OKOA MWILI WAKO
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from OKOA MWILI WAKO, Health/Beauty, Mpendae, Zanzibar City.
UPUNGUFU WA AINA HIZI ZA VITAMIN NA MADINI NI HATARI KWA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE. Suluhisho ni Hili hapa👇👇
👉🏿VITAMIN C; Inaondoa athari za magonjwa Sugu (Chronic Disease). Matatizo yanayojirudia mara kwa mara na kutokubali Dawa k**a UTI, P.I.D
👉🏿VITAMIN A; Huepusha magonjwa ya Saratani ya Kizazi na Shingo ya kizazi, Inaimarisha afya ya mifupa na kutibu Osteoporosis.
➡️Vitamin B12 & B9 (Folic Acid); Husaidia katika utengenezaji wa seli nyekundu za damu kwa mama na mtoto tumboni, Huzuia mtoto tumboni kupata matatizo ya kusikia/uziwi na Hulinda Afya ya ubongo wa mtoto tumboni (Fahamu na kumbukumbu).
➡️Madini ya CALCIUM; Calcium Na Matatizo Maumivu Kabla Ya Hedhi
✍🏻K**a mwili utakosa calcium na vitamin D ya kutosha, homoni zinazosimamia calcium mwilini (yaani parathyroid na calcitrol) hukinzana na oestrogen na progesterone (homoni za k**e) na kusababisha maumivu kabla ya hedhi (Premenstrual Syndrome-PMS), ukavu ukeni
👉🏿Mwanamke mja mzito anahitaji madini ya calcium kuwezesha mtoto wake aliye tumboni awe na mifupa iliyo na nguvu, vile vile mifupa yake na meno yake yatakuwa na nguvu.
👉🏿Wakati wa kunyonyesha. Madini ya calcium husaidia kutengeneza maziwa ya mama.
✍🏻Unapokuwa unaendelea kuzeeka. Madini ya calcium huzuia mifupa kuwa hafifu.
👉🏿Madini ya Calcium; Ukosefu wake husababisha maumivu wakati wa Hedhi, Mvurugiko wa Vichocheo vya Uzazi (Homon Imbalance), Maumivu ya mgongo, kiuno na miguu, Kukosa maziwa ya kunyonyesha na kusagika mifupa (Osteoporosis)
👉🏿Madini ya CHROMIUM & MANGANESE; Husaidia katika kukuza Viunzi na mifupa ya mtoto tumboni kwa mama mjamzito wakati wa Ujauzito.
➡️ Madini ya ZINC husaidia kuzuia na kulinda Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke dhidi ya Saratani
➡️MAGNESIUM (Anti-inflammatory) ni nzuri kwa kutibu matatizo ya Uvimbe Kwenye kizazi (Uterine fibroids) na Uvimbe kwenye mayai (Ovarian Cysts)
➡️Madini Chuma (Iron); Humsaidia mama mjamzito, mama aliyejifungua katika uzalishaji seli nyekundu za damu kwa wingi, kuzuia Upungufu Wa dam
𝐉𝐄! 𝐔𝐍𝐀𝐄𝐋𝐄𝐖𝐀 𝐍𝐈𝐍𝐈 𝐊𝐔𝐇𝐔𝐒𝐔 𝐌𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐄𝐃𝐇𝐈 (𝐌𝐄𝐍𝐒𝐓𝐑𝐔𝐀𝐓𝐈𝐎𝐍)?
Ni kutokwa na damu kwa kawaida K**a sehemu ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke. Kila mwezi mwili unajitengeneza kwa ajili ya ujauzito. K**a mimba haitotokea basi uterasi (mji wa mimba) hujiengua.
👉Damu ya hedhi ni kujiengua kwa uterasi na tishu zake
DALILI zakuonyesha uko unakaribia au ndio unaingia katika hedhi yako:-
• Kichwa kuuma
• Maumivu ya mgongo
• Kujihisi kukasirika
• Kujawa na mahasira
• Kichefuchefu au kuvimbiwa
• Maumivu ya viungo
• Kukazwa kwa tumbo
• Chunusi kutokeza
• Maumivu ya misuli
• Kuharisha au kukosa choo
✅Kila mwanamke anapaswa kuona hedhi yake endapo hatoweza kuiona hedhi yake basi atakua ni mjamzito lakini K**a sio mjamzito ana matatizo
✅Na suluhisho lipo ili uone hedhi yako inapoendelea kubaki bila kutoka basi huleta madhara makubwa Sana
K**a mzunguko wako wa Hedhi hauko sawa, karibu tukuhudumie
*CHANGO LA UZAZI KWA MWANAMKE* ni maumivu makali ya tumbo na kushindwa kupata ujauzito, au mimba kuharibika kila zinapoingia.
