khamis_herbalist_tz_
Afya Njema Ndio Msing Bora wa Maisha ya Furaha.Tatua changamoto yoyote kiafya Tena Mapema,Kwa ushauri wa afya karibu Dana ni Buree
05/07/2025
π¦π¨ππ¨πππ¦ππ’ ππ ππ¨ππ¨π π¨ ππ π§πππ ππ¨π π ππππ ππ¨πππ‘π¬ππͺπ π¨π£ππ¦π¨πππ (π¦π¨π₯πππ₯π¬) πΏππ©Ί
ππππππ
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (π£π₯π’π¦π§ππ§π ππππ‘π) Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.
πππππππ ππ ππ¨π©ππ ππ ππͺπ π§πππ ππ¨π π
ππππππ
π Kukojoa Mara kwa mara.
π Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
π Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
π Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
π Kupungukiwa nguvu za kiume.
π UTI ya Mara kwa mara.
π Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa Mkojo.
π Figo kujaa maji.
π Kupoteza fahamu.
π Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
π Uume kushindwa kusimama vizuri.
π Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
πππ§πππ₯π ππ π§πππ ππ¨π π πππ π ππππ§ππͺπππ ππ¨π§ππππͺπ
πππππ
β Kushindwa kabisa kukojoa.
β Kupatwa na maambukizi ya UTI.
β Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
β Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
β Figo inaweza kuharibika.
β Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer)
β Kifo π₯
π’ππͺπ π§πππ π‘π π¨π¦πππ¨π₯π πππππ
Tembelea office zetu
+255627984026
+255654371457
05/06/2025
*πΈ TANGAZO KWA UMMA πΈ*
*Bidhaa Mpya Sasa Ipo Nchini β FemiCalcium D3!*
Tunayo furaha kubwa kuwajulisha kuwa sasa *FemiCalcium D3*, bidhaa mpya ya lishe ya kisayansi, imewasili rasmi kwenye soko letu la BF Suma! π
*Imeundwa mahΒsusi kwa ajili ya wanawake wajawazito katika hatua zote tatu za ujauzito, kabla ya ujauzito, wakati wa ujauzito, na kipindi cha kunyonyesha.*
π Kwanini Uchague FemiCalcium D3?*
*β
Ina Calcium Citrate 210mg kwa kidonge*
π Hii ni aina ya calcium inayofyonzwa haraka mwilini, haina madhara kwa tumbo, na hupunguza kabisa tatizo la kuvimbiwa.
*β
Ina Vitamin D3 (100 IU kwa kidonge)*
π Husaidia mwili kufyonza calcium kwa ufanisi zaidi na kuimarisha mifupa.
*β
Inafaa kwa kila hatua ya maisha ya mama:*
β’ Kabla ya kushika mimba
β’ Wakati wote wa ujauzito
β’ Kipindi cha kunyonyesha
β
Ni laini kwa tumbo, salama, na huleta matokeo ya haraka!
*π Je, Unajua?*
πΉ Zaidi ya *asilimia 55* ya wanawake wajawazito katika jamii zetu wanakumbwa na upungufu wa calcium.
πΉ Hali hii inaweza kupelekea matatizo k**a vile:
β’ Shinikizo la juu la damu wakati wa ujauzito
β’ Maumivu ya mgongo na miguu
β’ Uchovu mkubwa
β’ Ukuaji duni wa mifupa kwa mtoto
*π FemiCalcium D3* imebuniwa mahsusi kusaidia kupunguza au kuzuia changamoto hizi, na hivyo kuimarisha afya ya mama na mtoto kwa pamoja.
πͺ Faida Nyingine Muhimu:*
β¨ Huondoa uchovu na kusaidia kupata usingizi wa utulivu
β¨ Hupunguza maumivu ya mgongo, nyonga, na miguu
β¨ Huimarisha meno, kucha, na mifupa
β¨ Husaidia kwa uponaji wa haraka baada ya kujifungua
β¨ Rahisi kumengβenywa tumboni, bila madhara yoyote
π¦ Maelekezo ya Matumizi:*
β’ Dozi: *Vidonge 3 kwa siku β kunywa na maji ya uvuguvugu*
β’ Ujazo: Chupa ina vidonge 120
β’ Bei: TZS 89,600
*ποΈ Chukua Hatua Sasa!*
Usikubali mwili wako ukose virutubisho muhimu katika kipindi nyeti k**a cha ujauzito na kunyonyesha.
*FemiCalcium D3* ni zawadi bora ya afya kwa kila mama na mtoto.
