya Tangawizi
[4] Mafuta ya Pilipili Manga
[5] Mafuta ya Nyonyo baridi
Kwa mahitaji ya Virutubisho hivi pamoja na viwango vinavyohitajika wasiliana na sisi kwa ushauri uliostahiki👇👇👇👇
*Call - Sms - WhatsApp*
_____________________________________
➖Doctor Msangi.
_____________________________________
➖(+255 778 351 439)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
24/04/2021
_______________________
*TIBA YA KUDUMU YA NGIRI {HERNIA}, CHANGO - WANAWAKE NA WANAUME BILA UPASUAJI •{ OPERATION }
_______________________
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
Tanzania -Dar -es-salaam
Dr Msangi
[+255 778 351 439]
[+255 710 672 417]
_______________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_______________________
WhatsApp link⬇️Bofya
wa.me/255778351439✅
_______________________
*DALILI ZA NGIRI CHANGA KWA WANAUME*
______________________
1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2. Kupiga mingurumo tumboni.
3. Kujaa gesi tumboni.
4. Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6. Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7. Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9. Nuru ya macho hupotea taratibu.
10. Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11. Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12. Kupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13. Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14. Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto
_______________________
*DALILI ZA NGIRI (HERNIA) SUGU( iliyo komaa)*
_______________________
1. kende(pumbu) moja au mbili kuvimba
2. kuvimba Juu ya kinena kushoto au kulia
3. kufanyiwa UPASUAJI wa hernia
4. Kufanyiwa UPASUAJI kisha ika rejea tena
5. kende( pumbu) kupotea zote au moja
6. Kenda kujaa maji.
7. Kuvimba kwa kitovu au kende uvimbe wenye kujaa k**a nyama
8. Kuwa na uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani
9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.
10. Maumivu/Kusikia kichefuchefu/
_______________________
*DALILI ZA CHANGO UZAZI { WANAWAKE }
_______________________
1️⃣ maumivu makali wakati wa kuingia siku za hedhi,
2️⃣ maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa,
3️⃣ homa kali anapokaribia siku zake za hedhi
4️⃣ uchovu mkubwa wakati siku za hedhi.
5️⃣ Kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi/ kuwa na mzunguko mrefu wa hedhi wa takriban siku 35,
6️⃣ kubadilikabadilika kwa siku za hedhi au
7️⃣ kuwa na mzunguko mfupi wa hedhi chini ya siku 21.
8️⃣ kupata michubuko kwenye sehemu za uke,
9️⃣ kuchukia kushiriki tendo la ndoa,
🔟 kupata uvimbe kwenye kizazi na
_______________________
*MADHARA YA CHANGO*
_______________________
✅kutopata ujauzito na hata pale anaponasa ujauzito, huharibika na kutoka kwa rahisi
✅kutofurahia tendo la ndoa kushindwa kufika kileleni.
______________________
*MATIBABU*
_______________________
MATIBABU YANA HUSISHA
_______________________
{1} kurekebisha mfumo wa homoni mwilini
{2} k**a mwanamke amepata uvimbe, atapewa tiba za kuondoa uvimbe huo
_______________________
*k**a ukiitaji tiba ya kudumu ya Ngiri Aina Zote na Chango kwa Wanawake. Nipigie simu moja kwa moja au nitext watsapp andika “NGIRI” ntakujibu haraka*👇👇
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_______________________
Tanzania -Dar -es-salaam
Dr Msangi
[+255 778 351 439]
[+255 710 672 417]
_______________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_______________________
WhatsApp link⬇️Bofya
wa.me/255778351439
_______________________
BOFYA LINK CHINI KUJIUNGA NA GROUP LETU LA WHATSAPP👇🏾
_______________________
https://chat.whatsapp.com/D6c4UpRpZu0ARWUMsq3pjC
_______________________
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Temeke