Afya Kwanza
mshauri wa afya kutokana na changamoto mbali mbali zidi ya maradhi yasiyoambukiza
16/02/2022
Je unasumbuka na changamoto ya kizazi
Tuwasiliane kupitia number 0777487246
12/09/2021
Ni nzuri sana kwa kuboresha kinga ya mwili ,wasiliana nasi 0777487246
24/08/2021
Tendo la ndoa ndo furaha ya ndoa
24/08/2021
PATA SULUHISHO LA KUDUMU JUU YA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KUIME.
Dhamira yetu ni kusaidia wanaume kukabili changamoto ya kuwahi kufika kileleni ambayo kwa mujibu wa tafiti mbalimbali hupelekea idadi kubwa ya wenza kutodumu muda mrefu katika ndoa.
Hali hii hufanya wanaume wengi kukosa raha, kutojiamini na hata kushindwa kufurahia ndoa zao.
Changamoto hii ikiachwa huweza kuchangia uibukaji wa matatizo mengine k**a vile TENZI DUME na kuishindwa kabisa uwezo wa kushiriki tendo.
Habari njema ni kwamba ....
Jambo hili lisikukoseshe furaha,
Unayo haki ya kufurahia maisha bila kujali hali yako kwa sasa,
Si wewe tu, wengi wamepitia changamoto hii lakini mwisho wa siku walifurahia maisha kwani tatizo lilitatuliwa, walichelewa kufika kileleni na wakaweza kurudia tendo zaidi ya mara moja.
Changamoto ya kuwahi kufika kileleni huweza kutatuliwa kwa uhakika ikiwa utatumia njia za asili ambazo hazihusishi kabisa madawa ya kemikali.
Kwa ushauri zaidi wa namna ya kuujenga upya mfumo wako wa nguvu za kiume wasiliana nasi kupitia whatsap au tupigie 0777487246
*UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI/SEHEMU ZA SIRI (VAGINAL THRUSH)*
UKE ni kiungo cha uzazi wa mwanamke, ambamo ndani yake kuna Lactobacillus bacteria na fangasi wazuri ambao wako katika kiwango kinacho lingana/a balanced mix. Bacteria hawa na fangasi hizi husaidia sana kuulinda uke na maradhi mbalimbali endapo uwiano wake hauta bughuziwa.
Lactobacillus bacteria hutoa acid ambazo huzuia fangasi kukuwa au kuwa wengi zaidi.
*UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI*
Ni ugonjwa anaoupata mwanamke endapo fangasi watakuwa wengi zaidi ya bacteria wazuri waliopo ukeni au k**a pH ya ukeni imezidi kiwango cha kawaida kinachopaswa (Ph 3.5 – 4.5 ndio kiwango kizuri kiafya).
*FANGASI WA UKENI*⁷
Mara nyingi husababishwa na fangasi waitwao CANDIDA ALBICANS, lakin wakati mwingine husababishwa na aina nyingine za fangasi ambazo huwa ni vigumu sana kutibika kuliko Candida albicans.
*SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI*
Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha ugonjwa huu wa fangasi, lakini baadhi ya hizo ni k**a zifuatazo:-
1.) MATATIZO YA HOMONI(HOMONI ZA KUBADILIKA/KUWA NYINGI SANA AU KUSHUKA)
Hii inaweza kusababishwa na Ukomo wa hedhi, ujauzito, (MP) kuwa katika siku za mwezi, matumizi ya dawa za kuongeza kiwango cha hormone za k**e.
2.) MATUMIZI YA ANTIBIOTICS.
Hizi huuwa bacteria wazuri na kubadiri pH ya uke.
3.) KUFANYA MAPENZI NA MTU ALIYE NA UGONJWA WA FANGASI ZA SEHEMU ZA SIRI
4.) KUSHUKA KWA KINGA MWILINI.
Hi inaweza kusababishwa na magonjwa mbalimbali k**a UKIMWI, KISUKARI, UPUNGUFU WA MADINI, VITAMINI NA VIRUTUBISHI MBALIMBALI VYA MWILI.
5.) ULAJI MBAYA HASA KUPENDELEA VYAKULA VYENYE SUKARI KWA WINGI( SUKARI NI CHAKULA KWA FANGASI HIVYO HUONGEZEKA)
*DALILI ZINAZOONESHA KUWA UNA UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI*
Kuna dalili nyingi sana k**a ifuatavyo:-
~ Muwasho sehemu za siri.
~ Vipele vidogo vidogo ukeni.
~ Kutokwa kwa uchafu mweupe au rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya.
~ Vidonda au michubuko ukeni.
~ Kutokwa na harufu mbaya ukeni.
~ Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
~ Kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wan je wa uke.
~ Kuwaka moto ndani na nje ya uke.
*KINGA ZA FANGASI ZA K**E*
1.) Epuka kusafisha uke kwa kutumia vitu vyenye kemikali k**a vile sabuni.
2.) Epuka kutumia marashi yenye kemikali ukeni na kuingiza vitu mbalimbali ukeni k**a Vidole, asali n.k
3.) Epuka kutawadha kutokea nyuma kwenda mbele baada ya kujisaidia haja kubwa
4.) Fanya matibabu kwa mpenzi wako alien a ugonjwa wa fangasi ili kuepuka uenezi wa fangasi zaidi.
5.) Safisha uke na kujifuta kwa kitambaa safi ili kuuacha mkavu.
6.) Vaa chupi zilizotengenezwa kwa vitu harisi k**a Pamba na Hariri na epuka kununua nguo za ndani za mtumba k**a chupi.
7.) Tumia Pads zisizo na kemikali na zenye vitu vya kukulinda na maambukizi, kukufanya uwe mkavu na huru k**a BF Suma Sanitary Pads nk.
*MATIBABU YA FANGASI ZA K**E.*
~ Ukigundua una dalili hizi tulizozitaja hapo au unahisi hali si ya kawaida kwenye sehemu zako za siri basi nenda kituo cha afya kwa ushauri, vipimo na matibabu zaidi.
~ Vipimo ni kitu cha kwanza kabla ya kutumia dawa yoyote na epuka kununua dawa usizojua matumizi yake na si kila muwasho una maanisha una fangasi wakati mwingine ni muwasho wa kawaida ama allergy.
Napenda kuwashauri wanawake kuwa na tabia ya kuchunguza afya yako mara kwa mara ili kuondokana na magonjwa na madhara yasiyo ya lazima.
KWA ushauri na tiba wasiliana nami kupitia no 0777487246.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Michenzani
Zanzibar City
711