Sayzuu cosmetics
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Sayzuu cosmetics, Beauty, cosmetic & personal care, kiponda Street, Zanzibar.
🌹TUNAUZA BIDHAA ZETU KWA JUMLA NA REJAREJA.
🌹TUNAFANYA FASTA DERIVERY KWA UWAMINIFU MKUBWA.
🌹TUNAPATIKA UNGUJA ZANZIBAR MTAA WA KIPONDA STREET
🌹KWA MAWASILIANO ZAID WASILIANA NASI KWA NO HIZI
0657566626.
19/03/2025
Premium park face cream nzuri sana hii jamani uzee mwisho chalinze inakupa rangi moja ya kupendeza na yeye mvuto inaondoa mapele, chunusi, madoa na makovu hii kitu ndio mkombozi wako, haikopeshi jamani inatakatisha vizuri uso wko bila doa bila sugu👌Zanzibar hakuna matata pppppppppppp mambo ni moto wahi kujipatia ya kwako
30/10/2024
Sadoer coconut oil set unapata body oil,hair mask, shampoo, shower gel, hand cream, body lotion, body butter. Jumla 60000
Set hii ni nzur sana kwani inasaidia kutoa mba ,kuondoa muwasho,kuipq nywele afya na kuwa na muonekano wa kupendeza.
14/10/2024
DouBLE DoSE ULTRA WHITENING MoLATO OIL ANd. SOAP
Mafuta haya. Ni mazuri mno kwa. Wale. Wanaopenda kunga’a na. Kuwa. Na rangi. Nzuri ya. Kitajiri
Inangarisha. Na kutakatisha vizuri ngozi hata maeneo. Yaloshindikaka kabisa pia
Inatowa. Weusi shingoni, katikati. Ya mapaja , kuondowa sungu zote zilizoshindikana
Na. Kwamuna mfupi pia. Inakupa. Weupe wa njano. Na. Inalainisha mno ngozi. Bila kuacha. Michirizi. Na. Inalainisha mno. Ngozi bila kuacha michirizi wala. Madowa .
Jumla.25000 . Oil.
Rejareja 30000
Na soap. Yake 28000
Rejareja 35000.
Ni Nzuri.sana
Inangarisha. Inatakatisha ngozi. Inaondowa. Nongo. Ngozi. Ilofubaaa. Inatakatisha
14/10/2024
DOUBLE DOSE ULTRA WHITENING MOLATO OIL
Mafuta haya ni mazuri mno kwa wale wanaopenda kung'aa na kuwa na rangi nzuri ya kitajiri.
Inang'arisha na kutakatisha vizur ngozi hata maeneo yaliyoshindikana kabisa .
Pia inatoa weusi shingoni, katikati ya mapaja,kutoa weusi sugu sehemu za bikini.
Inasaidia kuondoa sugu zote zilizoshindikana na kwa muda mfupi.
Pia inakupa weupe wa njano na na inalainisha mno ngozi bila kuacha michirizi wala madoa.jumla 25000.
Rejareja 30000
Made in USA
14/10/2024
MOROCCAN ARGAN ESSENTIAL OILS 6IN 1 24K GOLD
Ni mafuta mazur sana ya ngozi ambayo yanasaidia kuondoa makunyanzi na mikunjo.
Yanaondoa madoa sugu na mabaka kwenye ngozi.
Yanafanya ngozi ipate mng'ao wa kutosha.
Inakupa unyevu wa ngozi yako muda wote.
Inakupa ngozi ya ujana na kuzuia kuzeeka.
Jumla 25000
Rejareja 30000
Made in USA
07/10/2024
Mousuf perfume zipo kila aina flavour unayotaka ml50 ndogo zake hizi, zinanukia hataree yaani ni balaa🔥 popote ulipo tunakufikia Bei km buree.8000 njoo tufanye biashara mtaji wa wako wa Elfu 50.Tu unaenda kuunza na wwe biashara ni kujituma mtoto wa k**e upate chako, usikae ndani tu kutegemea bwana hajiii
24/09/2024
ST IVES SHOWER GEL Mils 650 ✍️Shower gel zinasaidia sana kuondoa uchafu au Taka zilizopo kwenye pores ambazo usababishwa na vumbi au baadhi ya body cream huwa zinafunga pores. 💧Hivyo kwa kutumia shower gel itasaidia kufungua pores na kuruhusu ngozi kupumua vzr na hata utakachokipaka mwilini baada ya kuoga basi kitaangia kwenye ngozi vzr na kusababisha ngozi yako kuglow vzr 💧Si lazima uwe na jaccuzi ndio utumia shower gel Hapana.. 💧Unaweza kutumia sponge ya kuogea na kumimina shower gel ukajisugua vzr mwilin 💧Zinasaidia sana kwenye blood flow 💧Zinalainisha na kungarisha ngozi 💧Zinaondoa weusi na madoa mwilini 💧Zinaondoa harara na muasho mwilini
Price 18000
09/09/2024
Dr Davey VitaminB3 Glow Body jamani km mnavojuwa vitaminE ni tiba ya ngozi yako inalinga ngozi pia ithiathirike na juwa, hii body oil ni nzuri mno hta kwa wale wenye wekundu usoni Inaondoa na kutibu tatizo hilo, inangarisha na kukupa rangi moja, wenye ngozi kavu hii kitu ndio yakutumia
Jumla 20000
Rejareja 25000
09/09/2024
Facial mashine set kwa ajili ya kusugulia uso wako Inasaidia kupunguza kiwango Cha mafuta uliyonayo ni nzuri sana inarahisisha maisha jamanii inatoa taka zote za usoni unakuwa very softy
Jumla 12000
Reja 20000
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Kiponda Street
Zanzibar