Anney Multiple Business

Anney Multiple Business

Share

Karibuni @Anney Multiple Business kwa mahitaji mbalimbali ya Vipodozi, Urembo na Khanga kubwa🔥🔥🔥💯

Photos from Anney Multiple Business's post 06/09/2023

Hii ni kiboko ya kutoa michirizi ya tumboni iliyotokana na UZAZI, inafanya kazi haraka zaidi na bei zetu ninafuu sana Tsh 12000 TU!
Tunapatikana Zanzibar na mikoa jirani tunatuma tafadhali wasiliana nasi kwa namba 0744057256/0712805381

"KARIBUNI SANA"🔥🔥

Photos from Anney Multiple Business's post 18/04/2023

Tunauza P**i na Ubani kwa jumla na rejareja, rejareja tunauza pakti moja 1000, na kopo za p**i na ubani zote kwa 6800 kwa jumla tunauza Cartoon moja kuanzia 36000.

Tunapatikana Zanzibar karibu na stendi ya gari za kwenda shamba (Nungwi), tunauza bidhaa zetu ndani ya Zanzibar na nje ya Zanzibar (Kwa waliyoko nje ya Zanzibar tunatuma kwa njia ya boti kuanzia cartoon 10. Karibuni sana kwa mawasiliano zaidi piga 0744057256 /0712805381

Photos from Anney Multiple Business's post 18/04/2023

Tunauza Masala za aina mbalimbali za Pilau, Biryan, Samaki na Mishkaki.

Tunauza kwa bei ya jumla na rejareja, bei ya rejareja ni 3500 kwa Masala zote na jumla ni 1800 kwa Masala zote kuanzia PC 24.

Tunapatikana Zanzibar karibu na stendi ya gari za kwenda shamba (Nungwi) tunauza bidhaa zetu ndani ya Zanzibar na nje ya Zanzibar tunatuma kwa njia ya boti kuanzia cartoon 10. Karibuni sana

Photos from Anney Multiple Business's post 15/04/2023

Karibuni wateja wangu bidhaa za sabuni za maji Ant-bacteria hand wash kwa rejareja 3500 na jumla cartoon 1 sabuni zipo 24 kwa 64500, P**i na big g za kopo kwa 6800, na chumvi safi kutoka Pakistan kwa rejareja 1000 na jumla cartoon 1 zipo chumvi 24 kwa 14000. Nina patikana Zanzibar na mikoani tunatuma wasiliana Nami kwa namba 0744057256 /0712805381
NYOTE MNAKARIBISHEWA🙏🙏

Photos from Anney Multiple Business's post 24/03/2023

Mzigo mpya umeingia karibuni khanga kubwa kutoka Zanzibar hazichuji wala kupauka ni nzuri kwa kushona au kujifunga kwa shilingi 19000 rejareja na jumla 16000, Napatikana Zanzibar na mikoani ninatuma tafadhali nipigie 0744057256/0712805381

19/11/2022

Pata bidhaa mbalimbali kutoka Anney Multiple business k**a vile Laptop Used, Khanga kubwa, Udi wa kupaka, Mafuta ya Asili ya Mba na Simu used VYOTE KWA BEI POA
Tuna patikana Zanzibar na Mikoani tunatuma kwa njia ya Posta na Boti Tafadhali wasiliana nasi kwa namba 0744057256/0712805381

" Karibuni sana"

Photos from Anney Multiple Business's post 09/11/2022

Pata simu bei poa Aquos Gb 64 na Ram 4 kwa Tsh 180000 sio full Box
Napatikana Zanzibar na Mikoani tunatuma. Tafadhali wasiliana nami kwa No 0744057256/ 0712805381

18/07/2022

Mafuta ya asili ya Mba, haya ni mafuta ya asili yaliyo changanywa na dawa yanatoa Mba wa kichwani na mwilini kwa bei poa Tsh 6000 Tu!
Karibuni sana

Photos from Anney Multiple Business's post 14/07/2022

Pata vitu vya Umeme kutoka Zanzibar kwa bei poa

14/07/2022

Karibuni Anney Multiple Business
Kwa bidhaa mbalimbali k**a vile vikoi vya Zanzibar, Ubuyu wa Zanzibar, Udi wa kuchoma na kupaka, Sabuni za Karafuu, Pafyumu na Body Spray vyote kwa bei poa.
Pia tunatoa huduma ya Malazi katika Apartment zetu zilizopo Stone town Zanzibar na Tunakununulia chochote Zanzibar Vifaa vya umeme Used na Vipya km Fridge, Pasi, Micro wave, Mashine n.k na tunakutumia popote ulipo.

Karibuni sana piga no 0744057256 kwa maelezo zaidi

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Zanzibar