Tumia chakula kama dawa

Tumia chakula kama dawa

Share

Tumia virutubisho lishe asili visivyo na kemikali

03/02/2024

*Afya ni nguzo ya msingi sana katika Maisha ya kila mtu*

Samahani naitwa *Abduly*
Nipo hapa kwa ajili ya kutoa darasa na kutatua changamoto za kiafya kupitia mtandao. *(BURE)* Lengo ni kufanya huduma za afya zimfikie kila mtu.

Natoa ushauri na kutatua changamoto za kiafya

*Ni muhimu sana kulinda afya yako (AFYA YA AKILI NA MWILI) kwani ndio mtaji wako*

12/10/2023

*TOFAUTI KATI YA*
*Kirutubisho cha Chakula* na *Dawa*

🩸Kuna Habari Nyingi Zisizo Sahihi kuhusu *DAWA* na *VIRUTUBISHO LISHE*
kwa sababu zote zinaonekana sawa kwa ukubwa au umbo. Itakuwa rahisi kudhani kuwa zote mbili zinatumika kwa madhumuni ya kiafya.

✔️Swali moja ni muhimu sana kujibu:

✔️Kuna tofauti gani kati ya dawa na nyongeza ya chakula au jinsi zinavyotazamwa na kushughulikiwa? Angalia ili ujifunze zaidi kuhusu tofauti Kati Ya *DAWA* dhidi ya *VIRUTUBISHO LISHE*

*DAWA* ni vitu vya kemikali ambavyo hutumika kutambua, kuponya, kutibu au kuzuia magonjwa. Ni dawa na muundo wa dawa kuponya magonjwa maalum. Imetengenezwa kimatibabu katika maabara.

¶ Dawa zinaweza kusababisha utegemezi wa mwili *(dependence/addiction)*
➡️Matokeo ya haraka na haiwezi kuponya magonjwa ya mtindo wa maisha k**a shinikizo la damu au sukari.

¶ Dawa huponya magonjwa kwa muda k**a vile kupunguza maumivu, kudhibiti sukari kwenye damu, kuponya maambukizi.

¶ *VIRUTUBISHO hutumiwa kujaza pengo la lishe na kutoa vitamini au madini sahihi kwa mwili wako.*

¶ *VIRUTUBISHO ni sehemu ya chakula chako na hizi ni lishe asilia na yenye afya. Imetengenezwa kwa matunda na mboga/dondoo zinazokuzwa kwa njia ya asili.*

¶ *VIRUTUBISHO havina madhara na si vya kulevya.*

¶ *Inapunguza pengo la ukosefu wa vitamini na madini muhimu.*

¶ *Kuzuia na kusaidia kuponya magonjwa ya mtindo wa maisha na kutoa matokeo ya muda mrefu.*
👉🏿 *Virutubisho lishe* huurudishia mwili uwezo wa kufanya kazi PASIPO kutegemea *Dawa* au kitu kinginecho kutoka nje ya mwili.
🌟Na ndipo tunasema *VIRUTUBISHO LISHE HUONDOA CHANZO CHA TATIZO NA SIO MATOKEO YA TATIZO*
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwa Ushauri Zaidi Kuhusu VIRUTUBISHO LISHE ili Kuondoa CHANGAMOTO za KIAFYA na Kuimarisha Kinga
Nipigie na Nitakushauri Bure Kabisa Bila Malipo

Kwa CHANGAMOTO k**a vile

✍️Uzazi
✍️Mifupa na Viungo
✍️Vidonda Vya Tumbo
✍️Tezi Dume
✍️Kupunguza Sumu Mwilini
✍️Afya ya Ngozi na Urembo
✍️Afya ya Watoto
✍️Sukari
✍️Presha
✍️Kuumwa Mara Kwa

04/10/2023

instagram.com

02/10/2023

Call / Whatsapp 0785641029

01/10/2023
01/10/2023

*KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE!?*

*SWALI*
Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wingi,mafuta mazuri, sili sukari, nafanya mazoezi na kadhalia; *KWA NINI NILE TENA VIRUTUBISHO? KWA NINI NILE TENA VIDONGE?*

💎*JIBU*:
Swali zuri sana, hata mimi kabla ya kuwa na elimu ya virutubisho lishe nilikua najiuliza hivyo hivyo.
Ukweli ni kwamba k**a unataka kupambana na magonjwa na kufikia urefu wa maisha huwezi kwa kutumia diet peke yake, unahitaji namna ya kuongeza lishe zaidi ambazo zitapatikana tuu kwa wewe kutumia virutubisho lishe.

-Jinsi ambavyo mbolea ilivyo muhimu kwa mmea ndivyo virutubisho lishe vilivyo muhimu kwa binadamu. Upe mmea jua na maji na utaishi, uongezee mbolea yenye virutubisho hai na uta stawi zaidi.

-Binadamu ndivyo hivyo hivyo, lishe yenye afya, yenye usawa inaipa mwili virutubisho vya kutosha kuendesha kazi za kawaida. Vidonge vyenye virutubisho lishe k**a madini,vitamini, asidi muhimu ya mafuta (essential fatty-acid), na kadhalika vinaimarisha mazingira ya ndani ya mwili kwa kuimarisha ulinzi wa seli, kukarabati na kuzaliwa upya na kusaidia mchakato wa utengenezaji upya wa seli.

*SABABU NYINGINE NA UMUHIMU WA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE*

1.Vyakula vya sasa havina virutubisho vya kutosha.

2.Kutumia virutubisho lishe ni njia ya haraka na rahisi zaidi ya kupata viini lishe ambavyo vinahitajika mwilini.

3.Inakusaidia kuondokana na magonjwa ya uzeeni k**a kisukari,pressure na Tezi dume.

4.Ni njia nzuri ya kupambana na kuondoa sumu mwilini.

*NB:VIRUTUBISHO LISHE (SUPPLEMENTS) NI MUHIMU SANA UKIHITAJI VIRUTUBISHO WASILIANA NASI KWA NAMBA(TUNAKUFIKISHIA POPOTE ULIPO TANZANIA).* CALL 0785641029

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Temeke?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Temeke