Zanzibarcosmetics_cheap

Zanzibarcosmetics_cheap

Share

Zanzibar Cosmetics

24/10/2024

ST IVES FACE WASH
Hivi umeshawahi tumia shower gel usitamani kutoka bafuni kwa Harufu nzuri na blood circulation ya Mwili wako ukafeel uko sawasawa... This shower gel iko i/
Zina essential oil inayosaidia kulainisha ngozi
Zinaondoa Uchafu kwenye ngozi
📌 Inasaidia kwenye ukuaji wa ngozi yako na kupata
Glowing skin
Jumla 12000
Rejarej 20000

24/10/2024

Licorice root serum ni serum nzur sana ambayo kwanza ina 10% ya Niacinamide hivyo inasaidia kuondoa pores kwenye ngozi.
Inaondoa weusi chini macho.
Inamaliza tatizo la discolouration na hyperpigmentation.
Inaondoa makovu ,mabaka na chunusi.
Jumla 15000
Rejarej 25000

04/10/2024

PALMER SKIN SUCCESS
TONER
📌Inasaidia kuondoa madoa
meusi ya chunusi au alama zozote usoni inafanya ngozi kuwa laini.
📌 Inaondoa uchafu wote uliojificha kwenye ngozi na
kiacha ngoxi ikiwa safi.
📌 Ni vizuri ukitumia hii kusafishia uso ndipo baada ya
hapo kuendelea na routine nyingine k**a serum,
moisturizer nk
📌Kwa kufanya hivyo itasaidia kutatua Tatizo lililopo
ndani ya ngozi na kulizuia lisiyokee tena
• All skin type
Jumla 15000
Rejarej 25000

22/06/2024

Kojie seti balaaaa na nusu🔥🔥🔥
Bei ya jumla 35000
Rejareja 45000

22/06/2024

WINS TOWN SKIN WHITENING
GUMMIES 🔥🔥🔥🔥🔥
FAIDA:
âś…Vinatakatisha na kukufanya uwe na rangi 1 mwili

mzima
âś… Vinasaidia kuondoa tatizo la chunusi la rashez

âś…Vinaondoa makunyanzi

✅Vinafanya ngozi yako ing’ae iglow iwe lain na nyororo
âś…Ni anti aging vinapambana na kuzeeka kwa ngozi

âś…Vinaondoa tatizo la weus+sugu+kufubaa kwa ngozi
mwili mzima
âś…Vinasaidia kupata usingizi vizuri

Zipo gummies 60

EJINSI YA KUTUMIA
Tumia gummies 2-4 kwa siku
CANGALIZO:
Asitumie miamzito
Asitumie anayenyonyesha
Bei 120,000

22/06/2024

Collagen gummies

🎄Hii ni nzuri sana kwa ajili ya kuimalisha na kung’arisha ngozi, kucha na nywele pia inaimarisha mifupa.

🎄afya ya ngozi, inasaidia unyevu na unene wa ngozi kupelekea kupunguza makunyanzi na kuboresha muundo wa ngozi

🎄 afya ya nywele na kucha, inaimarisha afya ya nywele na kucha. Inasaidia kuzuia nywele na kucha kukatika katika na kuharibika

🎄Bafya ya viungo, inasaidia kupunguza maumivu ya viungo na kufanya viwe imara
Jinsi ya kutumia

Unatumia gummies 2-4 kwa siku muda wowote
Angalizo
! asitumie miamzito
asitumie anayenyonyesha
Zipo gummies 60
Bei 100000

01/05/2024
29/04/2024

Nivea spray 7500
Rejarej 10000

29/04/2024

VITA PRO COLLAGEN
BRIGHT SUPPLIMENTS

📌Collagen ni protini muhimu sana katika mwili, na inachangia sana kwenye afya ya ngozi. Hapa chini ni faida za kutumia collagen supplements kwa afya ya ngozi:
📌 Kupunguza uzeekaji wa ngozi: Kupungua kwa collagen katika mwili kunaweza kusababisha kuzeeka kwa ngozi. Kwa kuchukua collagen supplements, unaweza kusaidia kuboresha uzalishaji wa collagen mwilini na hivyo kusaidia kupunguza dalili za kuzeeka kwa ngozi, k**a vile kupoteza unene, kuonekana kwa mistari ya ngozi, na kupoteza elasticity.
📌Kung’arisha ngozi kuanzia ndani. Collagen ikiwa ya kutosha mwilini hata madoa yanafifia haraka na ngozi inang’aa
📌Kuboresha unene wa ngozi: Collagen ni sehemu muhimu ya ngozi, na kupungua kwa collagen kunaweza kusababisha ngozi kuwa nyembamba na kuonekana k**a imechakaa. Kwa kuchukua collagen supplements, unaweza kusaidia kuongeza unene wa ngozi na kuboresha afya ya ngozi yako
📌Kusaidia kuponya vidonda na jeraha: Collagen ni muhimu katika kusaidia ngozi kupona kutokana na vidonda na jeraha. Kwa kuchukua collagen supplements, unaweza kusaidia
kuboresha uzalishaji wa collagen mwilini na hivyo kusaidia ngozi yako kupona haraka
📌 inakupa weupe mwili mzima bila sugu
Bei 120000
Hazina madhara kabisaaa ni suppliment

29/04/2024

BABY FACE SERUM
âś… Hii ni special kwa wale wenye matatizo sugu ya ya usoni k**a malesma sugu, weusi wa mashavuni,
âś… hydroquinone ni kuondoa ile melanin (weusi) kwenye sehemu utakayo..
âś… Inaondoa chunusi zote na kutatua tatizo kutokea ndani ya ngozi
âś… Kwa wale wenye chunusi zinazojirudia hii serum ni suluhisho la Tatizo.
âś… Zile sugu za mapajani, kwenye makalio, magotini na viwiko vya mkono hili serum ni kiboko.
Jumla 12000
Rejarej 25000

29/04/2024

AHA-BHA-PHA 30DAYS MIRACLE STARTER
seti matata kwa ajili ya ngozi ya uso tu hata k**a uso wako umeshindikana na chunusi au kuharibika njoo uchukue hii seti🔥🔥
❌❌haichubui ila inan’arisha tu unakuwa na kangozi ka uso katamu
âś… makovu yote kwisha
Jumla 50000
Rejarej 65000

29/04/2024

YUJA NIACIN
seti matata kwa ajili ya ngozi ya uso tu hata k**a uso wako umeshindikana na chunusi au kuharibika njoo uchukue hii seti🔥🔥
❌❌haichubui ila inan’arisha tu unakuwa na kangozi ka uso katamu
âś… makovu yote kwisha
Jumla 50000
Rejarej 65000

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Bweni
Zanzibar