Imara Mwanaume

Imara Mwanaume

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Imara Mwanaume, Health/Beauty, Zanzibar.

Photos from Imara Mwanaume's post 04/09/2024
24/06/2024

Safari Ya Mwanaume Rijal......

Je Unajua Namna Gani Unaweza Kuwa Mwanaume Rijal bila Kutumia Madawa?

1.Unawahi kufika Kileleni😎......

2.Umejichua Kwa mda Mrefu...👐

3.Unashindwa Kurudia Tendo🫥....

4.Uume umelegea na Kushindwa Kusimama Kabisa😯.....

5.Mke Wako Anakuona mwanaume Suruali 😚.....

6. Unashindwa Kumridhisha Kabisaa......

7.unajiona Huna Thamani Kabisa...

8.Unakuwa Na Mawazo Na Kuanza Kutafuta Chochote utakachoambiwa Kuwa Kitakusaidia Na Kuanza Kutumia Madawa Mbalimbali Bila Mafanikio.😎....

9.Unaona K**a Ni Mkosi Vile Na Bila Matokeo Yoyote😏...

10.Unakata Tamaa Kwa Sababu Umetumia Gharama Kubwa Na Pengine Kukopa pesa Ili Utatue Tatizo Lako Lkn Bila Mafanikio...😯

11. Unakuja Kugundua Kumbe Hukupata Elimu Sahihi Na Kujua Vyanzo,Na Namna Uume Unavyofanya Kazi...😎..

ukipata Usimamizi Wa Hali Ya Juu Kabisaa Ndani Ya Siku 30 tu ukaweza maliza tatizo lako utakuwa tayari kuongozwa.....

K**a ni ndio hakikisha unajinyakulie Program Yangu Nikuongoze Kwa Undani Zaid Ufanikiwe kuwa rijali.....

Tuma neno Nahitaji Ili Kuingia Kwenye List Ya Watakao Pata Package Zao Week Hii✍️

Nicheki Whatsapp namba ...0777620305

10/06/2024

Safari Ya Mwanaume Rijal......

Je Unajua Namna Gani Unaweza Kuwa Mwanaume Rijal bila Kutumia Madawa?

1.Unawahi kufika Kileleni😎......

2.Umejichua Kwa mda Mrefu...👐

3.Unashindwa Kurudia Tendo🫥....

4.Uume umelegea na Kushindwa Kusimama Kabisa😯.....

5.Mke Wako Anakuona mwanaume Suruali 😚.....

6. Unashindwa Kumridhisha Kabisaa......

7.unajiona Huna Thamani Kabisa...

8.Unakuwa Na Mawazo Na Kuanza Kutafuta Chochote utakachoambiwa Kuwa Kitakusaidia Na Kuanza Kutumia Madawa Mbalimbali Bila Mafanikio.😎....

9.Unaona K**a Ni Mkosi Vile Na Bila Matokeo Yoyote😏...

10.Unakata Tamaa Kwa Sababu Umetumia Gharama Kubwa Na Pengine Kukopa pesa Ili Utatue Tatizo Lako Lkn Bila Mafanikio...😯

11. Unakuja Kugundua Kumbe Hukupata Elimu Sahihi Na Kujua Vyanzo,Na Namna Uume Unavyofanya Kazi...😎..

ukipata Usimamizi Wa Hali Ya Juu Kabisaa Ndani Ya Siku 30 tu ukaweza maliza tatizo lako utakuwa tayari kuongozwa.....

K**a ni ndio hakikisha unajinyakulie Program Yangu Nikuongoze Kwa Undani Zaid Ufanikiwe kuwa rijali.....

Tuma neno Nahitaji Ili Kuingia Kwenye List Ya Watakao Pata Package Zao Week Hii✍️

Nicheki Whatsapp namba ...+255 777620305

28/05/2024

CHEKI FAIDA TANO ZA KARANGA

1.Ni nzuri katika kukontrol sukari

-Wenye ugonjwa wa kisukari karanga ni nzuri sana hasa wakati wa asubuhi

-Karanga zina kiasi kingi cha madini ya manganese

-Madini ambayo husaidia katika kubalansi sukari

2. Zinabust uwezo wa kutunza kumbukumbu -Karanga zina kiasi kikubwa cha vitamin B na niacin

Vitamin ambazo husaidia ubongo katika kutunza kumbukumbu.

3.Zinasaidia kupunguza uzito Karanga zina protini,na fibre ambazo humfanya mtu ajihisi kushiba muda wote Hivyo kusaidia kupunguza uzito

4. Zinaondoa makunyanzi katika ngozi Uwepo wa vitamin E kwa wingi katika karanga inasadia ngozi kutengeneza collagen nyingi Collagen inapokua nyingi ngozi inakua na mwonekano mzuri.

