Dr. Faiza Zam
Afya Sahihi
23/12/2025
10/10/2023
Visit TikTok to discover videos! Watch, follow, and discover more trending content.
21/08/2023
Hivyo tujiulize kw faida yake na madhara yake hayo unahisi unaweza kuendelea kutumia ili iteketeze afya ya mwili wako kiujumla ?
je wangapi tunasimamia watoto wetu wanapopiga mswaki?
je kuna watoto wangpi wanameza hio dawa na je unaahisi unaweza kudhibiti mtoto asimeze dawa ya meno?
Tujiulize sote hapa mara ngapi na kw kiwango gani imeshaingiza katika mwili wako tokea uanze kutumia hizi dawa za meno?
na mengi mengineyo.
21/08/2023
baadhi ya madhara ya matumizi ya flouride katika viungo na Tezi ( Thyroid)
21/08/2023
2.Katika Mifupa: madini ya flouride hudhoofisha mifupa na kupelekea watu wengin kuvunjika kirahisi haswa zaidi viungo vya hipsi na kiwiko.
3. FIGO: wenye matatizo ya Figo wanashauriwa kutotukia madini haya kabisa
4: MENO ; Japokua ipo faida katika meno lakini ni kw kiwango cha chini sana , Hivyo basi endapo kiwango kitakua kikubwa cha flouride hupelekea meno kudhoofu kw kuyafanya yasiwe magumu na iwe rahisi kushambuliwa➡️
21/08/2023
je una uhakika wa Dawa unayotumia kwa ajili ya kusafisha meno yako ni salama kwako na fmily yako? naomba itizame kwa umakini katika vitu vilivyotengezewa dawa yenyewe ipo neno Flouride?
je baada ya kuangalia umepata jawabu gani?
*Leo nitazungumzia faida na madhara ya Flouride*
21/08/2023
je wajua kwanini?
17/08/2023
hii picha ni uhalisia wa matumbo ( uchango) yetu yalivyo ikiwa hutopata choo kikawaida. usochukulie poa ikiwa unapitisha siku bila kupata choo.
17/08/2023
WAKATI SAHIHI👇🏽
Ni wakati gani mzuri wa kupiga mswaki kabla au baada ya kifungua kinywa inategemea kile unachokula na muda gani unaweza kubaki kati ya kula na kupiga mswaki.
Kwa hivyo kupiga mswaki baada ya kifungua kinywa kunaweza kuwa na ufanisi. "Ukiweka sukari juu ya utando wa bakteria uliopo na kisha kuifuta mara moja, hakuta kuwa na tatizo," alisema Hersheyfield.
Hata hivyo, kuna baadhi ya mambo ya kuwa makini kuhusu wakati wa kupiga mswaki meno yako baada ya kifungua kinywa. Kunapaswa kuwa na muda kati ya kula na kupiga mswaki. J
Nifute na nini?
Hersheyfield anasema kuna bidhaa kwenye soko ambazo kihalisia "zinafuta meno yako." Jambo hili lina uwezekano mkubwa wa kutokea wakati wa kutumia mswaki mgumu na dawa ya meno yenye uwezo wa kung’arisha na kusugua sehemu ngumu (abrasive) ambayo mara nyingi huitwa "whitening".
"Kuchakaa kwa meno ni mchakato unaofanyika kwa miaka au miongo," alisema. "Lakini meno yanapoendelea kuchakaa, yanaweza kuwa na kidonda au matundu."
Kwa watu wazima, mswaki wa kati ( medium)na dawa ya meno zisizo na madini ya Flouride na chembe ndogo za abrasive ( kuchuna). Hersheyfield alisema kuwa ni bora kuwa na kichwa kidogo cha mswaki ili kiweze kusafisha kila sehemu ya meno na ni bora kubadilisha mswaki kabla haujaanza kugawanyika.
16/08/2023
MENO KULEGEA KUNG'OKA YENYEWE
(Periodontitis)
Ifahamike kuwa walio wengi sna hasa walio na umri wa kati na kuendelea juu hupatwa na hali hii ya kuwa na meno yanayolegea, na wanapoyachunguza hukuta meno husika hayana matundu na hali hii ya meno kulegea haiambatani na maumivu yeyote kwenye meno husika ama kinywani kwa ujumla wake.
Pia hupelekea meno haya yaliyolegea kuweza kung’oka kirahisi.
Huu ni ugonjwa unaoathiri mfupa wa taya lililoshikilia meno husika, hivyo basi sehemu husika za mfupa wa taya ambazo hushikilia meno zinazoshambulia na ugonjwa huu huwa dhaifu na kipenyo chake kutanuka, mara kipenyo chake ambamo jino hujishika kinapotanuka jino husika huweza kulegea, kitaalamu ugonjwa huu huitwa Periodontitis.
Dalili Za Ugonjwa Huu
Zifuatazo ni baadhi ya dalili za ugonjwa huu, zingatia kwamba si lazima mtu mmoja awe na dalili zote hizi:
* Fizi Kujivuta Kutoka Kwenye Meno Na Hivyo Kuyafanya Meno Yaonekane Ni Marefu Kuliko Kawaida Yake Kabla Ya Ugonjwa Huu
* Meno Kuachana Na Kutengeneza Nafasi Mpya Katika Meno Yako Ambazo Hazikuwepo Hapo Kabla( Mianya Ya Ukubwani)
* Kutoka Usaha Kati Ya Meno Yako Na Fizi
* Meno Yaliyolegea
* Mabadiliko Ya Mpangilio Wako Wa Meno.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Michenzani Mall
Zanzibar
711