Sasa inapatikana kupitia ofisi zote nchini za BF Suma.
Wasiliana nasi Kwa
+255627984026
+255654371457
*π Agiza leo β kwa afya bora ya kesho!*
07/11/2024
AFYA BORA NI MSINGI TOSHA WA MAENDELEO YAKO NA JAMII
Daktari: khamis_herbalist
Namba: +255627984026
*Bawasir* i: Maelezo ya Jumla
Bawasiri ni kuvimba kwa mishipa ya damu ndani ya eneo linalozunguka njia ya haja kubwa. Hali hii inaweza kusababisha nyama kujitokeza nje, na inaweza kuwa bawasiri ya ndani au ya nje. Madhara yake yanaweza kujumuisha mwasho, maumivu, na kutokwa na damu au k**asi wakati wa kujisaidia. Wakati mwingine, bawasiri inaweza isionekane kwa dalili zozote.
Dalili za Bawasiri
Dalili za bawasiri zinaweza kujumuisha:
Maumivu na mwasho
Hisia ya uvimbe katika eneo la haja kubwa
Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia
Shida katika kujisaidia (k**a vile kufunga choo)
Je, una dalili hizi? Angalia na uwasiliane nasi kwa msaada.
Vihatarishi vya Bawasiri
Bawasiri inaweza kusababishwa na:
Uzee
Ujauzito
Kujaribu sana wakati wa haja kubwa (constipation)
Kula vyakula visivyo na nyuzinyuzi
Historia ya bawasiri katika familia
Utambuzi wa Bawasiri
Utambuzi hufanywa na daktari kwa kuchunguza eneo la haja kubwa na kuweza kuingiza kidole kwa ajili ya uchunguzi wa ndani. Uchunguzi wa ziada unaweza kufanywa k**a ni muhimu.
Matibabu ya Bawasiri
Tiba inategemea ukubwa wa bawasiri na inaweza kujumuisha:
Dawa za kuzuia maumivu
Dawa za kupaka au suppositories
Kinga ya Bawasiri
Ili kuzuia bawasiri:
Hitimisho
Bawasiri ni tatizo la kawaida, lakini linaweza kutibiwa kwa urahisi. Kuwa na tabia nzuri za afya na kufuata maelekezo ya kitaalamu kunaweza kusaidia kuzuia matatizo haya.
Wasiliana Nasi
Ili kupata msaada zaidi au ufafanuzi, usisite kuwasiliana na khamis_herbalist ili kupata huduma ya matibabu na ushauri WA kitiba +255627984026/+255654371457
22/08/2024
π§ΆJE WAJUAAπ§Ά
HII Ndiyo SIRI Pekee Ambayo Wanaume Asilimia 10 Dunia Kote Wanaitumia Wakati wa Tendo la Ndoa Kuwalidhisha Wake Zao...
Ngoja nikupe siri moja itayokufanya ufurahie hawa watoto wazuri wenye Mvuto wa aina yake. Usitumie dawa, bali tumia Package ya virutubisho asilia inaitwa MAN FERTILITY PACKAGE walau kwa siku 10 tu alafu kabla haujamaliza dozi omba gemu kwa mke wako, uone jinsi atavyokung'ang'ania. Unapotumia hii package ya Man Fertility Package hatak**a ulikuwa unakosa Hamu ya kurudia Tendo itakuwezesha kuwa na uwezo wa kurudia Tendo mara nyingi uwezavyo pia utakuwa na uwezo wa kuchelewa Kumaliza Kila mshindo...
pia baada ya kuitumia itakuwezesha kuwa na Ujasiri zaidi wa kujiamini na kuweza kumudu kufanya Tendo la ndoa Kwa muda wowote maana itakusaidia kuondelea Ile hofu ya Kushindwa kufanya Tendo Kwa ukamilifu unaotakiwa...Haihitaji kuitumia muda mrefu ndipo upate matokeo ni kuanzia siku 07-15 za kwanza matokeo yatakuwa yameanza kuonekana na pia Kwa siku hizo chache ambazo utakuwa umetumia hii MFP package itakuwa imekusaidia kupata nguvu za kutosha na stamina ya Kwenda kwenye game moja zaidi ya goli tatu na kuendelea...
Kwa zaidi ya Miaka miwili na nusu Sasa nimekuwa nikiwasaidia wanaume wenye tatizo la Kushindwa kuwa Jasiri wakati wa chakula Cha usiku Kwa kutumia hii Package maalumu...