5.Zinaongeza stamina wakati wa tendo Karanga zina vitamin B3 na Omega 3 Hivi virutubisho vinasaidia kusafisha mishipa ya damu

Hivyo kuongeza kasi ya damu katika uume Jambo ambalo hufanya uume usimame katika kiwango cha kutosha

Lakini pia karanga zinakiwango kikubwa cha Arginine

Arginine ndiyo huzalisha Nitric oxidenkwa ajili ya kutanua mishipa ya damu ya uume ambapo huruhusu damu nyingi kuingia katika uume,hivyo uume kusimama kwa muda mrefu.

Argine hiyo hiyo husaidia utoaji wa mbegu bora za kiume..

28/05/2024

STROKE

Ulishawahi kuona mtu alilala mzima ghafla anaamka asubuhi hawezi kuongea, ulimi umepinda, au hawezi kutembea wala kusimama?

Hii inaitwa stroke /kiharusi.

Kiharusi (stroke) ni ugonjwa unaosababisha mwili kupooza kutokana na matatizo kwenye mishipa ya damu ya ubongo.

Matatizo hayo yanaweza kutokana na kuziba

kwa mishipa ya damu ya ubongo au

kupasuka kwa mishipa ya damu ya ubongo

hivyo seli za ubongo kufa kutokana na kukosa

damu na hewa ya oxygen.

Kiharusi kinaweza kutokana na mishipa ya damu kupasuka kitaalamu huitwa Hemorrhagic stroke au mishipa ya damu ya ubongo kuziba kitaalamu huitwa ischemic strokeSababu zinazopelekea mishipa ya damu ya ubongo kupasuka ni:-

1. Shinikizo la juu la damu

Damu inapopita kwa nguvu kwenye mishipa midogo ya ubongo huweza kuipasua.

2. Matumizi ya mda mrefu ya dawa za kuzuia damu kuganda k**a vile heparin n.k

Dawa hizi husababisha damu kushindwa kuganda na kuendelea kutoka hata k**a umeumia sehemu ndogo

3. Kuwa na uvimbe k**a pulizo kwe mishipa ya damu ya ubongo kitaalamu huitwa aneuriysm

Uvimbe huo ni rahisi kupasuka hasa presha ikiwa juu

4. Kuumia kwenye kichwa, k**a vile kupigwa kichwani au kupata ajali na kudondokea kichwa

5. Kugandia kwa protini kwenye mishipa ya damu na kuiharibu

Dalili za kiharusi ni:-

1. Kuumwa kichwa ghafla ikiambatana na kizunguzungu, kutapika au kupoteza fahamu

2. Kushindwa kuongea vizuri na kuelewa wanachosema wengine (kuchanganyikiwa)

3. Kuhisi ganzi kwenye uso, mikono au miguu

4. Kukosa nguvu nguvu upande mmoja wa mwili, kukosa balance na kushindwa kutembea ghafla.

5. Kushindwa kuona kwa jicho moja au yote, kuona ukungu au kuona vitu viwiliviwili.

Kiharusi kinaweza kusababisha ulemavu wa kudumu au wa muda k**a vile:-

1. Kushindwa kula, kuongea na kutembea hivyo kuwa tegemezi kwenye familia na kuongeza gharama za kumhudumia mgonjwa

2. Kupoteza kumbukumbu, kushindwa kufanya maamuzi na kuelewa vitu.

3. Kupata maumivu na ganzi mwilini

4. Kupata msongo wa mawazo na mabadiliko ya tabia kutokana na kushindwa kufanya shughuli zao za kila siku

Matibabu yake hutegemea na aina ya kiharusi

23/05/2024

MAKOSA MANNE HATARI WANAYOFANYA WANAUME WENYE MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME

K**a wewe ni mwanaume mwenye tatizo la nguvu za kiume hakikisha unajiepusha na makosa haya manne Kwani ukifanya makosa haya unaweza kusababisha tatizo hilo kuzidi kuongezeka badala ya kupungua Wanaume wengi wanaojijua wanatatizo la nguvu za kiume wanafanya makosa yafuayayo.

I.Kosa la kwanza wanapuuza tatizo, -unakuta mtu anachukulia poa changamoto yake bila kujua siku zinavyozidi kwenda ndivyo tatizo huzidi kukua na hatimae huweza kumpelekea mtu pabaya.

Hivyo Basi usipuuzie tatizo maana mpaka unaona shida ni kwamba tatizo limekua kubwa kwasababu Mara nyingi changamoto hii huchukua muda kujitengeneza taratibu ndani yako hadi kuja kuliona ni linadhihirisha tuu.

2. Kutokujua athari za kuendelea kukaa na tatizo. -Wengi huwa hawatengi muda kutafuta kwa kina juu ya athari za tatizo siku hadi siku.

3. Kutokua na Elimu sahihi juu ya changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume; -Wanaume wengi badala ya kutafuta wataalamu wa haya mambo huchukua uamuzi wa kuwafikishia watu wasio sahihi na hujikuta wakiangukia kwenye njia zisizo sahihi kuondoa changamoto hili.

4. Wanatumia dawa za nguvu za kiume (booster). Hii imekua Ni tabia ya wanaume wengi wakijigundua wanashida hii hukimbilia kutumia madawa ya kubusti nguvu za kiume bila kufahamu sayansi iliyopo nyuma ya nguvu za kiume.

ezi ya ni mazoezi Mazoezi ya Kegel ni mazoezi yenye matokeo mazuri kwa muda mfupi kwa wanaume, Yawezakuwa wewe umepatwa na madhara ya punyeto na una taka kupona kabisa anza leo mazoezi ya Kegel.

Hakikisha unapata vyakula vyakuongeza production ya homoni ya Testosteroni, kwa afya yako.

KUMBUKA

Tatizo hili ni la kimfumo si uume pekee unaokufanya ushiriki tendo ipasavyo Bali ni vitu vingi zaidi ya 50 vinahusika ikitokea kimoja kina tatizo hapo ndio tatizo huanzia.

NB:K**a unasumbuliwa na changamoto ya Upungufu wa nguvu za kiume tumia Bedroom Package upone kabisa MwakaNaNguvuZaKiume

Mwanaume hakikisha unamiliki nguvu za kiume.

Namna ya kupata hivi virutubisho wasiliana nami WHATSAPP/CALL 0777620305

22/05/2024

𝗥𝗢𝗠𝗔𝗡𝗖𝗘 𝗡𝗜 𝗗𝗔𝗞𝗜𝗞𝗔 𝗡𝗚𝗔𝗣𝗜?

Kuandaana kabla ya tendo inasaidia kuleta hisia karibu na kuuandaa mwili kwa ajili ya tendo lenyewe.

Maandalizi hayana muda maalumu kwa sababu hua inategemea na hisia, mazingira, Hamu nk

Kwa wastani inashauriwa maandalizi yasipungue walau Dakika 15 ..

Hii humsaidia hasa mwanamke kuuandaa mwili wake kwa ajili ya tendo na pia uke uweze kutengeneza uteute wa kutosha kwa ajili ya kuhakikisha hakuna michubuko wala mikwaruzano.

Maandalizi yanahusisha maandalizi ya kisaikolojia, na kiakili..

Inatakiwa walau mkumbatiane, mpige story mbili tatu ndo mfanye..

Sio mmefika tu hata salam hamna nyie mshaanza..

*Na pindi uingiapo mchezoni Ili utumie muda mrefu inakuhitaji utumie na hii package ya BEDROOM PACK Itakupa confidence ya kudumu Kwa muda mrefu kwenye Tendo na kufanya mchezo kuwa na burudani Kwa wote maana👇*

1. Itakufanya ukae Dkk zinazohitajika Kwa mwanaume hata DKK 45 bila kumwaga…kwahiyo itakupa Kujiamini na kukuepusha na Aibu ya Kuonekana sio rijali.

2. Utaweza kusimamisha uume kwa Ufasaha na sio legelege…kwahiyo utaweza kufanya tendo kwa Style zote bila hofu ya uume kulala ukeni

3. Utaweza kurudia tendo ndani ya Dkk 5 tu baada ya kumwaga, hiyo itakupa Uhakika kwa kupiga show kali na nyingi.

4. Utaanza kwenda zaidi ya Round 3 huku ukiwa na uhakika wa kumridhisha mwanamke wako.

5. Itaongeza Hamu ya tendo la ndoa, hutohitaji Booster yoyote, na utaweza kupiga shoo muda wowote popote.

6. Itakusaidia kusimamisha uume kwa muda mrefu zaidi bila kulala na kusinyaa ndani ya uke.

7. Utaongeza zaidi ya 67% ya mbegu zako…kwahiyo utaanza kumwaga mbegu zenye Afya na virutubisho vya kutosha.

8. Itaenda Kumaliza Uchovu na usingizi unaokuja baada ya kumaliza tendo

Ukifanya Malipo, Nitumie Ujumbe ili Uweze Kuandaliwa Mapema Package Yako.

*Mwongozo na Maelezo zaidi, Nipigie Kwa namba hiihii: 0777620305 Asanteh*

22/05/2024

Wanawake wngi leo wemeingia kwenye ndoa ngumu sana mwanaume anasema k**a kila kitu kipo mapenzi sio lazima

Tena anasema ndoa sio kulalana kila siku lakin sasana hiyo siku moja moja unapolala na mkeo huwa unafanya nn?

Unakuta unaharibu kimoja huwez tena mpka kesho na mwanaume bado kijana kabisa

Ndoa za leo imekiwa kufanya tendo la ndoa ili ushike mimba zaid ya hapo ni mateso makubwa kwa mwanamke,mwanaume ndie anae ridhika yeye tu,mwanamke anaamshwa kihisia hamaridhi anaachwa kiporo
Miez inakatika kitandani ni kimoja lakin mwanaume wala hash*tuki kabisa

K**a upo kwenye hali hii njoo nikupenjia sahihi ya kumaliza tatizo lako

17/05/2024

KWA WIFE INALALA KWA MCHEPUKO INASIMAMA

Ulishawahi kuona mwanaume anashindwa kusimamisha kwa mwanamke X ila akiwa na mwanamke Y anapiga shoo vizuri?

Hali hii kitaalamu inaitwa "Partiner Erectile Dysfunction"

Yaani ni unakuta kwa mke wake haisimami kabisa ila kwa mchepuko inasimama vizuri.

Kwa haraka haraka unaweza kudhani k**a umerogwa hivi...

Kumbe ni mambo ya kitaalamu tu..

Sababu kubwa ya hali hii kutokea ni Hofu.

Hofu hutokea hasa mwanaume anaposhutumiwa mara kwa mara.

Unakuta kesi haziishi mara huyu nani, Mbona jana umechelewa kurudi, Hela uliyoacha haitoshi yaani kesi nyingi.

Mwanaume anapopatwa na hali hii hukosa Amani na hushindwa kabisa kupiga shoo.

Ila akipewa mwanamke mwingine anamwaga moto k**a kichaa.Sababu nyingine ni ugomvi usioish katika mahusiano, Stress zilizozidi nk.

Ili kuondokana na tatizo hili wataalamu wanashauri mambo haya:-

MUDA WA KUCHEZEANA UWE WA KUTOSHA

Mwanaume naye anatakiwa kuchezewa...

Kadri mwanaume anavyochezewa ndivyo anavyopata hisia na kuperform tendo vizuri.

MASAJI

Masagi inaondoa stress..

Kwa hiyo mwanaume akifanyiwa masagi kabla ya tendo inaweza kumuongezea uwezo wa kupiga shoo.

TULIZA AKILI SEHEMU MOJA.

Tendo linahitaji utulivu..

Tabia ya kuhamisha hamisha akili wakati wa tendo inaweza kusababisha performance ishuke. Mfano mwanaume yuko katika tendo lakini anawaza mizigo yake bandarini, Anawaza wanaomdai nk

Tabia hii inaweza kusababisha mood ya tendo kukata na uume kulala kabisa.

Kwa elimu na ushauri zaidi nipigie muda huu 0777620305

17/05/2024

Safari Ya Mwanaume Rijal......

Je Unajua Namna Gani Unaweza Kuwa Mwanaume Rijal bila Kutumia Madawa?

1.Unawahi kufika Kileleni😎......

2.Umejichua Kwa mda Mrefu...👐

3.Unashindwa Kurudia Tendo🫥....

4.Uume umelegea na Kushindwa Kusimama Kabisa😯.....

5.Mke Wako Anakuona mwanaume Suruali 😚.....

6. Unashindwa Kumridhisha Kabisaa......

7.unajiona Huna Thamani Kabisa...

8.Unakuwa Na Mawazo Na Kuanza Kutafuta Chochote utakachoambiwa Kuwa Kitakusaidia Na Kuanza Kutumia Madawa Mbalimbali Bila Mafanikio.😎....

9.Unaona K**a Ni Mkosi Vile Na Bila Matokeo Yoyote😏...

10.Unakata Tamaa Kwa Sababu Umetumia Gharama Kubwa Na Pengine Kukopa pesa Ili Utatue Tatizo Lako Lkn Bila Mafanikio...😯

11. Unakuja Kugundua Kumbe Hukupata Elimu Sahihi Na Kujua Vyanzo,Na Namna Uume Unavyofanya Kazi...😎..

ukipata Usimamizi Wa Hali Ya Juu Kabisaa Ndani Ya Siku 30 tu ukaweza maliza tatizo lako utakuwa tayari kuongozwa.....

K**a ni ndio hakikisha unajinyakulie Program Yangu Nikuongoze Kwa Undani Zaid Ufanikiwe kuwa rijali.....

Tuma neno Nahitaji Ili Kuingia Kwenye List Ya Watakao Pata Package Zao Week Hii✍️

Nicheki Whatsapp namba +255777620305

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Address


Zanzibar