Zipo aina nyingi za chango ambazo zinaweza kujitokeza kila moja peke yake au zikajikusanya na kujitokeza kwa pamoja, mkusanyiko huu ndiyo unaitwa Ovulation Disorder (O.D).
CHANZO CHA TATIZO
Matatizo ya chango la uzazi, inatokana na vifuko vya mayai ya uzazi (ovaries) kutokuwa na uwezo wa kuzalisha mayai na kufanya yakue kwa wakati muafaka. Mwanamke mwenye matatizo haya hushindwa kuwa na siku za hatari za kunasa ujauzito na k**a zipo basi huwa hazina mpangilio unaoeleweka.
DALILI ZA CHANGO LA UZAZI
👉kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi,
👉kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa,
👉kujisikia homa kali anapokaribia siku zake za hedhi pamoja na kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi
👉kurugika kwa mzunguko wa hedhi ni dalili nyingine ambapo mwanamke anaweza kuwa na mzunguko mrefu wa hedhi wa takriban siku 35,
👉kubadilikabadilika kwa siku za hedhi au kuwa na mzunguko mfupi wa hedhi chini ya siku 21
👉mwanamke kuwa na hasira kali anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi,
👉kupata michubuko kwenye sehemu zake za uke,
👉kuchukia kushiriki tendo la ndoa,
👉kupata uvimbe kwenye kizazi na mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi.
MADHARA YA CHANGO LA UZAZI KWA MWANAMKE
Yapo madhara mengi kwa mwanamke mwenye tatizo hili lakini kubwa, huwa ni vigumu kupata ujauzito na hata pale anaponasa ujauzito, huharibika na kutoka kwa rahisi na kushindwa kufurahia tendo la ndoa ambapo huwa vigumu sana kwa mwanamke mwenye tatizo hili kufika kileleni wakati wa tendo.
*Vitu Vutakavyo Kukwamisha Usipate Ujauzito na Upate Uvimbe kwenye KIZAZI*.👇👇
Leo nitazungumzia dalili kuu sita ambazo ni viashiria vya mwanamke kua mgumba au anaelekea kwenye ugumba(kukosa kupata mtoto).
1️⃣.KUPATA HEDHI INAYOBADILIKA BADILIKA
usione ni kawaida kwa siku zako kutokua na mzunguko wa kawaida ambao mara nyingi ni siku 21 mpaka 35.
Kwa sababu hedhi inayobadilika badilika huashiria kuwa hupevushi mayai kila mwezi. Hali hii inatakiwa kupatiwa ufumbuzi kwa sababu ili uweze kushika ujauzito unahitaji kupevusha yai kila mwezi na sio ili mradi yai bali yai bora linaloweza kurutubishwa.
2️⃣.KUACHA KUONA SKU ZAKO GHAFLA.
K**a hujafikia menopause(kipindi mwanamke anastop kupata hedhi yake ya kawaida kutokana na umri),au sio Mjamzito na hutumiii njia ya uzazi wa mpango zinazosababisha kubadilika kwa hedhi
Ukiona hedhi zako zimekata ghafla maana yake ni kwamba haupevushi mayai ambapo huwezi kubabe ujauzito bila kupevusha yai.
3️⃣.KUTOKWA DAMU NYINGI, NZITO NA YENYE MABONGE K**A VIPANDE VYA MAINI (VINYAMA NYAMA)WAKATI WA HEDHI HUASHIRIA KUWA HORMONE HAZIJABALANCE kutobalance kwa hormone huvuruga uzalishaji wa mayai bora.
4️⃣.MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA YANAYOAMBATA NA UCHAFU MWEUPE MZITO K**A MAZIWA YA MGANDO AMBAYO HUASHIRIA KUNA MATATIZO KATIKA MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE
5️⃣.KUPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA NA MAUMIVU CHINI YA KITOVU
6️⃣.KUKOSA KABISA HAMU YA TENDO LA NDOA PIA KUSIKIA DALILI ZOTE ZA UJAUZITO IKIWA SIO MJAMZITO HUONYESHA KUNA INFECTIONS KATIKA KIZAZI
Hizo ni baadhi ya dalili Mbaya kwa mwanamke ambaye bado hajawahi Kubeba ujauzito, Ni Dalili Mbaya Pia Kwa Mwanamke Ambaye Tayari ana Mtoto/Watoto, ni muhimu sana kupata suluhisho la Changamoto hizo maana zinatibika kabisa na UNAPATA SULUHISHO LA KUDUMU KABISA NA KURUDISHA TABASAMU KATIKA FAMILIA YAKO.
