Zanzibar cosmetics

Zanzibar cosmetics

Share

�TUNA UZA VIPODOZI OG AINA ZOTE
�TUNA UZA JUMLA NA REJA REJA
�TUNAPATIKANA ZANZIBAR FUON NYUMBA

03/05/2026

Derma Co 2% Salicylic Acid (BHA) Hydrating Toner ni toner yenye kazi ya kusafisha ndani ya pores + kulainisha ngozi + kuzuia chunusi.

1. Kutibu chunusi (Acne)
Ina Salicylic Acid (BHA) ambayo inaingia ndani ya pores
Huondoa mafuta na uchafu unaosababisha chunusi

2. Kuondoa blackheads & whiteheads
Huchimba ndani ya ngozi na kusafisha vichwa vyeusi na vyeupe
Huzuia visitokee tena

3. Kufungua na kupunguza pores (pores kubwa)
Husafisha pores zilizoziba
Hufanya ngozi ionekane smooth na safi

4. Kupunguza mafuta usoni (oily skin control)
Hurekebisha oil (sebum)
Inafaa sana kwa wenye ngozi ya mafuta

5. Kuondoa dead skin (exfoliation)
Huondoa ngozi iliyokufa → ngozi mpya inaonekana
Hufanya texture ya ngozi iwe laini

6. Kupunguza madoa na ku-brighten ngozi
Ina Niacinamide ambayo husaidia kufifisha dark spots na kusawazisha rangi ya ngozi

7. Kutoa unyevu (hydration 💧)
Ina Hyaluronic Acid + Panthenol
Huzuia ngozi kukauka hata k**a ina acid �

👉Inafaa kwa 👇👇
✔️ Oily skin (nzuri sana)
✔️ Acne-prone skin
✔️ Combination skin

✅✅Call& Whatspp 0773600335

03/05/2026

Sali-Cinamide ant acne face wash

✅Hii ime target kwenye kutibu chunusi
✅Kukausha mafuta kwenye ngozi ili kuzuiya chunusi zisi zaliwe upya
✅Ina salicylic acid ambayo husaidia kufungua pores zilizo ziba
✅ Inaondoa blachhead&White head na huchimba ndani ya pores na kusafisha uchafu ulio kwama
✅Inaondoa uvimbe na wekundu wa chunusi

03/05/2026

Kojic acid daily face wash

✅Hii husaidia kuondoa madoa usoni
✅Kusafisha ngozi kwa kina
✅Kuondoa uchafu pamoja na mgandamizo wa mafuta kwenye ngozi
✅Hutibu chunusi kwa upole bira kuchuna ngozi

Call& whatsapp 0773600335

03/05/2026

Derma Co 1% Vitamin C Serum

1. Kung’arisha ngozi (Brightening ✨)
Vitamin C hufanya ngozi iwe na glow na fresh look
Hupunguza dull skin ( yaani ngozi iliyochoka)

2. Kupunguza madoa (Dark spots & pigmentation)
Husaidia kufifisha madoa ya chunusi na hyperpigmentation
Hufanya rangi ya ngozi iwe sawa (even tone)

3. Kuondoa makovu ya chunusi
Ikiwa na mchanganyiko wa Vitamin C + Niacinamide
Husaidia kupunguza acne marks taratibu

4. Kuzuia kuzeeka mapema (Anti-aging)
Huongeza collagen → ngozi inakuwa firm
Hupunguza fine lines na mikunjo
Verywell Health

5. Kulinda ngozi dhidi ya jua na uchafuzi (Protection)
Ni antioxidant → hulinda ngozi dhidi ya damage ya jua na pollution
Prevention

✅Call&:whatsapp 0773600335
📍Zanzibar fuoni nyumba moja

03/05/2026

1% Kojic + Arbutin Night Repair Face Serum-Gel

📌Hii serum kazi yake zaidi ni kwa matatizo ya dark spots (madoa meusi) na pigmentation.

✅Ina ingredient k**a Kojic Acid (1%)
✍️Husaidia kupunguza uzalishaji wa melanin (rangi ya ngozi), hivyo hupunguza madoa meusi, makovu ya chunusi, na kufanya ngozi iwe na rangi moja

✅Alpha Arbutin
Hufanya kazi ya kuifanya ngozi iwe bright/ing’ae na kusaidia kufifisha hyperpigmentation bila kuwa kali sana kwenye ngozi.

✅Kutibu hyperpigmentation

✅Kuondoa makovu ya chunusi

✅Kuifanya ngozi iwe even tone (rangi sawa)

✅Kuongeza glow ya ngozi

📌Suitable for oil skin, combination na normal skin

03/05/2026

Available

Price 40000

03/05/2026

3% Kojic Acid Dark Spot Corrector Gel (The Derma Co)


📌Kutibu dark spots (madoa meusi)

📌Kutibu hyperpigmentation (rangi kutofanana usoni)

📌Kufifisha makovu ya chunusi (acne scars)

📌Kusaidia ngozi kuwa laini na yenye glow

📌Kusawazisha skin tone (rangi ya ngozi iwe sawa)

✍️✍️Viambato vyake na kazi zake
👉Kojic Acid (3%)
Hupunguza uzalishaji wa melanin → husaidia kuondoa madoa meusi
👉Azelaic Acid
Husaidia kupunguza chunusi + kupunguza uwekundu na makovu
👉Tranexamic Acid
Nzuri sana kwa melasma na pigmentation sugu

03/05/2026

3% Kojic Acid Dark Spot Corrector Gel (The Derma Co)


📌Kutibu dark spots (madoa meusi)

📌Kutibu hyperpigmentation (rangi kutofanana usoni)

📌Kufifisha makovu ya chunusi (acne scars)

📌Kusaidia ngozi kuwa laini na yenye glow

📌Kusawazisha skin tone (rangi ya ngozi iwe sawa)

✍️✍️Viambato vyake na kazi zake
👉Kojic Acid (3%)
Hupunguza uzalishaji wa melanin → husaidia kuondoa madoa meusi
👉Azelaic Acid
Husaidia kupunguza chunusi + kupunguza uwekundu na makovu
👉Tranexamic Acid
Nzuri sana kwa melasma na pigmentation sugu

✅Call& whatsapp 0773600335

03/05/2026
03/05/2026

Zipo dukani sh 45000 💯original

Expensive product from thailand

👌Hizi oil ni nzuri sana kwa mtu unaye taka kung'aa tumia ina ng'arisha ngozi uhakika

Ranee Body Papaya Whitening Canmixed Body oil

Kazi yake kuu ni👉

1. *Kung’arisha ngozi* – Ina extract ya papai ambayo husaidia kuondoa weusi wa ngozi na kuifanya kuwa nyeupe , madoa meusi, na pia kufanya ngozi ing’ae kwa asili

2. *Kulainisha ngozi* – K**a oil, huiacha ngozi ikiwa na unyevunyevu na laini

3. *Kuzuia ukavu* – Inasaidia kulainisha ngozi kavu, hasa kwa watu wenye ngozi inayoacha mabaka meupe kwa ukavu.

4. *Kupunguza uharibifu wa ngozi* – Inasaidia kurekebisha ngozi iliyochoka au iliyoharibiwa na jua.

5.Inasaidia tone ya ngozi kuwa sawa – Hasa kwa ngozi zenye rangi isiyo sambamba.

6. Umetumia cream au lotion ina kuharibu ngozi na kukuachia vire vidoti doti vyeupe tumia hii ina safisha kabisaa

7. Ina punguza michirizi pia una weza kuchanganya na lotion

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Address


Fuoni Zanzibar
Zanzibar City

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00