IJALI AFYA Kwanza.

IJALI AFYA Kwanza.

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from IJALI AFYA Kwanza., Health/Beauty, Dar es salaam, Temeke.

STEMCELL/SELI SHINA ni vijenga uhai wa kila kiumbe vinavyopatikana Katika viungo vya mwili TISHU, DAMU na MFUMO WA KINGA vyenye uwezo wa kugawanyika katika seli maalumu Katika mfumo wa mwili.

07/05/2023

*STROKE*
Hii ni hali ya mwili kupoteza uwezo wake wa kufanya kazi upande mmoja wa mwili wako either kulia au kushoto na kwa kiwango kidogo watu wanapooza kiunoni kushuka chini.
Na udhaifu huu unatokea pale ubongo wako kichwani unapokosa damu yakutosha na hewa safi ya oxygen pamoja na virutubisho muhimu ambapo hupelekea cells za ubongo wako kufa kwaharaka kwakukosa oxygen. Sasa kwanini hali hii!!

SABABUZA STROKE
1. Kuzibakwamishipa yako ya damu kichwani kwasababu mbalimbali ikiwemo nakuganda kwadamu

2.Kupasuka kwamishipa ya damu kichwani naKupelekeadamuishindwekufika katika ubongo.

*MAMBO YANAYO PELEKEA KUTOKEA KWA STROKE*
1.Uzito uliopitilizaaukuzidi
2.Tatizo LA pressure Ile ya kupanda
3.Chorestrol mbaya kwenyemishipa ya damu (mafuta yasiyoyeyuka)
4.Unywaji WA pombe uliopigiliza
5.Utumiaji madawa kwa kipindi kirefu
6.Kukaa bila kufanyana zoezi au kutojishughulisha Sasa hivi NIvitubaadhiambavyo hupelekea eidher kuziba au kupasuka kwa mishipa yako ya damu kichwani nakupata stroke.,na hiiya kuziba mishipa ya damu ndioiko kwa kiasi kikubwa ndiomaana watu hawana pressure lakini wanapata strokesasazipi dalili au madhara yake

*MADHARA/DALILI ZASTROKEAU VIASHIRIA*
1.Upande mmoja WA uso Kuskia ganzi
2.Kushindwa kuongea au kupata tabu yakuongea
3.Kushindwa kuelewa au kupata tabu ya kuelewa kwaurahisi
4.Mdomo kwenda pembeni
5.Mkono au mguu WA upandemmojakuwa mzitoaukushindwa kuunyanyua
6.Maumivu makali ya kichwa pamoja na kizungu zungu pia hata kutapika
7.Kushindwakuona vizuri.

Kupata Tiba ya tatizo hili Call/whatsApp 0713386309

30/06/2022
19/06/2022

.*DALILI ZA HATARI KWA MWANAMKE ZINAZO MFANYA ASIPATE MIMBA.*

🙆Ukavu ukeni
🙆Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🙆Kutoa jasho usiku
🙆Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
🙆Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
🙆Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
🙆Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
🙆Uchovu wa mara kwa mara
🙆Hasira za mara kwa mara
🙆Kukosa usingizi
🙆Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
🙆Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
🙆Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
🙆Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
🙆Maumivu ya viungo
🙆Upungufu wa nywele kichwani.
🙆Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
🙆Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
🙆Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
🙆Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
🙆Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
🙆Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
🙆Maumivu ya kichwa mara kwa mara
🙆Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
🙆Kutokupata choo kwa wakati
🙆Misuli kudondoka

MADHARA YA DALILI HIZO

🤔Kutokushika ujauzito Kwa muda mrefu
🤔Mimba kuhalibika mala kwa mala
🤔 Maumivu wakati wa tendon
🤔UTI kujirudia
🤔Kuziba Kwa mirija ya uzazi

17/06/2022

WATU wanazidi kupona ni furaha kwetu kuona hali zenu zikiendelea salama.

09/06/2022

*TEZI YA BATHOLIN NI NINI*

Hizi ni tezi zisizoonekana zipo kkwenye mashavu ya uke sehemu ya chini karibu na tundu la uke.
Tezi hizi husaidia kuzalisha ute ili kuufanya uke kuwa na unyevunyevu muda wote.

Uvimbe katika viungo vya nje vya uke hutokea tu au husababishwa na maambukizi. Uvimbe huu unaweza kuwa na maumivu au usiwe na maumivu. Uvimbe unaweza kuwa mdogo au mkubwa kutegemea na sehemu ulipo na muda tangu ulipoanza.
Mwanamke pia anaweza kupata tatizo la midomo ya ndani ya uke ambayo hurefuka na kujiona k**a kero, hiyo ni hali ya kimaumbile na haina madhara.