*Note*
Usisubili tatizo liwe chronic (Sugu) ndipo uanze kuhangaika na Tiba wahi Sasa ilii uokoe gharama kubwa ZAIDI,
04/11/2022
Haya ndio madhara makubwa yatatokea endapo Mwanamke hatatibu PID/maambukizi ukeni kwa haraka
1:Kizazi kuharibika nakupelekea muhamga kushindwa kupata mtoto
2:kutoa harufu mbaya ukeni k**a shombo ya samaki
3:kupata miwasho ya mara kwa mara nakutoa uchafu wenye harufu Kali
4:kushindwa kujiamini kutokana na harufu Kali inayotoka ukeni
K**a huyu niwewe basi usiangaike Tena karibu nikupe suluhisho la kudumu
26/10/2022
*🌹Faida Za Detoxlive Capsules....*
Ni kirutubisho lishe mhimu kwaajili ya Kuondoa changamoto nyingi sana
*♦️ VIAMBATA*
🔅Soy Lecithin
*Faida Zake Kwa Ujumla....*
▪️Huboresha mzunguko wa damu
▪️Kuzibua mishipa midogo midogo ya damu, hivyo kusaidia kuondoa changamoto ya presha na dalili zake.
▪️Husaidia kunyonya na kuyeyusha mafuta mwilini
▪️kuondoa tatizo la uzito uliopitiliza
▪️Huboresha utendaji kazi wa mishipa ya fahamu na usafirishaji wa taarifa
hivyo kutibu tatizo la kusahau na kupoteza kumbukumbu
▪️Huboresha mishipa ya macho, kuondoa ukungu machoni, na kutibu matatizo ya uoni hafifu.
▪️Hutibu matatizo ya kichwa kuuma mara kwa mara
▪️Huboresha na kuongeza nguvu za kiume.
▪️Huboresha afya na muonekano wa ngozi hivyo kuzuia kuzeeka kwa ngozi.
▪️Huondoa sumu aina zote mwilini.
▪️Husaidia kulinda ini na Figo
▪️Hubalance tatizo la mvurugiko wa homoni kwa wanawake.
▪️Hutibu homa ya ini "Hepatitis B"...
K**a ni mwenye kupenda afya yako unakosaje kutumia *Detoxlive Capsules..*?
25/10/2022
WANAUME 💪💪💪
Wahanga wa
**kukosa hamu ya Tendo landoa
**kukosa nguvu ya kufanya Tendo la ndoa
**Upungufu wa mbegu za kiume
**kufika kileleni kwa haraka isivyo kawaoda
**kutokurudia tendo la ndoa
Expower Man Coffee, X POWER MAN capluse Plus And Prostate Relax
HII NI BIDHAA BORA KABISA KWA AJILI TA KUBORESHA NA KUIMARISHA MFUMO WA UZAZI WA WANAUME bila kuusababishia Mwili Madhara Yeyote yale
...BIDHAA HII IMETENGENEZWA KWA;
1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium
Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,USA,INDIA,PERU
# MUHIMU UTAKAYOPATA TOKA KWENYE BUDHAA HII
1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
2. Kuupa mwili Nguvu zaidi
3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.
6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume/kuzuia Tezidume
8. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari
9. Kusafisha mishipa ya damu
10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
HAINA CAFFEIN WALA NICOTEEN,INAFAA KWA MATUMIZI KWA MWANAUME YEYOTE YULE ALIYE NA TATIZO NA ASIYE NA TATIZO PIA KWANI HUONDOSHA SUMU MBALI MBALI ZINAZOSHAMBULIA cell KATIKA ORGANS MBALI MBALI KWENYE MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME.Sumu hizo hutokana na KEMIKALI tuzitumiazo Katika Kwenye VYAKULA&VINYWAJI MBALI MBALI tutumiavyo haswa vinavyotengenezwa VIWANDANI na VYAKULA vitokanavyo na Matumizi ya MBOLEA Mashambani
Contact us
+255 687 431 266
25/10/2022
*🌹Faida Za Vidonge Vya Novel Depile..*
Nini Maana Ya Novel depile?
Hiki ni kirutubisho kinachotengenezwa kiasili kwa kutumia matunda na mboga mboga.
*♦️Viambata Vyake*
☆Citrus extract
☆Citrus extract's derivate.
Viambata hivi kwa pamoja hufanya kazi nyingi za kiafya mwilini
*Faida Za Kiafya Katika Mwili*
●Inasaidia kuondoa Bawasiri Sugu, uvimbe na kutoka kwa damu
●Huondoa maumivu yanayosababishwa na uzito wa miguu.
●Husaidia kuondoa tatizo la Kuganda kwa choo
●Hutuliza mvutano wa mishipa miguuni kunakoweza kusababisha damu kushindwa kurudi kwenye moyo.
● Husaidia Damu kuzunguka vizuri.