Zaidi ya wanaume 8723 wameweza kutumia hii Package na kupona kabisa tatizo lao.
K**a umekuwa ukihangaika kutafuta suluhisho la kudumu Basi Leo Imekuwa bahati kukutana na huu Ujumbe...
Kupata Msaada zaidi nenda kwenye Simu Yako Kwa upande wa Whatsaap save namba yangu halafu.
Tuma Neno MAN FERTILITY Kwenda Whatsaap namba +255745491055, utakuwa umenifikia Kwa haraka zaidi,Anayetuma Ujumbe Whatsaap anawahi kupata Msaada haraka zaidi...
NB Elimu hii ni Kwa Mtu ambaye ameishatimiza umri wa Miaka 35-59.
Ndiyo Tuma Ujumbe,Anayetuma ujumbe wake Whatsaap moja Kwa moja anawahi kupata MWONGOZO.wa kupata hii package mapema wahi haraka ili usije kukosa Maana zimebaki package 10...ndiyo maana nashauri mwenye uhitaji na hii package atume ujumbe mapema...+255627984026
03/08/2024
*VITAMIN C CHEWABLE TABLETS.*
π₯°Hii ni bidhaa mpya kabsa yenye radha ya chungwa na ni nzuri sana na mahususi kwa watoto, wajawazito, wamama wanaonyonyesha na watu wazima.
π₯°Ina vidonge 120 na 100mg, unaweza kutumia pamoja na chakula au bila chakula.
Idadi ya vidonge kwa siku;
ποΈMiaka 4-13 atumie 1.
ποΈMiaka 14-17 na mjawazito atumie 1-2.
ποΈAnayenyonyesha atumie 1-3.
ποΈMtu mzima atumie 1-5.
π₯°Ni bidhaa nzuri na tamu sana hata mtoto asiyependa kutumia vidonge ataipenda sana.
*FAIDA ZA KUTUMIA VITAMIN C CHEWABLE TABLETS KUTOKA BF SUMA*
πInazuia na kutibu anemia.
πInaongeza kinga ya mwili kwa kuziwezesha chembe cells nyeupe kufanya kazi yake kwa ufanisi wa hali ya juu.
πInazuia kukak**a kwa cell za ateri.
πIna antioxidant za kutosha kwa ajiri ukuimalisha cells na kuzuia cells zisiharibike.
πInasaidia kuponesha vidonda haraka.
πInazalisha collagen za kutosha ambazo ni proteins zinazoimalisha ngozi, mishipa ya damu na damu yenyewe, mifupa na cartilage.
πInasaidia uchukuliwaji wa madini chuma mwilini(Iron absorption) ambayo kazi yake ni kuzalisha chembe cells nyekundu na kusafirisha oxygen mwilini.
πInazuia au kutibu upungufu wa vitamin c mwilini.
πInaondoa na kupunguza mafua au dalili za mafua.
πInaimalisha meno na mifupa Kwa sababu inasaidia uchukuaji wa calcium.
πInaondoa Hali ya mwili kuchoka au mwili kuishiwa nguvu na kuwezesha mwili na akili kufanya kazi kwa ufanisi wa hali ya juu.
π₯°Kuwa wa kwanza kununua na kutumia Vitamin C CHEWABLE TABLETS kutoka BF SUMA na Wahi upate yako mapema maana ziko chache sana.
Tuwasiliane kwa namba hii +255627984026
+255745491055
kupata utaratibu wa kuipata bidhaa nzuri Sana ambayo haijawahi kutokea.
26/10/2023
ili mbegu ziruke kwa Speed yaani zifyatuke kwa Mwendo kasi hadi mwanamke wako asisimke unahitaji vitu vitatu tu , cha kwanza unahitaji madini ya kutosha mwilini ili uzalishe mbegu nyingi zenye Energy na Mikia, pili unahitaji uume wako usimame imara K**a msumari, tatu unahitaji mirija iwe inanyumbulika vizuri inapopitisha mbegu. Dozi ya virutubisho Asilia inakuwezesha kuwa bora kwenye tendo KARIBU SANA NDUGU UPATE USHAURI NA UIMARA ZAIDI. Utaheshimika sana kwa Mwenza wako piga +255627984026 usaidiwe
30/08/2023
*JINSI YA KUJITIBU MAPELE, HARARA NA CHUNUSI USONI UKIWA NYUMBANI*
_+255745491055
1. Andaa maji yako safi na salama yakiwa katika hali ya uvuguvugu _(yasiwe moto wa kuunguza)_
2. Osha uso wako kwa maji (eneza maji eneo lote lenye athari ya chunusi/ mapele/ harara)
3. Tengeneze povu zito Kwa vig***a vya mikono kwa Kutumia sabuni yenye viambata asili vya mimea
4. Paka povu usoni pamoja na eneo linalozunguka uso, fikia sehemu zote zenye athari ya chunusi, harara na mabaka
5. Kaa na povu Kwa dakika 5,
Kisha suuza uso kwa maji ya uvuguvugu na kausha uso kwa taulo safi na kavu au kitambaa maalum Cha cotton.
*_Fanya zoezi hili mara 2 Kwa siku Kwa siku 10 mfululizo_*
_*Kwa matokeo bora na haraka, tumia ππΎ*_
*ANATIC HERBAL ESSENCES SOAP*
*Unaweza kuipata kwa bei ya jumla na rejareja kwa kuweka order yako hapaππΎ*
https://wa.me/+255627984026
12/08/2023
AFYA YAKO NI MTAJI WAKO
*Pata hii Elimu ndugu yangu, utanishukuru baadae*
*Tangawizi* ina faida kadhaa kwa afya ya mwanaume. Baadhi ya faida hizo ni pamoja na:
1. **Kuongeza Libido:** Tangawizi ina uwezo wa kuchochea mzunguko wa damu mwilini, ikiwa ni pamoja na sehemu za uzazi. Hii inaweza kusaidia kuongeza hamu ya ngono.
2. **Kuboresha Uzazi:** Inaaminika kuwa tangawizi inaweza kusaidia kuongeza uzalishaji wa manii na kuboresha ubora wa manii, hivyo kuwa na athari chanya kwa afya ya uzazi.
3. **Kupunguza Uvimbe:** Tangawizi ina mali ya kupunguza uvimbe na inaweza kusaidia kupunguza maumivu ya viungo, ikiwa ni pamoja na maumivu ya misuli na viungo vya uzazi.
4. **Kupunguza Msongo wa Mawazo:** Matumizi ya tangawizi yanaweza kusaidia kupunguza msongo wa mawazo na kuimarisha afya ya akili. Hii inaweza kuwa na athari nzuri kwa afya ya mwanaume.
5. **Kuboresha Uvumilivu wa Mwili:** Tangawizi inaweza kuongeza uvumilivu wa mwili kwa kuboresha usambazaji wa oksijeni na virutubisho kwenye tishu za misuli.
6. **Kudhibiti Sukari Mwilini:** Tangawizi ina uwezo wa kusaidia kudhibiti viwango vya sukari mwilini, ambayo ni muhimu katika kuzuia matatizo ya kisukari.
7. **Kupunguza Hatari ya Magonjwa ya Moyo:** Tangawizi inaweza kusaidia kudhibiti viwango vya kolesterol na shinikizo la damu, hivyo kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.
By the way Unashauriwa kupata Dozi ya Tibalishe ili umalize tatzo lako kwanza , ndipo utaona Faida ya Kula matunda kila siku.
*Kwa ushauri Zaid
+255627984026
+255745491055
31/07/2023
JALI SEHEMU YA MWILI WAKO: KILA KITU KINA FAIDA NA NI NEEMA KUWEPO KWAKO*
1. *TUMBO* hujeruhiwa wakati huna kifungua kinywa asubuhi.
2. *FIGO* hujeruhiwa wakati hunywi Maji yanayohitajika katika mwili.
3. *KITUNZA NYONGO* hujeruhiwa wakati ambao hulali hadi saa 11 na hauamki mapema.
4. *UTUMBO MDOGO* hujeruhiwa unapokula chakula baridi na kichakavu.
5. *UTUMBO MAKUBWA* hujeruhiwa unapokula vyakula vya kukaanga na vikali zaidi.
6. *MAPAFU* hujeruhiwa unapovuta moshi wa sigara na kukaa katika mazingira machafu ya sigara.
7. *INI* hujeruhiwa unapokula vyakula vya kukaanga, vyenye kemikali (vikali).
8. *MOYO* hujeruhiwa unapokula mlo wako kwa chumvi na kolesteroli nyingi zaidi(mafuta ambayo siyo mazuri yanayoganda).
9. *KONGOSHO* huumia unapokula vitu vitamu kwa sababu ni vitamu kwenye kongosho pia hupatikana sukari.
10. *Macho* hujeruhiwa unapofanya kazi kwenye mwanga wa simu ya mkononi na skrini ya kompyuta gizani.
11. *Ubongo* unaumia unapoanza kuwaza mawazo hasi.
*Sehemu hizi zote hazipatikani sokoni. Kwa hivyo jitunze na weka viungo vyako vya mwili katika afya nzur
KWA USHAURI JUU YA AFYA YAKO
+255627984026
0745 491 055
29/07/2023
UTAFITI WABAINI
Bangi ni neno ambalo hutumika kuelelezea sehemu iliyokaushwa ya maua, mbegu, mche na majani ya mmea ujulikanao k**a Indian h**p. Uko mitaani bangi ina majina mengi na watumiaji wake wameipa majina k**a: dope, nyasi, majani, mche, g***a, magugu, kitu, sigara kali, blanti na mboga.
Kwa kitaalam βcannabisβ huelezea aina mbali mbali za dawa za kulevya zitokanazo na mmea wa
Indian h**p ambazo ni bangi (ma*****na) na hashish.
Aina hizi za dawa zitokanazo na mmea huu ziko katika kundi la dawa za kulevya ziletazo maruweruwe
(hallucinogen) au dawa zinazoathiri ubongo na kubadili jinsi tunavyotazama mambo katika uhalisia wake.Kuna zaidi ya aina 400 za kemikali katika mmea huu na kemikali ya kulaumiwa inayohusika na mabadiliko haya katika ubongo hujulikana k**a tetrahydrocannabinol (THC). Kiasi cha THC hutofautiana kulingana na eneo ulikolimwa mmea wa Indian h**p.
K**a tulivyoona bangi ni sehemu iliyokaushwa ya majani, mbegu,maua, na mche na huwa na rangi ya kijani,kijivu au brauni na bangi ni dawa ya kulevya ambayo hutumika kinyume cha sheria katika sehemu nyingi duniani.
Bangi hutumika kwa kuvuta moshi kutoka katika msokoto, sigara iliyoungwa au bomba maalum ya kuvutia moshi wake. Ni mara chache huchanganywa katika chakula, kuliwa k**a mboga au kutengeneza kinywaji. Wakati mwingine watumiaji hupukutisha sigara na kujaza bomba la sigara bangi au bangi iliyochanganywa na dawa nyingine za kulevya k**a co***ne na aina hii hujulikana na watumiaji k**a βbluntβ
Mtumiaji anapovuta msokoto wa bangi, huanza kufanya kazi baada ya dakika chache na mvutaji huanza kuhisi mapigo ya moyo yakienda mbio, mapokeo ya uhalisia huanza kubadilika na kuona vitu visivyo katika uhalisia (ndoto za mchana/maruweruwe).Matokeo haya ya muda mfupi baada kuvuta moshi wa bangi, huweza kudumu kwa muda wa saa mbili hadi nne au kuendelea kwa muda mrefu zaidi ikitegemea na kiasi cha THC kilichovutwa na ukali wake.
Mara nyingi wavutaji wa bangi huvuta moshi kwa nguvu ndani ya mapafu na kuushikilia kwa muda mrefu ili kuongeza ufanyaji kazi wa THC ukilinganisha na anayevuta sigara na hii husababisha madhara makubwa katika mapafu ya mvutaji. Mbali na maudhi k**a kukohoa na koo kuwasha, imeonekana kuwa uvutaji wa aina hii wa moshi unamweka mvutaji katika hatari mara tano zaidi ya kupata saratani ukilinganisha na mvutaji sigara.
Matatizo ya ubongo yanayopelekea kuathiri afya ya akili ni ugonjwa mbaya uwapatao wavutaji wa bangi. Anayevuta bangi huwa na uwezo mdogo wa kumbukumbu na pia humuondolea uwezo wa asili wa kufanya maamuzi yaliyo sahihi ukilinganisha na mtu asiyevuta bangi.
Kupat ushauri na Tiba Wasiliana Nas kwa
+255627984026
+255745491055
-----------------------
Visit TikTok to discover videos! Watch, follow, and discover more trending content.
24/07/2023
*Madhara ya kukosa choo muda mrefu ni pamoja na gesi , kiungulia , bawasiri,choo cheusi ,kutoka damu..changamoto ikiwa ya mda mrefu hupelekea kuta za tumbo kuoza (colon cancer) leo nimeandaa special ofa kwa watu wenye hii changamoto kuwasaidia kupona nicheck inbox .π©*+255627984026
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Zanzibar