vio_na_afya
Tunajali afya yako
CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU?
Uke mkavu; ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu wa homoni au kutokua na uwiano wa homoni ya estrogen ambayo upelekea misuli ya uke kusinyaa na kukosa vilainishi.
Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na Ute wa wastani ambao hufanya uke kubana kuleta joto na Raha ya tendo.
Ute huo ukizidi Sana au kua pungufu Sana nalo ni tatizo.
VISABABISHI VYA UKE MKAVU.
-Utumiaji mafuta yenye kemikali (cosmetics)
-Magonjwa ya zinaa na fangasi
-Matumizi ya sabuni za antibiotics kwa kuoshea uke
-Upungufu wa homoni
-Uoga na wasiwasi
DALILI ZA UKE MKAVU
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kupungua hamu ya tendo la ndoa
-Kua na ngozi kavu
-Maumivu ya mifupa na viungo
-Msongo wa mawazo
-Mzunguko wa hedhi Kubadilika badilika
-Kutokufurahia tendo la ndoa kutokana na Maumivu.
MATIBABU YA UKE MKAVU
Kuna dawa ambazo zimetengenezwa kwa kuzingatia tiba lishe na Ni Bora Zaidi kwa afya nazo ni?
Yunz essence
Dawa ambayo husaidia katika kusafisha mishipa ya damu na misuli iliosinyaa na kurejesha hali ya vilainishi na
Femicare...ambapo hutumika kurejesha ute ute na kuwezesha sehemu ya uke kubana zaidi
Piga 0763705711
27/01/2023
Karibu nikudumie
Karibu ni kuhudumie
Usipate shida karibu nikuhudumie
Mawaailiano
0763705711
Usihangaike suluhisho lipo la uhakika
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana kupitia 0687218678
12/12/2022
ZIJUE FAIDA ZA DR.COW CALCIUM MILK CANDY, NA VILIVYOMO NDANI YAKE
-DR.COW ni kirutubisho lishe kwa ajili ya watoto ni ya asili wala haina kiambata chochote cha kemikali, ni salama kabisa kwa ukuaji na afya ya watoto.
IMETENGENEZWA KWA:
1️⃣Full cream milk powder ambayo ndani yake kuna:
-protini na vitamins ikiwemo vitamin B-12.
-calcium na madini mengine.
2️⃣Calcium carbonate.
KAZI YA DR.COW...
1️⃣Inamlinda mtoto dhidi ya magonjwa ya moyo(cream milk).
2️⃣Huimarisha ukuaji wa afya bora kwa mtoto(cream milk-protein).
3️⃣Inaongeza hamu ya kula kwa wale watoto wasiopenda kula(cream milk-vitamin B-12).
4️⃣Huimarisha uundwaji wa meno na mifupa imara kwa watoto(calcium).
5️⃣Huongeza nguvu mwilini mwa mtoto(calcium)
6️⃣Huimarisha misuli ya mwili kwa mtoto(calcium).
7️⃣Huimarisha mishipa ya fahamu na usafirishwaji wa taarifa mbalimbali kutoka kwenye ubongo kwenda sehemu nyingine za mwili yani kiufupi huongeza ufahamu wa mtoto(calcium).
8️⃣Huimarisha mishipa ya damu kutanuka na kusinyaa wakati wa usafirishwaji wa damu
Wasiliana Nasi
0763705711
0687218678
30/11/2022
✍🏾DALILI ZA BAWASIRI YA NDANI NA BAWASIRI YA NJE
Watu wengi hawajui kwamba bawasiri zipo za aina mbili,kuna bawasiri ya ndani na kuna bawasiri ya nje.
Na dalili pia za bawasiri hutegemea ni bawasiri ya Nje au ya ndani.
1.DALILI ZA BAWASIRI YA NJE(External hemorrhoids)
Aina hii ya bawasiri huhusisha eneo la kuzunguka sehemu ya haja kubwa au A**s. Na dalili zake ni pamoja na;
- Mtu kuhisi hali ya miwasho kwenye eneo la haja kubwa
- Mtu kupata maumivu hasa wakati wa kujisaidia haja kubwa
- Mtu kuhisi hali ya kutekenywa au kukereka eneo la haja kubwa
- Kutokea kwa kinyama au uvimbe eneo la haja kubwa ambacho huonekana kabsa kwa nje,
kinyama hiki unaweza kukishika kabsa na kujua sehemu ya haja kubwa ina kitu
- Kuanza kuvuja damu(Bleeding) au kujisaidia kinyesi kilichochanganyika na damu n.k
2.DALILI ZA BAWASIRI YA NDANI(Internal hemorrhoids)
Aina hii ya bawasiri hutokea kwenye eneo la ndani la Re**um,
- Na kwa kawaida huwezi kuona au kufeel chochote kwa nje
- Na ni mara chache huweza kuleta kero au usumbufu wowote kwa nje
- Lakini mtu huanza kuhisi hali ya mkazo usio wa kawaida(straining) au Irritation wakati kinyesi kikipita anapojisaidia, na hii ndyo huweza kusababisha;
• Kujisaidia kinyesi chenye damu au kuvuja damu wakati wa kujisaidia pasipo kupata maumivu ya aina yoyote,
• Unaweza kushangaa kuna vidamu damu ambavyo ni Bright red blood kwenye toilet tissue au ndani ya kinyesi
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA 0687218678/076370571
Hivi ni virutubisho asilia ambazo zinaenda kutoa tatizo kwanzia kwenye chanzo chake bila madhara
Wasiliana nami kupitia namba 0687218678
14/11/2022
Kwa matatizo yote ya ngozi ,umetumia bidhaa nyingi bila mafanikio usihangaike karibu tunabidhaa ambazo ni asili hazichubui hufanya ngozi yako harisi kurudi
27/10/2022
Tumbo la uzazi linakuaga gumu kutoka ila kupitia program yangu ya kuondoa kitambi,nyama uzembe na michirizi huku ukiendelea kunyonyesha kwa wente watoto
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Mwenge
Temeke