●Ni Nzuri sana kuondoa mlundikano wa uric acid kwenye maungio inayopelekea kuharibika kwa mifupa (Arthritis)
● Ni tiba ya kuvimba kwa mishipa inayopitisha damu miguuni (Vericous Veins)
●Kuboresha uzalishaji wa homoni zinazosaidia ubongo na mwili kufanya kazi.
●Zinapunguza uwondoshwaji wa seli za awali zinanopambana na wavamizi (leukocyte and endothelial cell)
● Inapunguza mnato wa damu na kurahisisha mzunguko wa damu
•Husaidia macho kuona vizuri ikitumika na pure na micro2 cycle na
•Husaidia Kuondoa hernia zilizo nje ya mfumo wa uzazi Kwa jinsia zote
Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba 0687431266
*🌹Faida Za Vidonge Vya Novel Depile..*
Nini Maana Ya Novel depile?
Hiki ni kirutubisho kinachotengenezwa kiasili kwa kutumia matunda na mboga mboga.
*♦️Viambata Vyake*
☆Citrus extract
☆Citrus extract's derivate.
Viambata hivi kwa pamoja hufanya kazi nyingi za kiafya mwilini
*Faida Za Kiafya Katika Mwili*
●Inasaidia kuondoa Bawasiri Sugu, uvimbe na kutoka kwa damu
●Huondoa maumivu yanayosababishwa na uzito wa miguu.
●Husaidia kuondoa tatizo la Kuganda kwa choo
●Hutuliza mvutano wa mishipa miguuni kunakoweza kusababisha damu kushindwa kurudi kwenye moyo.
● Husaidia Damu kuzunguka vizuri.
●Ni Nzuri sana kuondoa mlundikano wa uric acid kwenye maungio inayopelekea kuharibika kwa mifupa (Arthritis)
● Ni tiba ya kuvimba kwa mishipa inayopitisha damu miguuni (Vericous Veins)
●Kuboresha uzalishaji wa homoni zinazosaidia ubongo na mwili kufanya kazi.
●Zinapunguza uwondoshwaji wa seli za awali zinanopambana na wavamizi (leukocyte and endothelial cell)
● Inapunguza mnato wa damu na kurahisisha mzunguko wa damu
•Husaidia macho kuona vizuri ikitumika na pure na micro2 cycle na
•Husaidia Kuondoa hernia zilizo nje ya mfumo wa uzazi Kwa jinsia zote
23/10/2022
*Ni kutokana na Eucalyptus na wintergreen oil inayo patikana kwenye Coolroll*
Hii eucalyptus ni majani yanayo patikana kwenye mmea na ni rafiki au yanapatikana zaidi nchini Australia,
Coolroll ipo combined na hizo leafs mbili mhimu,
Unaweza kumsaidia mtu mwenye changamoto hizi👇
💎Covid
💎Athuma
💎Arthritis (magonjwa ya mifupa especially kwenye maungio)
💎Kuwashwa kwa ngizi
💎Cancer ya ngozi
💎 Mafua
💎 Kifua kubana Bila sababu
Na changamoto zingne nyingi,
Inshort BF SUMA ili waitangaze bidhaa wanakuwa wameichambua kitalamu,
21/10/2022
WANAUME 💪💪💪
Wahanga wa
**kukosa hamu ya Tendo landoa
**kukosa nguvu ya kufanya Tendo la ndoa
**Upungufu wa mbegu za kiume
**kufika kileleni kwa haraka isivyo kawaoda
**kutokurudia tendo la ndoa
Expower Man Coffee, X POWER MAN capluse Plus And Prostate Relax
HII NI BIDHAA BORA KABISA KWA AJILI TA KUBORESHA NA KUIMARISHA MFUMO WA UZAZI WA WANAUME bila kuusababishia Mwili Madhara Yeyote yale
...BIDHAA HII IMETENGENEZWA KWA;
1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium
Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,USA,INDIA,PERU
# MUHIMU UTAKAYOPATA TOKA KWENYE BUDHAA HII
1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
2. Kuupa mwili Nguvu zaidi
3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.
6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume/kuzuia Tezidume
8. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari
9. Kusafisha mishipa ya damu
10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
HAINA CAFFEIN WALA NICOTEEN,INAFAA KWA MATUMIZI KWA MWANAUME YEYOTE YULE ALIYE NA TATIZO NA ASIYE NA TATIZO PIA KWANI HUONDOSHA SUMU MBALI MBALI ZINAZOSHAMBULIA cell KATIKA ORGANS MBALI MBALI KWENYE MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME.Sumu hizo hutokana na KEMIKALI tuzitumiazo Katika Kwenye VYAKULA&VINYWAJI MBALI MBALI tutumiavyo haswa vinavyotengenezwa VIWANDANI na VYAKULA vitokanavyo na Matumizi ya MBOLEA Mashambani
Contact us
+255 714020423
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Mpendae
Zanzibar City
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |