innah_love

innah_love

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from innah_love, Beauty, cosmetic & personal care, Kwamchina Zanzibar, Zanzibar City.

01/02/2025

wa.me

26/11/2024

Call 0656773050

18/09/2024

VIEMBE ( Harufu nzuri wakati wote) 💧Hivi viembe jamani ni vina harufu nzuri mno na inakaa, Vya kuombea pesa za vikoba na marejesho😊 💧Unapaka hizi mwilini sehemu zote zenye kutoa jasho ili kuzuia harufu ya jasho na kupata harufu nzuri kwa muda wote 💧Tunasema Ondoa harufu mbaya mwilini, Vinanukia vzr na kufanya unukia vzr wakati wote 💧Pia unaweza kupata sehemu sensitive k**a shingoni, mapajani nk 😊😊 💧Yaani ni kunukia vzr pasee Elfu 10,000 Jumla 8,000

18/09/2024

Bismillah
Ni siku ingine tena
Karibuni inbox kwaajili ya kueka order
Duka tunafungua saa 3 kamili ma boss zangu

17/09/2024

PORTIA(M)MARULA SKIN OIL

●Bei shs elf 25,000/=

💦Ni oil nzuri sana with omega 3,6&9 fatty acidKazi kubwa ya omega ni kuondoa ukavu wa ngozi na kulainisha ngozi
💦Ni body n face oil inafanya kazi nying sana
💦Inafifisha michiriz
💦Inaondoa rough skin
💦Usoni inatumika k**a face oil/serum
💦Inafanya ngozi iglow na iwe soft
💦Haichubui
💦Inarepair ngozi iliyoharibiwa na mionz ya jua na na macream makali na kukupa ngozi nzuri
💦Inafifiza na kuondoa alama mwilin
💦Inakupa rangi 1 mwili mzima
💦Unaweza itumia na body lotion k**a body lotion yako ni kavu haikupi unyevu hii itakusaidia kulainisha ngozi na kukupa unyevu

17/09/2024

Je, umehangaika na matumizi ya vipodozi vingi na havikupi yale matokeo unayoyahtaji?? Unajua sababu ni nini ??
Nazungmza na wale ambao wanatumia vitu sahihi lakin bado haviwapi matokeo unajua sababu nini??

Yes sababu zipo nyingi ila sababu namba moja ni uwepo wa dead skin cells juu ya ngozi yako.

DEAD SKIN CELLS hii ni sababu namba moja ambayo itafanya kila unachopakaa kisifanye kazi husika na mwisho kuleta matokeo ambayo sio sahihi.

✍️DEAD SKIN CELLS biological hutokea kwa kila mtu, hii hutokea kila baada ya sku 28, kwa kila mtu kila baada ya sku 28 ni lazma dead skin cells zitokee juu ya ngozi,.
Hapa wengi hawatanielewa naomba nitumie lugha nyepesi kuwa ni k**a ambavyo nyoka anavojivua gamba kila baada ya mda flan hivo hivo hata kwetu sisi ngozi inajivua.
✍️✍️✍️✍️ nitaelezea 👇🏾👇🏾👇🏾

17/09/2024

👉Kama umetoka kwenye uzazi hii si yakukosa🔥🔥 Body scrub inapovu la kutosha kusafisha ngozi ✅️Inanukia vizuri mno ✅️Inalainisha ngozi yako ya mwili vizuri ✅️ngozi yako inakuwa safi ukipaka mafuta yanaingia vizur ✅️Inasoftisha ngozi ✳️Bei 25,000 ✳️Delivery ipo,popote ulipo tunakufukia

14/09/2024

OLIVE OIL HAIR MAYONNAISE 💧Hii steaming ni kwa wale ambao nywele zinakatika na hazijai wala kurefuka kwa Haraka, 💧Iko na conditioner ndani yake hvy usaidia nywele hisijifunge wala kuweka mafundo na kuondoa ukavu kwenye nywele Elfu 16,000

14/09/2024

**Umuhimu wa Facial Mask Sheet** ni pamoja na:

Mask sheets zina unyevu mwingi, zenye virutubisho k**a vile asidi ya hyaluronic na collagen, ambavyo vinaingizwa moja kwa moja kwenye ngozi kwa haraka, hivyo kuifanya ngozi kuwa na unyevu na kulainika.