AINA ZA UVIMBE
Uvimbe wa mashavu ya uke huwa unatokea kwenye tezi iitwayo 'Bartholin gland'. Tezi hii huwa haionekani kwa macho na mojawapo ya kazi zake ni kutoa majimaji ya kulainisha uke wakati wa tendo la kujamiiana.
'Bartholin cyst', huu ni uvimbe mgumu hutokea pembeni ya shavu la uke kwa ndani. Uvimbe huu mara nyingi huwa hauumi lakini huendelea kukua na kuleta shida wakati wa tendo la kujamiiana, na hutokea tu wenyewe. Uvimbe huonekana kwa macho au mwanamke anauhisi anaponawa ukeni au wakati wa kujamiiana. Uchunguzi wa kina hufanyika ili kuangalia uhusiano wake na sehemu nyingine za mwili. Matibabu ya aina hii ya uvimbe ni upasuaji wa kuondoa kabisa.
'Bartholin Abscess'. Aina hii ya uvimbe ni jipu kwani ndani yake huwa kuna usaha. Uvimbe huu huwa na maumivu makali sana, hutokea upande mmoja wa shavu la uke. Mgonjwa pamoja na kuwa na maumivu makali huweza kupata homa, kushindwa kutembea vizuri na wakati mwingine uvimbe hupasuka. Maumivu husababisha mgonjwa ashindwe kuendelea na mambo yake.
Matibabu ya uvimbe huu ni upasuaji na kuondoa usaha wote kisha kurekebisha kingo za kidonda kitaalamu, hili lisipofanyika, jipu hili huwa na tabia ya kujirudia rudia.
Athari ya aina hii ya uvimbe ambayo ni jipu ni maumivu makali, kushindwa kufanya tendo la ndoa na uvimbe unapasuka na kusababisha kidonda.

Uchunguzi na tiba yake hufanyika kwa Daktari bingwa wa kinamama kwenye Hospitali ya mkoa.
Uvimbe kwenye mdomo

29/05/2022

DALILI 12 ZA MTU MWENYE SUMU NYINGI MWILINI

1.Uzito uliozidi na Hautoki /Haupungui kirahisi Kwa kufanya Diet au Mazoezi (Ukipungua Unarudi tens Haraka)

2.Kuchoka Ovyo Kusikoelezeka.

3.Kukosa Usingizi (Kuwa na Stress hasa Usiku)

4.Kushuka Uwezo Wa Kufikiri (Fuzzy Thinking)

5.Maumivu Ya Kichwa Mara Kwa Mara.

6. Kuwa na Mood mbaya Mara Kwa Mara (Kukasirika Haraka)

7. Mwili kutoa Harufu mbaya. (Jasho Kali saana, mdomo au Kutoa Choo Chenye Harufu Kali kuliko Kawaida.

8. Kupata Choo Kigumu (Kukosa Choo Kwa Siku Kadhaa) au kupata Mara moja Kwa siku nzima wakati umekula zaidi ya Mara 2.

9.Maumivu ya Misuli yasiyoelezeka.

10. Ngozi Kukosa Nuru

11. Kuwa Sensitive saana na Harufu na Kuhisi Harufu nyingi zinakuumiza

12. Kuwa na Hamu kubwa ya Vyakula hasa vyenye Mafuta Mengi, Sukari nyingi na Chumvi Nyingi.

24/05/2022

*Mapafu kujaa maji*

(pulmonary edema) ni hali isiyo ya kawaida ya maji kujaa kwenye mapafu na kusababisha kupumua kwa shida.

*Je! Nini dalili za mapafu kujaa maji?*

Wasiwasi
Kukohoa
Kupumua kwa shida
Kutokwa jasho sana
Kuhisi uhitaji mkubwa wa hewa au mtu kujihisi k**a anazama majini (ikiwa hili litatokea ghafla mtu akiwa usingizini ataamka kutoka usingizini na kukaa kitako ili aweze kuvuta pumzi vizuri.
Kukoroma au sauti ya mbubujiko wa maji kifuani akipumua
Rangi ya ngozi iliyofifia/inayoonekana dhaifu
Mgonjwa hatulii, huwa na kiwewe
Kupumua kwa shida
Kupumua kwa shida kunakoongezeka mgonjwa akilala chali – Mgonjwa wa aina hii atahitaji mito kadhaa ili aweze kulala vizuri.

*Dalili za ziada zinazoweza kuhusishwa na hali hii*

Kukohoa damu au kutoa mapovu yenye damu mdomoni
Fahamu ya mgonjwa huanza kupungua na hatimaye anaweza kupoteza fahamu kabisa
Mgonjwa hushindwa kuzungumza na kumaliza sentensi bila kuvuta pumzi
Kutanuka kwa pua

*Ni nini kinachosababisha mapafu kujaa maji*

Kushindwa kwa moyo kufanya kazi (heart failure) ndio sababu kuu inayosababisha mapafu kujaa maji. Moyo unaposhindwa kusukuma damu, shinikizo kwenye mishipa ya damu inayopita kwenye mapafu huongezeka. Shinikizo linapoongezeka kwenye mishipa hii ya damu, maji huchuja na kuingia kwenye aliveoli (vimfuko vya kuchujia hewa vinavyopatikana kwenye mapafu) za mapafu. Maji haya yanapojaa kwenye aliveoli, yanavuruga harakati za kawaida za mwili kuchukua okisijeni kupitia mapafu na kusababisha kupumua kwa shida. Mapafu kujaa maji kunaweza kusababishwa na uharibifu wa moja kwa moja kwenye mapafu, k**a vile
Uharibifu wa mapafu unaosababishwa na
Kuvuta gesi yenye sumu
Maambukizi makali,
K**a athari ya kutumia madawa,
K**a matokeo ya jeraha/kuumia kifuani
Kujaa kwa maji mwilini k**a matokeo ya kushindwa kwa figo kufanya kazi
Kufanya mazoezi kwenye mwinuko, eneo lilo juu sana kutoka usawa wa bahari.
Mapafu kujaa maji kunaweza pia kusababishwa na shambulizi la moyo, kuharibika kwa vali za mo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Temeke?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Temeke