Mask sheet ni rahisi kutumia, haina haja ya kupaka au kuosha baada ya matumizi. Ni bora kwa watu wenye ratiba ngumu au wasiopenda mchakato wa muda mrefu wa urembo.

Matumizi ya mask sheet yanaweza kusaidia kufanya ngozi ionekane na rangi ya afya zaidi, ikiwa na mng'ao wa asili kutokana na viambato vilivyomo ndani yake vinavyosaidia kuondoa weusi na uchovu.

Mask sheet huwa na virutubisho vinavyoingia moja kwa moja kwenye ngozi. Kwa kuwa mask hizi zinafanya ngozi kuwa na unyevu zaidi, ngozi huchukua virutubisho vizuri na kwa haraka.

Mask sheets nyingi zina viambato vya kupambana na uzee, k**a vile peptides na antioxidants, ambavyo vinaweza kusaidia kupunguza mikunjo na mistari midogo ya uso.

Kuna mask sheets zinazotengenezwa kwa kuzingatia aina mbalimbali za ngozi – zipo kwa ajili ya ngozi kavu, mafuta, au yenye matatizo k**a vile chunusi. Hivyo, zinaweza kutumiwa na mtu yeyote kulingana na mahitaji yake.

Facial mask sheets mara nyingi huja zikiwa na viambato vinavyopooza ngozi k**a vile aloe vera, kamomeli, au green tea, ambavyo vinasaidia kupunguza uvimbe au muwasho kwenye ngozi, na kutoa athari ya kuburudisha.

Tofauti na mask za kawaida, mask sheet hutoa matokeo mara moja, na ngozi inaonekana kuboreka pindi tu baada ya kuitumia.

Kwa ujumla, mask sheet ni nyenzo nzuri kwa matunzo ya haraka ya ngozi, ikisaidia kutoa matokeo ya haraka na kuifanya ngozi kuwa yenye afya na mng'ao.

12/09/2024

DR RASHEL GREEN TEA PURlFY BALANCING SKIN CARE SET 10Pcs 🌹
Inaondoa mafuta usoni na kuifanya Ngozi kuwa na muonekano mzuri 🌹Inafaa kwa Aina zote za Ngozi 🌹Inakausha Chunusi, Vipele na kufanya uso kuwa soft 🌹Inasaidia Sana kuondoa weusi mikunjo chini ya macho 🌹Inalinda Ngozi 🌹Inafungua pores na kufanya Ngozi kupata oxygen ya kutosha 🌹Inagharisha Rangi yangozi yako Elfu 45,000 Jumla 32,000

12/09/2024

Wapendwa k**a upo huku na unahitaji
Lotion nzur
Scrub
Face cream
Face serum
Booster
Sunscreen
Na bidhaa yoyote kwa ajili ya ngoz yako plz karibu inbox

11/09/2024

Karibuni mno mko sehemu sahihi kabisa unachamoto yeyeote kuhusu ngozi,nywele, n.k una chunusi ?umeungua na cream n.k unaweza kuja inbox kurusha hivi vitu vilivyokujulisha hapo juu
Page yetu ni hii ni pamoja wewe hapo tunatoa elimu kwa njia ya group kila wakati kwa ajili ya kuendelea kujifunza ni jinsi gani unauwezo wa kutake care wewe hapo kila wakati na kila siku! Be freee karibu sana. Ili kujiujga n group tutext 0656773050

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Kwamchina Zanzibar
Zanzibar City

Opening Hours

Monday 09:00 - 22:00
Tuesday 09:00 - 22:00
Wednesday 09:00 - 22:00
Thursday 09:00 - 22:00
Friday 09:00 - 22:00
Saturday 09:00 - 22:00
Sunday 09:00 - 20:00